Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Trump aliitaka Saudia ilipe dola bilioni 4 kugharamia malengo ya Marekani dhidi ya Syria

    Trump aliitaka Saudia ilipe dola bilioni 4 kugharamia malengo ya Marekani dhidi ya Syria

    Mar 17, 2018 22:57

    Rais Donald Trump wa Marekani alimtaka mfalme Salman wa Saudia ampe dola bilioni nne kugharamia malengo ya Washington nchini Syria.

  • Kiongozi Muadhamu: Imani na ucha-Mungu, ni sababu ya kusimama imara taifa la Iran dhidi ya hujuma za Marekani na Israel

    Kiongozi Muadhamu: Imani na ucha-Mungu, ni sababu ya kusimama imara taifa la Iran dhidi ya hujuma za Marekani na Israel

    Mar 15, 2018 11:25

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kusimama imara na mafanikio ya Iran katika kukabiliana na hujuma za mrengo mkubwa wa kisiasa, kifedha, kijeshi, kiusalama na kiutamaduni wa Marekani na Israel, kunatokana na baraka za kuwepo imani na ucha-Mungu baina ya matabaka ya wananchi na vijana wa Iran.

  • Mwakilishi wa Democrat: Trump ni tishio kubwa kwa usalama wa Marekani; wakati wa kumuondoa umefika

    Mwakilishi wa Democrat: Trump ni tishio kubwa kwa usalama wa Marekani; wakati wa kumuondoa umefika

    Mar 17, 2018 12:14

    Mwakilishi wa chama cha Democrat katika Baraza la Wawakilishi la Marekani amesema rais Donald Trump ni tishio kubwa sana kwa usalama wa nchi hiyo.

  • Iran haifanyi mazungumzo tena kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Iran haifanyi mazungumzo tena kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Mar 16, 2018 03:20

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza kuwa katu haitakubali kufanyika mazungumzo mapya kuhusu mapatano ya nyuklia baina yake na mdola sita makubwa duniani.

  • Mkuu wa zamani wa NSA: Ni kweli Gina Haspel wa CIA amehusika na utesaji mkubwa wa watuhumiwa

    Mkuu wa zamani wa NSA: Ni kweli Gina Haspel wa CIA amehusika na utesaji mkubwa wa watuhumiwa

    Mar 15, 2018 11:09

    Mkuu wa zamani wa Shirika la Usalama wa Taifa la Marekani (NSA) amethibitisha habari kwamba, Gina Haspel mkuu mpya wa Shirika la Kijasusi la Marekani CIA amehusika na utesaji dhidi ya watuhumiwa na washukiwa wa ugaidi, huku akijaribu pia kumtetea.

  • Imarati yadai kuhusika katika kuuzuliwa Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani

    Imarati yadai kuhusika katika kuuzuliwa Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani

    Mar 14, 2018 11:01

    Abdulkhaliq Abdullah Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Umoja wa Falme za Kiarabu Imarati na ambaye pia ni Naibu wa Sheikh Mohammed bin Zayed Al Nahyan mrithi wa Mtawala wa Abu Dhabi amedai kuwa nchi hiyo imehusika katika kuuzuliwa Rex Tillerson Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani na kusema kuwa anajifakharisha na hatua hiyo.

  • Wapalestina wasusia mkutano wa White House, Israel na Waarabu kuhusu Gaza

    Wapalestina wasusia mkutano wa White House, Israel na Waarabu kuhusu Gaza

    Mar 14, 2018 10:47

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina imekataa kushiriki mkutano uliofanyika katika Ikulu ya Marekani ya White House, na kuwaleta pamoja viongozi wa nchi za Kiarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wamarekani wengi wapinga sera za Trump kuhusu Iran

    Wamarekani wengi wapinga sera za Trump kuhusu Iran

    Mar 13, 2018 23:14

    Uchunguzi wa maoni uliofanywa na taasisi ya Gallup umebaini kuwa, asilimia kubwa ya Wamarekani hawakubaliani na siasa za Rais wa nchi hiyo, Donald Trump dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Mawakili wa Marekani, Palestina na Jordan kupinga uamuzi wa Trump kuhusu Quds

    Mawakili wa Marekani, Palestina na Jordan kupinga uamuzi wa Trump kuhusu Quds

    Mar 13, 2018 12:24

    Wanasheria na mawakili kadhaa wa Marekani, Palestina na Jordan wametangaza kuwa wako tayari kufungua mashtaka mahakamani dhidi ya uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu wa kuitambua Quds tukufu (Jerusalem) kuwa mji mkuu wa utawala haramu wa Israel na kutaka kuhamishia ubalozi wa Marekani katika mji huo.

  • Syria: Tishio la US kutuvamia kijeshi linachochea shambulio la silaha za kemikali

    Syria: Tishio la US kutuvamia kijeshi linachochea shambulio la silaha za kemikali

    Mar 13, 2018 04:09

    Balozi wa Syria katika Umoja wa Mataifa amemkosoa vikali mwenzake wa Marekani kwa kutishia kuwa Washington itaishambulia kijeshi nchi hiyo ya Kiarabu kwa tuhuma kuwa serikali ya Damascus imetumia silaha za kemikali, na kusisitiza kuwa kauli za namna hii zinakusudia kuyachochea magenge ya kigaidi yatekeleze hujuma za kemikali dhidi ya raia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS