Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • UN yataka kung’olewa mizizi ya ubaguzi wa kimfumo duniani

    UN yataka kung’olewa mizizi ya ubaguzi wa kimfumo duniani

    Jun 29, 2021 21:53

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Michelle Bachelet Jumatatu wiki hii alitoa wito wa kung'olewa mizizi ya ubaguzi wa kimbari unaofanyika kimfumo dhidi ya watu weusi kote duniani ili dunia isishuhudie tena matukio ya kusikitisha kama lile la muaji ya raia mweusi wa Mrekani, George Floyd.

  • Ilhan Omar alaumu shambulio ya Marekani dhidi ya makundi ya muqawama ya Iraq

    Ilhan Omar alaumu shambulio ya Marekani dhidi ya makundi ya muqawama ya Iraq

    Jun 28, 2021 22:12

    Mbunge Muislamu nchini Marekani ameilaumu serikali ya nchi hiyo kwa kufanya shambulizi katika mpaka wa Syria na Iraq na kusema kuwa, shambulio hilo ni siasa zilizofeli.

  • Makundi ya muqawama ya Iraq: Tutalipiza kisasi dhidi ya Marekani

    Makundi ya muqawama ya Iraq: Tutalipiza kisasi dhidi ya Marekani

    Jun 28, 2021 06:13

    Makundi ya muqawama ya Iraq yametangaza kuwa, yatalipiza kisasi mashambulizi ya Marekani dhidi ya ngome za kundi la Hashdu Shaabi.

  • Syria yaalani misimamo ya Marekani na utawala wa Kizayuni kuhusu Miinuko ya Golan

    Syria yaalani misimamo ya Marekani na utawala wa Kizayuni kuhusu Miinuko ya Golan

    Jun 27, 2021 21:59

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria kwa mara nyingine tena imesisitiza kuwa eneo la Golan ni sehemu ya ardhi ya nchi hiyo na kueleza kuwa, mamlaka ya nchi hiyo kwa eneo la Golan haibadiliki kwa kupita muda na misimamo ya Marekani na utawala wa Israel haina taathira yoyote ya kisheria.

  • Iran yaishauri Marekani iachane na turathi zilizofeli za Trump

    Iran yaishauri Marekani iachane na turathi zilizofeli za Trump

    Jun 26, 2021 23:09

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ingali inaamini kuwa ni jambo linalowezekana kufikia makubaliano katika mazungumzo ya kuhuisha mapatano ya nyuklia ya JCPOA huko Vienna, iwapo utawala wa sasa wa Marekani utaamua kuweka pembeni sera na turathi zilizogonga mwamba za aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Donald Trump.

  • Tsunami ya kujiua katika jeshi la Marekani, nembo ya mgogoro wa kinafsi na kimaadili

    Tsunami ya kujiua katika jeshi la Marekani, nembo ya mgogoro wa kinafsi na kimaadili

    Jun 26, 2021 10:31

    Ripoti ya karibuni ya Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) inaonesha ongezeko la visa vya kujiua kati ya wanajeshi wa nchi hiyo hususan maveterani wa jeshi.

  • Ansarullah: Hatujawahi na kamwe hatutafuti utambulisho wetu kutoka kwa Marekani

    Ansarullah: Hatujawahi na kamwe hatutafuti utambulisho wetu kutoka kwa Marekani

    Jun 26, 2021 02:46

    Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya harakati ya Ansarullah ya Yemen ametuma ujumbe kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter na kusisitiza kuwa, harakati hiyo ya wananchi wa Yemen kamwe haijawahi kufikiria kutafuta utambulisho wake kutoka kwa Marekani na haina haja ya kutambuliwa rasmi na dola hilo la kiistikbari.

  • Afisa wa polisi aliyemuua George Floyd afungwa miaka 22.5 nchini Marekani

    Afisa wa polisi aliyemuua George Floyd afungwa miaka 22.5 nchini Marekani

    Jun 26, 2021 02:46

    Mahakama ya Minnesota nchini Marekani imemuhukumu kifungo cha miaka 22 na nusu afisa wa polisi aliyemuua kikatili George Floyd, Mmarekani mwenye asili ya Afrika, aliyeuliwa kikatili mchana kweupe na afisa huyo mzungu mwenye chuki za kibaguzi.

  • Russia: Uingereza na Marekani zinataka kuzusha mzozo na vita katika Bahari Nyeusi

    Russia: Uingereza na Marekani zinataka kuzusha mzozo na vita katika Bahari Nyeusi

    Jun 25, 2021 22:10

    Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amesema kuwa, Uingereza na Marekani zinafanya njama za kuanzisha mzozo na vita katika Bahari Nyeusi.

  • Utafiti: Askari wa US wanaojiua ni wengi zaidi ya wanaokufa vitani

    Utafiti: Askari wa US wanaojiua ni wengi zaidi ya wanaokufa vitani

    Jun 22, 2021 21:59

    Utafiti mpya umefichua kuwa, idadi ya askari wa Marekani na maveterani wa kijeshi wa nchi hiyo wanaoaga dunia kwa kujitoa uhai ni mara nne zaidi ya wanajeshi wa dola hilo la kibeberu wanaouawa vitani katika vita vinavyoanzishwa na Washington kila uchao tokea Septemba 11 mwaka 2001.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS