Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kuendelea siasa za uhasama za Marekani dhid ya Iran

    Kuendelea siasa za uhasama za Marekani dhid ya Iran

    Mar 20, 2021 04:24

    Ikiwa ni katika kuendeleza siasa za uhasama za Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Wizara ya Fedha ya Marekani imewatuhumu raia wengine 10 wa Iran kuwa wamekiuka vikwazo vya nchi hiyo dhidi ya Iran.

  • Rais wa Marekani 'ala mweleka' mara tatu na kuzidisha wasiwasi kuhusu uzima wake kimwili

    Rais wa Marekani 'ala mweleka' mara tatu na kuzidisha wasiwasi kuhusu uzima wake kimwili

    Mar 20, 2021 00:10

    Rais Joe Biden wa Marekani ameteleza na kuanguka mara tatu wakati akipanda ndege ya rais Air Force One, hali ambayo imezidisha wasiwasi kuhusu uzima wa kimwili wa kiongozi huyo.

  • Madharau ya Biden dhidi ya Putin, na mzozo wa aina yake katika uhusiano wa Marekani na Russia

    Madharau ya Biden dhidi ya Putin, na mzozo wa aina yake katika uhusiano wa Marekani na Russia

    Mar 19, 2021 06:00

    Uhusiano wa Marekani na Russia tangu Rais Joe Biden aliposhika madaraka ya nchi katika White House mwezi Januari mwaka huu umekuwa ukidorora siku baada ya nyingine huku Washington ikiendelea kuzidisha misimamo ya kihasama na kiuadui dhidi ya Russia. Sasa makabiliano baina ya nchi hizo mbili yamefikia kiwango cha vita vya maneno baina ya marais wa nchi hizo.

  • Vitendo vya uhalifu vyaongezeka kwa asilimia 25 nchini Marekani

    Vitendo vya uhalifu vyaongezeka kwa asilimia 25 nchini Marekani

    Mar 19, 2021 04:32

    Polisi ya Federali ya Marekani FBI imetangaza habari ya kuongezeka kwa asilimia 25 vitendo vya uhalifu na jinai nchini humo katika mwaka uliopita wa 2020.

  • Uingiliaji wa aina tofauti wa Marekani katika masuala ya ndani ya Yemen

    Uingiliaji wa aina tofauti wa Marekani katika masuala ya ndani ya Yemen

    Mar 18, 2021 10:43

    Jumanne ya tarehe 16 Machi, Idara ya Kiitikadi ya Vikosi vya Ulinzi vya Yemen ilitoa nyaraka mpya zinazobainisha juu ya uwepo wa kijeshi wa Marekani na vituo vya kijeshi vya Washington huko nchini Yemen na pamoja na uhusiano wa serikali ya wakati huo ya Ali Abdullah Saleh na mashirika ya kijsasu ya Marekani.

  • Kushindwa mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran

    Kushindwa mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran

    Mar 17, 2021 23:16

    Baada ya serikali ya Donald Trump, Rais wa zamani wa Marekani kutangaza kujitoa rasmi katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia mashuhuri kama JCPOA mnao Mei 2018, serikali hiyo ilianza kutekeleza vikwazo vikali zaidi katika historia ya nchi hiyo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika fremu ya mchakato wa kile kilichotajwa kuwa mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya nchi hii.

  • Iran yakanusha kufanya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Marekani

    Iran yakanusha kufanya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Marekani

    Mar 17, 2021 01:00

    Duru za kiusalama nchini Iran zimekadhibisha madai ya Marekani kwamba kuna mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja yanayoendelea baina ya Tehran na Washington.

  •  Marekani inafanya juu chini  kuzizuia nchi nyingine duniani zisinunue chanjo ya Russia

    Marekani inafanya juu chini kuzizuia nchi nyingine duniani zisinunue chanjo ya Russia

    Mar 16, 2021 08:49

    Kampuni ya Russia iliyotengeneza chanjo ya corona kwa jina la Sputnik -V k imeyataja mashinikizo ya Marekani kwa nchi nyingine duniani ili kuzizuia kununua chanj hiyo kuwa kitendo kisiho cha kimaadili.

  • Ansarullah: Marekani haitaki amani irejee Yemen

    Ansarullah: Marekani haitaki amani irejee Yemen

    Mar 16, 2021 04:46

    Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema: Serikali ya Marekani kwa matamshi yake ya upotoshaji na yasiyo ya kimantiki imeonyesha kuwa haitaki kuona amani ikirejea Yemen."

  • Iran: Marekani ni mvamizi Syria, itoke haraka

    Iran: Marekani ni mvamizi Syria, itoke haraka

    Mar 15, 2021 23:45

    Mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, madola vamizi ikiwemo Marekani yanapaswa kutoka katika ardhi ya Syria na hiyo ndiyo njia pekee ya kukomesha mapigano nchini humo na kutatuliwa kwa njia za amani mgogoro wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS