Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Onyo la Russia kwa Marekani, kufuatia vikwazo vipya vya Washington dhidi ya Moscow

    Onyo la Russia kwa Marekani, kufuatia vikwazo vipya vya Washington dhidi ya Moscow

    Aug 11, 2018 01:49

    Dmitry Medvedev, Waziri Mkuu wa Russia amesema kuwa, kushadidishwa vikwazo vya Marekani dhidi ya Russia, ni sawa na kutangaza vita vya kibiashara kwa nchi yake.

  • China: Tofauti za Washington na Beijing zinatokana na kusambaratika ubeberu wa Marekani

    China: Tofauti za Washington na Beijing zinatokana na kusambaratika ubeberu wa Marekani

    Aug 10, 2018 23:34

    Serikali ya China imesema kuwa, migogoro inayozidi kuongezeka katika uga wa kibiashara kati yake na Marekani, inatokana na kusambaratika ubeberu wa Marekani duniani.

  • Korea Kaskazini: Vikwazo vya Marekani dhidi yetu vinasimamisha utokomezaji wa silaha za nyuklia

    Korea Kaskazini: Vikwazo vya Marekani dhidi yetu vinasimamisha utokomezaji wa silaha za nyuklia

    Aug 10, 2018 12:41

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Korea Kaskazini imetoa taarifa ikisema kuwa, mashinikizo ya Marekani kupitia njia ya kuiwekea vikwazo serikali ya Pyongyang, yanakwamisha maendeleo ya kutokomeza silaha za nyuklia katika peninsula ya Korea.

  • Tehran: Marekani inapaswa kuliomba radhi rasmi taifa la Iran

    Tehran: Marekani inapaswa kuliomba radhi rasmi taifa la Iran

    Aug 09, 2018 23:23

    Waziri wa Mambo wa Ndani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Marekani inapaswa kuheshimu ahadi zake katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA na iliombe radhi rasmi taifa la Iran.

  • Korea Kaskazini yatupilia mbali takwa la Marekani la kuainisha muda wa kuangamiza silaha zake

    Korea Kaskazini yatupilia mbali takwa la Marekani la kuainisha muda wa kuangamiza silaha zake

    Aug 09, 2018 10:30

    Duru za habari nchini Korea Kaskazini zimetangaza kwamba serikali ya nchi hiyo imetupilia mbali takwa la Marekani la kuainishwa muda wa kuanza kupunguzwa kwa silaha za nyuklia za nchi hiyo.

  • Marekani imebakia kuangalia kwa macho tu uwezo wa kijeshi wa Iran Ghuba ya Uajemi

    Marekani imebakia kuangalia kwa macho tu uwezo wa kijeshi wa Iran Ghuba ya Uajemi

    Aug 09, 2018 09:10

    Kamanda wa Komandi Kuu wa Jeshi la Marekani amezungumzia luteka mazoezi ya kijeshi yaliyoifanywa hivi karibuni na Jeshi la Majini la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Ghuba ya Uajemi na Lango Bahari la Hormoz na kukiri uwezo mkubwa wa kijeshi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Spika wa Bunge la Iran: Wamarekani hawatekelezi ahadi

    Spika wa Bunge la Iran: Wamarekani hawatekelezi ahadi

    Aug 09, 2018 03:30

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Wamarekani wakati wa mazungumzo huzungumza vizuri mno, lakini inapofikia wakati wa utekelezaji hawatekelezi hata ahadi moja waliyoahidi.

  • Mtazamo wa Kiongozi; Mustakabali wa Mafanikio wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Mtazamo wa Kiongozi; Mustakabali wa Mafanikio wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Aug 09, 2018 03:20

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu hivi karibuni alitembelewa na ujumbe wa wanaharakati wa kiutamaduni walioko nje ya nchi. Akizungumzia wasiwasi uliobainishwa na ujumbe huo kuhusu mustakabali wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyed Ali Khamenei alisema:"Hawathubutu kufanya upuuzi wowote ule; waambieni hili watu wote."

  • Jihadul Islami: Saudia na Imarati zinashirikiana na Marekani kuikandamiza Palestina

    Jihadul Islami: Saudia na Imarati zinashirikiana na Marekani kuikandamiza Palestina

    Aug 08, 2018 23:55

    Mwakilishi wa harakati ya Jihad al Islami ya Palestina nchini Iran amesema kuwa, Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati), zinashiriki waziwazi katika 'Mapatano ya Karne' ambayo yameandaliwa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kuliangamiza taifa la Palestina

  • Zarif: Dunia haiafikiani na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran + Video

    Zarif: Dunia haiafikiani na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran + Video

    Aug 08, 2018 10:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, dunia haiafikiani na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran na kusema kuwa, sasa hivi nchi mbalimbali duniani zinafanya juhudi za kupambana na vikwazo hivyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS