Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Russia: Hatuitaruhusu Marekani irefushe vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Russia: Hatuitaruhusu Marekani irefushe vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    May 13, 2020 03:48

    Russia imesema itapinga jitihada zozote za Marekani za kutaka muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran uongezwe utakapomalizika mwezi Oktoba mwaka huu.

  • Maelfu ya Wamarekani wakana uraia wao ndani ya miezi 3 ya 2020

    Maelfu ya Wamarekani wakana uraia wao ndani ya miezi 3 ya 2020

    May 13, 2020 03:43

    Maelfu ya raia wa Marekani wanaoshi nje ya nchi hiyo wametangaza kukana uraia wao mwaka huu kutokana na sababu mbalimbali.

  • Indhari ya Russia kuhusu kibarua kigumu katika mchakato wa kuongezwa muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Indhari ya Russia kuhusu kibarua kigumu katika mchakato wa kuongezwa muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    May 12, 2020 21:51

    Marekani imekuwa iking’ang’ania kutekeleza siasa za "mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa" na kuendeleza vikwazo dhidi ya Iran iwe ni vikwazo vya upande mmoja au vikwazo vinavyohusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hususan vikwazo vya silaha.

  • Iran: Hakuna mpango wa kufanya mazungumzo yoyote na Marekani

    Iran: Hakuna mpango wa kufanya mazungumzo yoyote na Marekani

    May 12, 2020 03:11

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, hakuna mpango wa kufanya mazungumzo yoyote na Marekani kwa sababu Washington haiwezi kuaminika kwa mazungumzo inayofanya.

  • Sisitizo la Amnesty International juu ya ukidhabu wa Marekani katika mauaji ya raia

    Sisitizo la Amnesty International juu ya ukidhabu wa Marekani katika mauaji ya raia

    May 12, 2020 01:38

    Baada ya mashambulio ya Septemba 11, 2001, Marekani ilianzisha vita katika maeneo tofauti duniani kwa madai ya kupambana na ugaidi na hasa katika nchi mbili za Waislamu, za Afghanistan na Iraq ambazo hatimaye ilizikalia kwa mabavu.

  • Sababu na lengo la Marekani kuondoa ngao ya makombora ya Patriot Saudi Arabia

    Sababu na lengo la Marekani kuondoa ngao ya makombora ya Patriot Saudi Arabia

    May 11, 2020 22:09

    Vyombo vya habari vimekuwa vikiripoti kuhusu uamuzi wa Marekani kuondoa mfumo wake wa ngao ya makombora ya Patriot kutoka Saudi Arabia, ripoti ambazo pia zimethibitishwa na Mike Pompeo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani.

  • Wakazi wa Washington wanaolala kwenye mahema kwa kukosa nyumba waongezeka kwa asilimia 300

    Wakazi wa Washington wanaolala kwenye mahema kwa kukosa nyumba waongezeka kwa asilimia 300

    May 11, 2020 11:50

    Idadi ya watu wanaolala kwenye mahema katika barabara za mji wa Washington, mji mkuu wa Marekani hasa baada ya kuenea virusi vya Corona, imeongezeka kwa asilimia 300.

  • Madai ya kipuuzi ya Mike Pompeo kuhusu mafanikio Marekani baada ya kujitoa katika mapatano ya JCPOA

    Madai ya kipuuzi ya Mike Pompeo kuhusu mafanikio Marekani baada ya kujitoa katika mapatano ya JCPOA

    May 11, 2020 02:31

    Baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kuyakosoa vikali mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA, Mei 8 mwaka 2018 alichukua uamuzi wa upande mmoja wa kuiondoa nchi yake katika makubaliano hayo.

  • Marekani, muhimili wa muqawama na mzingiro wa bonde la Shi'b Abi Twalib

    Marekani, muhimili wa muqawama na mzingiro wa bonde la Shi'b Abi Twalib

    May 10, 2020 03:45

    Ijumaa iliyopita Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah nchini Lebanon aliufananisha mwenendo wa Marekani katika kukabiliana na muqawama kuwa ni sawa na mwenendo ule ule wa viongozi wa Kiquraish dhidi ya Mtume Muhammad (saw) katika mzingiro wa (bonde la) Shi'b Abi Twalib.

  • Janga la COVID-19 na uvurugaji wa Marekani katika Baraza la Usalama

    Janga la COVID-19 na uvurugaji wa Marekani katika Baraza la Usalama

    May 10, 2020 02:58

    Katika hali ambayo Tunisia na Ufaransa zimekuwa zikijitahidi kuzikinaisha Marekani na China ziafiki rasimu ya azimio kuhusu janga la COVID-19 ambayo imekuwa ikijadiliwa kwa wiki kadhaa, Marekani imekataa kuiunga mkono rasimi huyo na hivyo kuzuia ipigiwe kura katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS