Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Khatibzadeh: Iran haiwezi kuwa mateka wa mashinikizo bandia ya watu walioshindwa

    Khatibzadeh: Iran haiwezi kuwa mateka wa mashinikizo bandia ya watu walioshindwa

    Jan 11, 2021 08:42

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran ikiwa serikali husika katika fremu ya ufundi na uchukuaji maamuzi kwa kujitegemea ndio inayopaswa kutoa majibu ya tukio la kuanguka ndege ya Ukraine katika anga ya taifa hili na kwamba, katu haitakubali kuwa mateka wa siasa na mashinikizo ya bandia ya pande zilizoshindwa.

  • Mawakili: Lori lililojaa mabomu na silaha liligunduliwa karibu na jengo la Congress nchini Marekani

    Mawakili: Lori lililojaa mabomu na silaha liligunduliwa karibu na jengo la Congress nchini Marekani

    Jan 10, 2021 09:47

    Waendesha mashtaka wa Shirikisho nchini Marekani wamesema kuwa, jeshi la polisi la nchi hiyo liligundua lori moja lililojaa mabomu ya kutengenea kienyeji na silaha karibu na jengo la Congress la nchi hiyo.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; fedheha ya kidemokrasia ya Marekani na mustakabali wa JCPOA

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; fedheha ya kidemokrasia ya Marekani na mustakabali wa JCPOA

    Jan 08, 2021 10:28

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa hotuba muhimu kwa mnasaba wa siku ya leo ya maadhimisho ya mapambano ya Dei 19 ya wananchi wa Qum dhidi ya utawala wa kiimla wa Shah ambapo ameashiria matukio ya hivi karibuni nchini Marekani, sharti la Iran la kurejea Washington katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na uwepo wa kieneo na uwezo wa kiulinzi wa Iran.

  • Rouhani: Demokrasia ya nchi za Magharibi ni dhaifu na isiyo na misingi

    Rouhani: Demokrasia ya nchi za Magharibi ni dhaifu na isiyo na misingi

    Jan 07, 2021 08:26

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema matukio ya hivi karibuni nchini Marekani ikiwa ni pamoja na kuvamiwa jengo la Bunge la Congress yanaashiria udhaifu na kutokuwa na msingi demokrasia ya nchi za Magharibi.

  • Marekani katika lindi la machafuko ya kisiasa

    Marekani katika lindi la machafuko ya kisiasa

    Jan 07, 2021 06:26

    Machafuko, fujo, vurugu, uporaji, ufyatuaji risasi, mauaji, ugaidi, mapinduzi, kukabiliana na mapinduzi; bali kwa kifupi; kashfa ya taifa, ndiyo maneno ambayo kila moja linafasiri matukio ya aibu yaliyotokea jana Jumatano, Januari 6, 2021 nchini Marekani ndani jengo la Congress

  • Trump adai kuchakachuliwa kura katika uchaguzi mdogo wa Georgia

    Trump adai kuchakachuliwa kura katika uchaguzi mdogo wa Georgia

    Jan 06, 2021 08:55

    Rais wa Marekani amekituhumu chama cha Democratic kuwa kimefanya udanganyifu katika uchaguzi mdogo wa Baraza la Sanate la nchi hiyo.

  • Kila sekunde 33 Mmarekani anapoteza maisha kutokana na COVID-19

    Kila sekunde 33 Mmarekani anapoteza maisha kutokana na COVID-19

    Jan 06, 2021 04:46

    Marekani imeweka rekodi mpya kwa idadi ya watu wanaofariki kutokana corona au COVID-19 kwa siku ambapo Jumanne watu 3,936 walipoteza maisha kutokana na ugonjwa huo.

  • Iraq yaishitaki Marekani kwa kutumia silaha zenye urani nchini humo

    Iraq yaishitaki Marekani kwa kutumia silaha zenye urani nchini humo

    Jan 05, 2021 10:49

    Mshauri wa masuala ya kisheria wa Bunge la Iraq amefungua mashtaka dhidi ya Marekani katika mahakkama ya Sweden kwa tuhuma za kukiuka mamlaka ya kujitawala ya Iraq na kutumia silaha zenye uranium dhidi ya nchi hiyo.

  • Mwakilishi wa Texas: Kutatokea mzozo mkubwa katika Seneti iwapo Warepublican watashindwa

    Mwakilishi wa Texas: Kutatokea mzozo mkubwa katika Seneti iwapo Warepublican watashindwa

    Jan 05, 2021 08:52

    Mwakilishi wa chama cha Republican katika Kongresi ya Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican ametahadharisha kuwa kutatokea mzozo mkubwa iwapo Warepublican wenzake watashindwa kupata wingi wa viti vya Baraza la Seneti.

  • Pelosi: Ushindi wa Biden utathibitishwa katika kikao cha Kongresi

    Pelosi: Ushindi wa Biden utathibitishwa katika kikao cha Kongresi

    Jan 04, 2021 22:37

    Spika wa Bunge la Wawakilishi la Marekani amewaandikia barua wanachama wa chama cha Democratic na kusisitiza kuwa ushindi wa rais mteule wa nchi hiyo utathibitishwa katika kikao cha Kongresi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS