-
Kuendelea mivutano kati ya China na Marekani
Mar 29, 2021 22:00Licha ya kuwepo utabiri wa awali kwamba mivutano iliyokuwepo kati ya China na nchi za Magharibi na hasa Marekani katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump ingepungua pakubwa mara tu baada ya kuoondoka madarakani rais huyo na kuingia White House Joe Biden, lakini mivutano hiyo ingalipo bali imeongezeka hata zaidi.
-
Wanajeshi vamizi wa Marekani wanapora ngano ya Syria
Mar 28, 2021 06:33Wanajeshi vamizi wa Marekani wamepora malori 38 ya ngano ya Syria iliyokuwa katika maghala huko Tal Alou katika mkoa wa Hasaka kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Watoto wanaotafuta hifadhi kupelekwa katika kambi za kijeshi jimboni Texas
Mar 25, 2021 06:51Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imeafiki kupelekwa maelfu ya watoto wanaotafuta hifadhi katika kambi za kijeshi jimboni Texas kufuatia hali ya mgogoro iliyojitokeza katika mpaka wa kusini wa Marekani. Watoto hao wanatazamiwa kupelekwa katika kambi mbili za kijeshi bila ya wazazi wao.
-
Serikali ya Biden yazidi kushinikizwa ikabiliane na mashambulio ya silahamoto yaliyokitihiri ndani ya Marekani
Mar 24, 2021 08:33Serikali ya Marekani inazidi kuandamwa na mashinikizo ya kuitaka ichukue hatua za kukabiliana na mashambulio ya utumiaji wa silahamoto yaliyokithiri katika jamii ya nchi hiyo.
-
Sisitizo la Russia na China juu ya kurejea bila masharti Marekani katika mapatano ya JCPOA
Mar 24, 2021 07:51Wang Yi na Sergei Lavrov, Mawaziri wa Mambo ya Nje wa China na Russia Jumatatu wiki hii tarehe 22 Machi walisiistiza udharura wa kurejea Marekani katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA bila ya masharti yoyote na kuondolewa vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Iran.
-
Wabunge 12 wa Marekani waipinga Israel na kuliunga mkono taifa la Palestina
Mar 21, 2021 08:40Wabunge 12 wa Baraza la Wawakilishi la Marekani wamemuandikia baraua waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyio na kuitaka serikali mpya ya Marekani iheshimu na kuunga mkono haki za binadamu na heshima za wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina.
-
Badr: Marekani inakula njama ya kuwarejesha magaidi Iraq
Mar 21, 2021 04:35Mkuu wa Ofisi ya Shirika la Badr katika mkoa wa al-Anbar nchini Iraq amesema Marekani inapanga njama ya kuwarejesha magaidi katika mikoa ya magharibi mwa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Mwana wa Trump amfanyia istihzai rais wa Marekani, Joe Biden
Mar 20, 2021 23:50Mwana wa kiume wa rais wa zamani wa Marekani, amerusha katika mtandao wa Twitter kipande cha video kilichotengenezwa maalumu kwa ajili ya kumfanyia istihzai Joe Biden baada ya rais huyo wa Marekani kula mweleka mara tatu mfululizo wakati alipokuwa anapanda ngazi ya ndege.
-
Kikao cha Alaska na kukaririwa tuhuma za Marekani dhidi ya China
Mar 20, 2021 23:49Kushadidi mpambano baina ya Marekani na China tangu baada ya Joe Biden kushika hatamu za uongozi kumezifanya pande hizo mbili kuitisha kikao cha ngazi za juu ambacho kilifanyika Alkhamisi iliyopita katika eneo la Anchorage kwenye jimbo la Alaska.
-
Iran: Hatujapokea ujumbe wowote kutoka Marekani
Mar 20, 2021 04:49Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haijapokea ujumbe wowote kutoka kwa Marekani wala haina azma yoyote ya kuitumia Washington ujumbe.