Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Russia yaitaka IAEA kutoa dhamana ya utekelezaji wa JCPOA

    Russia yaitaka IAEA kutoa dhamana ya utekelezaji wa JCPOA

    Sep 13, 2018 02:52

    Russia imeutaka Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) itoe dhamani ya utekelezaji wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Iran: Madai ya US dhidi yetu kuhusu Basra hayana msingi

    Iran: Madai ya US dhidi yetu kuhusu Basra hayana msingi

    Sep 12, 2018 22:09

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema madai ya Marekani kwamba Tehran imehusika katika machafuko ya mji wa Basra nchini Iraq ni ya kipuuzi, ya kichochezi na yasiyokuwa na msingi.

  • Rais Rouhani: Hivi sasa Marekani iko katika hali mbaya sana duniani

    Rais Rouhani: Hivi sasa Marekani iko katika hali mbaya sana duniani

    Sep 12, 2018 09:31

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kubainisha kwamba ukiachilia nchi na tawala chache zinazojulikana katika eneo la Mashariki ya Kati ambazo ziko pamoja na Washington, Marekani iko katika hali mbaya zaidi duniani.

  • Utafiti: Wapalestina wengi hawana imani na Trump

    Utafiti: Wapalestina wengi hawana imani na Trump

    Sep 12, 2018 09:21

    Utafiti mpya uliofanywa na Kituo cha Utafiti na Sera cha Palestina umeonesha kuwa, aghalabu ya Wapalestina hawana imani na Rais Donald Trump wa Marekani na wala hawataki serikali ya Washington ijihusishe na mazungumzo ya amani ya nchi yao.

  • Radiamali ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC dhidi ya vitisho vya Marekani

    Radiamali ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC dhidi ya vitisho vya Marekani

    Sep 12, 2018 08:55

    Siku moja baada ya John Bolton, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Marekani kutoa matamshi ya vitisho kwamba nchi hiyo itaiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, iwapo itaanzisha uchunguzi kuhusu jinai zilizofanywa na nchi hiyo huko Afghanistan na vilevile zillizofanywa na utawala haramu wa Israel huko Palestina, mahakama hiyo imesisitiza kwamba itaendelea na uchunguzi huo bila ya woga wala kukubali kutishwa.

  • Radiamali ya Hizbullah kwa hatua za Marekani dhidi ya Palestina

    Radiamali ya Hizbullah kwa hatua za Marekani dhidi ya Palestina

    Sep 12, 2018 03:19

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah imesema kuwa Washington inaendeleza uadui wake dhidi ya wananchi wa Palestina kwa kustafidi na mbinu zote chafu.

  • Radiamali ya mahakama ya ICC kwa vitisho vya Marekani

    Radiamali ya mahakama ya ICC kwa vitisho vya Marekani

    Sep 11, 2018 20:49

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) yenye makao yake mjini Hague Uholanzi imejibu vitisho vya Marekani kwa kusema kuwa itaendelea kufanya uchunguzi wake kuhusu jinai za kivita zilizofanywa na Marekani nchini Afghanistan.

  • Radiamali ya Wapalestina kwa uamuzi wa Marekani wa kufunga ofisi ya PLO mjini Washington

    Radiamali ya Wapalestina kwa uamuzi wa Marekani wa kufunga ofisi ya PLO mjini Washington

    Sep 11, 2018 20:48

    Husam Badran, mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, uamuzi wa serikali ya Marekani wa kufunga ofisi ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina PLO mjini Washington inabainisha kutokuwa na matunda mwenendo wa mapatano.

  • Marekani yakosolewa kwa kuitolea vitisho mahakama ya ICC

    Marekani yakosolewa kwa kuitolea vitisho mahakama ya ICC

    Sep 11, 2018 09:24

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu yameikosoa vikali Marekani kwa kuishambulia na kutishia kuiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, baada ya korti hiyo yenye makao yake mjini The Hague nchini Uholanzi kusema kuwa itawafungulia mashitaka wanajeshi wa Marekani waliohusika katika jinai za kivita nchini Afghanistan.

  • Kharrazi: Aghalabu ya nchi duniani zinapinga sera za Marekani dhidi ya Iran

    Kharrazi: Aghalabu ya nchi duniani zinapinga sera za Marekani dhidi ya Iran

    Sep 11, 2018 03:02

    Mkuu wa Baraza la Stratejia za Uhusiano wa Nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Marekani inatekeleza sera zake dhidi ya Iran kwa kutumia mabavu, ubabe na vitisho.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS