-
Sharti la Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani kwa ajili ya kuzungumza na Iran bila ya masharti
Aug 08, 2018 02:54Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani ameainisha sharti kwa ajili ya kufanya mazungumzo na Iran licha ya ombi la Rais Trump la kutaka kufanya mazungumzo na Iran bila ya masharti yoyote.
-
Qassemi: Hakuna imani yoyote ya kufanya mazungumzo na Marekani
Aug 07, 2018 10:08Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuhusu matamshi ya karibuni ya rais wa Marekani kuwa yuko tayari kufanya mazungumzo na viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kwamba: kutokana na sera za Marekani za kuendesha vita vikubwa vya kisaikolojia dhidi ya Iran hakuna dhamana wala imani yoyote juu ya serikali ya Marekani wala rais wa nchi hiyo.
-
Onyo la maafisa wa zamani wa kijasusi wa Marekani kuhusu nyaraka bandia za Netanyahu dhidi ya Iran
Aug 07, 2018 01:45Israel ambayo inahesabiwa kuwa mmoja wa maadui wakubwa wa Iran katika eneo la Mashariki ya Kati daima inafanya njama na kueneza madai ya uongo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu hususan katika mradi wake wa amani wa nyuklia lengo lake kuu likiwa ni kutaka kupoteza imani ya jamii ya kimataifa na kuifanya ichukue hatua dhidi ya Iran.
-
Tuhuma hewa za Pompeo dhidi ya Iran; kuendelezwa mtazamo wa kiuadui wa Marekani
Aug 06, 2018 09:04Baada ya Marekani kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA tarehe 8 Mei mwaka huu, iliamua kushadidisha mashinikizo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Korea Kaskazini yalalamikia undumakuwili wa Marekani katika uga wa nyuklia
Aug 06, 2018 08:29Serikali ya Korea Kaskazini kupitia gazeti la chama tawala la Rodong Sinmun, imesema kuwa, hatua ya kurefushwa mkataba wa nyuklia kati ya Marekani na Japan ni kitendo kilicho 'dhidi ya ubinaadamu na dhidi ya amani.'
-
Waliogeuza magari yao kuwa makazi ya kudumu waongezeka kwa asilimia 46 nchini Marekani
Aug 06, 2018 03:30Uchunguzi wa hivi karibuni kabisa unaonesha kuwa idadi ya Wamarekani waliogeuza magari kuwa makazi yao ya kudumu kutokana na kushindwa kulipia kodi za nyumba imeongezeka sana katika kipindi cha utawala wa Donald Trump.
-
Trump azidi kusakamwa, Russia nayo yaongeza ushuru wa bidhaa za Marekani
Aug 05, 2018 20:50Serikali ya Russia imezipandishia ushuru bidhaa za Marekani ikiwa ni kujibu hatua ya rais wa nchi hiyo, Donald Trump ya kuzipandishia ushuru bidhaa ya chuma cha pua na aluminium zinazoingizwa nchini Marekani kutokea Russia.
-
Kushadidi tofauti kati ya Marekani na Uturuki kufuatia kushikiliwa padri wa Kimarekani
Aug 05, 2018 07:12Katika hatua ya kwanza kuchukuliwa na Marekani baada ya vitisho vya hivi karibuni vya Rais wa nchi hiyo Donald Trump dhidi ya Uturuki, White House imetangaza kuwawekea vikwazo mawaziri wawili wa Rais Recep Tayyip Erdoğan wa nchi hiyo.
-
Uungaji mkono wa wanaoibua ghasia na machafuko, sera mpya ya Marekani kuhusu Iran
Aug 04, 2018 07:04Marekani katika zama za urais wa Donald Trump imeongeza kasi ya sera zake zenye lengo la kuuangusha mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Uingiliaji wa Marekani katika zoezi la kuarifisha Waziri Mkuu mpya wa Iraq
Aug 03, 2018 20:55Marekani imeyataarifa makundi mbalimbali ya Iraq kwamba Haider al-Abadi ndiye chaguo la Washington kwa ajili ya nafasi ya Waziri Mkuu mpya wa Iraq.