Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Maulamaa wa Lebanon watangaza mshikamamo wao kwa Iran mkabala na vikwazo vya Marekani

    Maulamaa wa Lebanon watangaza mshikamamo wao kwa Iran mkabala na vikwazo vya Marekani

    Aug 15, 2018 10:32

    Maulama wa kidini wa nchini Lebanon wamelaani mashinikizo na vikwazo vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusisitiza kuwa wanaiunga mkono kikamilifu Tehran.

  • Radiamali mbalimbali kwa madai ya haki za binadamu ya Marekani

    Radiamali mbalimbali kwa madai ya haki za binadamu ya Marekani

    Aug 15, 2018 06:41

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon ameashiria urongo wa madai ya Marekani kuhusiana na haki za binadamu na kusisitiza kuwa, watu wote ulimwenguni wanapaswa kutambua kuwa, Marekani ni dola laghai na haipasi kuamini hata kidogo siasa za Washington.

  • Uturuki yajibu mapigo, yaziwekea vikwazo bidhaa za kielektroniki za Marekani

    Uturuki yajibu mapigo, yaziwekea vikwazo bidhaa za kielektroniki za Marekani

    Aug 14, 2018 22:05

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki ametangaza kuwekewa vikwazo bidhaa za kielektroniki zinazozalishwa nchini Marekani.

  • Kiongozi Muadhamu: Hatutafanya mazungumzo na Marekani

    Kiongozi Muadhamu: Hatutafanya mazungumzo na Marekani

    Aug 13, 2018 10:36

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria matamashi na lugha zisizo na adabu za viongozi wa Marekani kuhusiana na vikwazo, vita na mazungumzo na Iran kusema kuwa, tunasisitiza kwamba, hakutatokea vita na hatutafanya mazungumzo.

  • Wakristo wa Iran wamwambia Pompeo: Wafuasi wa dini za wachache Iran hawahitajii usimamizi wa Marekani

    Wakristo wa Iran wamwambia Pompeo: Wafuasi wa dini za wachache Iran hawahitajii usimamizi wa Marekani

    Aug 12, 2018 22:21

    Jumuiya ya Wakristo wa Assyrian nchini Iran imejibu ujumbe wa Twitter wa Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani aliyedai kuwa wafuasi wa dini za waliowachache wanasumbuliwa na kunyimwa haki zao za binadamu hapa nchini kwa kusema kuwa: Wafuasi wa dini za waliowachache nchini Iran hawahitaji usimamizi wa Marekani.

  • Onyo la Uturuki kwa Marekani kufuatia hatua ya Washington kuzipandishia ushuru wa forodha bidhaa za Uturuki

    Onyo la Uturuki kwa Marekani kufuatia hatua ya Washington kuzipandishia ushuru wa forodha bidhaa za Uturuki

    Aug 12, 2018 07:12

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imetoa taarifa ikisisitiza kuchukua hatua za ulipizaji kisasi kufuatia kitendo cha Marekani cha kuzipandishia ushuru wa forodha bidhaa za chuma na aluminiamu za nchi hiyo.

  • Indhari ya Shirika la Kimataifa la Nishati kuhusu kuiwekea vikwazo vya mafuta Iran

    Indhari ya Shirika la Kimataifa la Nishati kuhusu kuiwekea vikwazo vya mafuta Iran

    Aug 12, 2018 02:45

    Rais Donald Trump wa Marekani tarehe Nane Mei mwaka huu alikariri madai yasiyo na msingi dhidi ya Iran na kutangaza kujitoa Marekani katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kuvirejesha vikwazo vya nyuklia katika muda wa miezi mitatu hadi sita ijayo. Duru ya kwanza ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran imeanza kutekelezwa tangu tarehe 7 mwezi huu wa Agosti; hatua iliyolaaniwa vikali kimataifa.

  • Magazeti 70 Marekani yachukua msimamo wa kukabiliana na hujuma za Trump dhidi ya vyombo vya habari

    Magazeti 70 Marekani yachukua msimamo wa kukabiliana na hujuma za Trump dhidi ya vyombo vya habari

    Aug 12, 2018 02:45

    Katika hatua ambayo haijawahi kushuhudiwa katika historia ya Marekani, gazeti moja la nchi hiyo limetoa wito wa kuchukuliwa hatua ya pamoja na magazeti yote ya nchi hiyo kukabiliana na kitendo cha rais Donald Trump cha kutoa kauli chafu mtawalia kuvishambulia vyombo vya habari.

  • Zarif: Hakuna mazungumzo baina ya Iran na Marekani, mkutano wa New York

    Zarif: Hakuna mazungumzo baina ya Iran na Marekani, mkutano wa New York

    Aug 11, 2018 22:05

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekanusha ripoti za vyombo vya habari kuhusu uwezekano wa kufanyika mazungumzo baina ya maafisa wa Iran na Marekani kandokando ya mkutano ujao wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York.

  • Russia: Marekani inaweka vikwazo dhidi ya nchi nyingine ili kutatua matatizo yake ya kifedha

    Russia: Marekani inaweka vikwazo dhidi ya nchi nyingine ili kutatua matatizo yake ya kifedha

    Aug 11, 2018 22:04

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, Marekani inaziwekea vikwazo vya upande mmoja nchi nyingine kwa shabaha ya kuondoa matatizo yake ya kifedha na kuziba nakisi ya mapato yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS