-
Khatibzadeh: Iran haiwezi kuwa mateka wa mashinikizo bandia ya watu walioshindwa
Jan 11, 2021 08:42Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran ikiwa serikali husika katika fremu ya ufundi na uchukuaji maamuzi kwa kujitegemea ndio inayopaswa kutoa majibu ya tukio la kuanguka ndege ya Ukraine katika anga ya taifa hili na kwamba, katu haitakubali kuwa mateka wa siasa na mashinikizo ya bandia ya pande zilizoshindwa.
-
Mawakili: Lori lililojaa mabomu na silaha liligunduliwa karibu na jengo la Congress nchini Marekani
Jan 10, 2021 09:47Waendesha mashtaka wa Shirikisho nchini Marekani wamesema kuwa, jeshi la polisi la nchi hiyo liligundua lori moja lililojaa mabomu ya kutengenea kienyeji na silaha karibu na jengo la Congress la nchi hiyo.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; fedheha ya kidemokrasia ya Marekani na mustakabali wa JCPOA
Jan 08, 2021 10:28Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa hotuba muhimu kwa mnasaba wa siku ya leo ya maadhimisho ya mapambano ya Dei 19 ya wananchi wa Qum dhidi ya utawala wa kiimla wa Shah ambapo ameashiria matukio ya hivi karibuni nchini Marekani, sharti la Iran la kurejea Washington katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na uwepo wa kieneo na uwezo wa kiulinzi wa Iran.
-
Rouhani: Demokrasia ya nchi za Magharibi ni dhaifu na isiyo na misingi
Jan 07, 2021 08:26Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema matukio ya hivi karibuni nchini Marekani ikiwa ni pamoja na kuvamiwa jengo la Bunge la Congress yanaashiria udhaifu na kutokuwa na msingi demokrasia ya nchi za Magharibi.
-
Marekani katika lindi la machafuko ya kisiasa
Jan 07, 2021 06:26Machafuko, fujo, vurugu, uporaji, ufyatuaji risasi, mauaji, ugaidi, mapinduzi, kukabiliana na mapinduzi; bali kwa kifupi; kashfa ya taifa, ndiyo maneno ambayo kila moja linafasiri matukio ya aibu yaliyotokea jana Jumatano, Januari 6, 2021 nchini Marekani ndani jengo la Congress
-
Trump adai kuchakachuliwa kura katika uchaguzi mdogo wa Georgia
Jan 06, 2021 08:55Rais wa Marekani amekituhumu chama cha Democratic kuwa kimefanya udanganyifu katika uchaguzi mdogo wa Baraza la Sanate la nchi hiyo.
-
Kila sekunde 33 Mmarekani anapoteza maisha kutokana na COVID-19
Jan 06, 2021 04:46Marekani imeweka rekodi mpya kwa idadi ya watu wanaofariki kutokana corona au COVID-19 kwa siku ambapo Jumanne watu 3,936 walipoteza maisha kutokana na ugonjwa huo.
-
Iraq yaishitaki Marekani kwa kutumia silaha zenye urani nchini humo
Jan 05, 2021 10:49Mshauri wa masuala ya kisheria wa Bunge la Iraq amefungua mashtaka dhidi ya Marekani katika mahakkama ya Sweden kwa tuhuma za kukiuka mamlaka ya kujitawala ya Iraq na kutumia silaha zenye uranium dhidi ya nchi hiyo.
-
Mwakilishi wa Texas: Kutatokea mzozo mkubwa katika Seneti iwapo Warepublican watashindwa
Jan 05, 2021 08:52Mwakilishi wa chama cha Republican katika Kongresi ya Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican ametahadharisha kuwa kutatokea mzozo mkubwa iwapo Warepublican wenzake watashindwa kupata wingi wa viti vya Baraza la Seneti.
-
Pelosi: Ushindi wa Biden utathibitishwa katika kikao cha Kongresi
Jan 04, 2021 22:37Spika wa Bunge la Wawakilishi la Marekani amewaandikia barua wanachama wa chama cha Democratic na kusisitiza kuwa ushindi wa rais mteule wa nchi hiyo utathibitishwa katika kikao cha Kongresi.