Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Binti wa Luther King awataka Wamarekani kuendeleza maandamano ya kupinga ubaguzi

    Binti wa Luther King awataka Wamarekani kuendeleza maandamano ya kupinga ubaguzi

    Jun 24, 2020 08:45

    Binti wa aliyekuwa kiongozi wa harakati ya kupigania haki za kiraia za Wamarekani wenye asili ya Afrika, Martin Luther King, amewataka raia wa nchi hiyo waendeleze maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini Marekani hadi uadilifu utakapotendeka.

  • China yasema mashinikizo ya Marekani dhidi ya Iran hayatafika popote

    China yasema mashinikizo ya Marekani dhidi ya Iran hayatafika popote

    Jun 24, 2020 03:51

    Balozi wa China katika Umoja wa Mataifa amesema mashinikizo ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hayatafika popote.

  • Marekani yafuta visa za raia wa Burundi kufuatia mgogoro wa kidiplomasia

    Marekani yafuta visa za raia wa Burundi kufuatia mgogoro wa kidiplomasia

    Jun 24, 2020 02:50

    Marekani imeacha kutoa visa kwa raia wa Burundi wanaotaka kwenda nchini humo, hatua ambayo imeibua mgogoro wa kidiplomasia baina ya nchi hizo mbili.

  • Kumalizika mapema mazungumzo ya Marekani na Russia kuhusu udhibiti wa silaha za nyuklia

    Kumalizika mapema mazungumzo ya Marekani na Russia kuhusu udhibiti wa silaha za nyuklia

    Jun 23, 2020 22:01

    Moja ya hitilafu kubwa na za kimsingi za Russia na Marekani kuhusiana na kuongezwa muda wa mikataba ya kudhibiti silaha inahusiana na mkataba wa kistratijia wa silaha za nyuklia wa New START.

  • Mgogoro wa corona waendelea Marekani chini ya kivuli cha upuuzaji wa Trump

    Mgogoro wa corona waendelea Marekani chini ya kivuli cha upuuzaji wa Trump

    Jun 22, 2020 22:09

    Wakati Mgogoro wa corona ukiendelea kuisumbua Marekani na idadi ya waathirika wa virusi hivyo ikipindukia watu milioni 2 na laki tatu, Rais Donald Trump wa nchi hiyo ametoa matamshi ya kustaajabisha akiwataka Wamarekani wapunguze kujipima ugonjwa wa COVID-19.

  • Iran yakosoa kimya cha Ulaya mbele ya ukandamizaji na ukatili unaofanywa dhidi ya raia wa Marekani

    Iran yakosoa kimya cha Ulaya mbele ya ukandamizaji na ukatili unaofanywa dhidi ya raia wa Marekani

    Jun 21, 2020 06:27

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran kwa mara nyingine tena amekosoa kimya cha nchi za Ulaya mbele ya ukandamizaji na ukatili unaofanwa na vyombo vya dola vya serikali ya Marekani dhidi ya raia wa nchi hiyo.

  • Uchunguzi wabaini biashara ya utumwa wa ngono katika Jeshi la Majini la Marekani

    Uchunguzi wabaini biashara ya utumwa wa ngono katika Jeshi la Majini la Marekani

    Jun 21, 2020 06:08

    Uchunguzi uliofanyika katika Jeshi la Majini la Marekani umebaini kundi moja la wanamaji wa nchi hiyo limeanzisha biashara ya wanawake wanaotumiwa katika masuala ya ngono.

  • Kuunga mkono kurefushwa vikwazo dhidi ya Iran, hatua ya Ulaya ya kutembea kwenye nyayo za Marekani

    Kuunga mkono kurefushwa vikwazo dhidi ya Iran, hatua ya Ulaya ya kutembea kwenye nyayo za Marekani

    Jun 21, 2020 01:45

    Troika ya Ulaya yaani nchi tatu za Ulaya za Uingereza Ujerumani na Ufaransa licha ya kudai zinaunga mkono mkono mapatano ya nyuklia ya JCPOA lakini vitendo vyao vinaiunga mkono Markeani ambayo imejitoa kabisa kwenye makubaliano hayo ya kimataifa. Misimamo ya hivi karibuni ya troika hiyo ya Ulaya imezidi kuonesha jinsi nchi hizo tatu zisivyo na mwamana, sawa kabisa na Marekani.

  • Sanamu la rais wa kwanza wa Marekani nalo lavunjwa katika maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi

    Sanamu la rais wa kwanza wa Marekani nalo lavunjwa katika maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi

    Jun 20, 2020 22:44

    Waandamanaji wanaopinga ubaguzi wa rangi nchini Marekani wamevunja sanamu la rais wa kwanza wa nchi hiyo katika jimbo la Oregon, katika wimbi la kupinga ukatili wa polisi na sera za kibaguzi zinazofanyika kimfumo nchini humo.

  • Kufutwa jina la Marekani katika azimio la kupinga ubaguzi wa rangi la Umoja wa Mataifa

    Kufutwa jina la Marekani katika azimio la kupinga ubaguzi wa rangi la Umoja wa Mataifa

    Jun 20, 2020 22:43

    Wakati maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi uliokita mizizi nchini Marekani yakiendelea kurindima kote duniani na hasira zilizosababishwa na mauaji ya kikatili yaliyofanywa na polisi mzungu dhidi ya Mmarekani mweusi zikiwa bado kali, maafisa wa serikali ya Washington wanafanya jitihada kubwa za kuzima harakati ya kimataifa ya kupinga ubaguzi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS