-
Russia yaitaka IAEA kutoa dhamana ya utekelezaji wa JCPOA
Sep 13, 2018 02:52Russia imeutaka Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) itoe dhamani ya utekelezaji wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Iran: Madai ya US dhidi yetu kuhusu Basra hayana msingi
Sep 12, 2018 22:09Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema madai ya Marekani kwamba Tehran imehusika katika machafuko ya mji wa Basra nchini Iraq ni ya kipuuzi, ya kichochezi na yasiyokuwa na msingi.
-
Rais Rouhani: Hivi sasa Marekani iko katika hali mbaya sana duniani
Sep 12, 2018 09:31Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kubainisha kwamba ukiachilia nchi na tawala chache zinazojulikana katika eneo la Mashariki ya Kati ambazo ziko pamoja na Washington, Marekani iko katika hali mbaya zaidi duniani.
-
Utafiti: Wapalestina wengi hawana imani na Trump
Sep 12, 2018 09:21Utafiti mpya uliofanywa na Kituo cha Utafiti na Sera cha Palestina umeonesha kuwa, aghalabu ya Wapalestina hawana imani na Rais Donald Trump wa Marekani na wala hawataki serikali ya Washington ijihusishe na mazungumzo ya amani ya nchi yao.
-
Radiamali ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC dhidi ya vitisho vya Marekani
Sep 12, 2018 08:55Siku moja baada ya John Bolton, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Marekani kutoa matamshi ya vitisho kwamba nchi hiyo itaiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, iwapo itaanzisha uchunguzi kuhusu jinai zilizofanywa na nchi hiyo huko Afghanistan na vilevile zillizofanywa na utawala haramu wa Israel huko Palestina, mahakama hiyo imesisitiza kwamba itaendelea na uchunguzi huo bila ya woga wala kukubali kutishwa.
-
Radiamali ya Hizbullah kwa hatua za Marekani dhidi ya Palestina
Sep 12, 2018 03:19Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah imesema kuwa Washington inaendeleza uadui wake dhidi ya wananchi wa Palestina kwa kustafidi na mbinu zote chafu.
-
Radiamali ya mahakama ya ICC kwa vitisho vya Marekani
Sep 11, 2018 20:49Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) yenye makao yake mjini Hague Uholanzi imejibu vitisho vya Marekani kwa kusema kuwa itaendelea kufanya uchunguzi wake kuhusu jinai za kivita zilizofanywa na Marekani nchini Afghanistan.
-
Radiamali ya Wapalestina kwa uamuzi wa Marekani wa kufunga ofisi ya PLO mjini Washington
Sep 11, 2018 20:48Husam Badran, mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, uamuzi wa serikali ya Marekani wa kufunga ofisi ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina PLO mjini Washington inabainisha kutokuwa na matunda mwenendo wa mapatano.
-
Marekani yakosolewa kwa kuitolea vitisho mahakama ya ICC
Sep 11, 2018 09:24Mashirika ya kutetea haki za binadamu yameikosoa vikali Marekani kwa kuishambulia na kutishia kuiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, baada ya korti hiyo yenye makao yake mjini The Hague nchini Uholanzi kusema kuwa itawafungulia mashitaka wanajeshi wa Marekani waliohusika katika jinai za kivita nchini Afghanistan.
-
Kharrazi: Aghalabu ya nchi duniani zinapinga sera za Marekani dhidi ya Iran
Sep 11, 2018 03:02Mkuu wa Baraza la Stratejia za Uhusiano wa Nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Marekani inatekeleza sera zake dhidi ya Iran kwa kutumia mabavu, ubabe na vitisho.