Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Vitisho vipya vya Marekani dhidi ya Russia na China

    Vitisho vipya vya Marekani dhidi ya Russia na China

    Mar 11, 2018 23:01

    Jenerali John E. Hyten Mkuu wa Kamandi ya Kistratijia ya Marekani (United States Strategic Command) sambamba na kubainisha kwamba China na Russia hazifahamu mahala zilipo nyambizi za nyuklia za Marekani, amesisitiza kuwa, nchi yake ina uwezo wa kuzisababishia hasara kubwa nchi hizo kwa kutumia makombora ya kutoka bara hadi bara yaliyomo kwenye nyambizi hizo.

  • Uturuki: Marekani isithubutu kutuwekea aina yoyote ya vikwazo, sisi ni marafiki

    Uturuki: Marekani isithubutu kutuwekea aina yoyote ya vikwazo, sisi ni marafiki

    Mar 10, 2018 23:57

    Serikali ya Uturuki kupitia Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo, imeitahadharisha Marekani juu ya kuiwekea vikwazo vya aina yoyote.

  • Maduro: Kamishna wa Haki za Binadamu wa UN ni 'saratani na kikaragosi cha Marekani'

    Maduro: Kamishna wa Haki za Binadamu wa UN ni 'saratani na kikaragosi cha Marekani'

    Mar 10, 2018 04:24

    Rais wa Venezuela amemtaja Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa kama saratani na kikaragosi cha Marekani.

  • Syria: Madai ya Marekani dhidi yetu yanalenga kuwapa himaya magaidi

    Syria: Madai ya Marekani dhidi yetu yanalenga kuwapa himaya magaidi

    Mar 10, 2018 04:18

    Balozi wa Syria katika Umoja wa Mataifa amesema tuhuma zilizotolewa na Marekani na waitifaki wake dhidi ya Damascus hazina madhumuni mengine ghairi ya kuyakingia kifua na kuyapa himaya makundi ya kigaidi katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Zana za kijeshi za Marekani zapatikana katika maficho ya magaidi huko Ghouta Mashariki, nchini Syria

    Zana za kijeshi za Marekani zapatikana katika maficho ya magaidi huko Ghouta Mashariki, nchini Syria

    Mar 09, 2018 00:35

    Jeshi la Syria jana (Alkhamisi) lilikamata kiwango kikubwa cha silaha na zana za kijeshi pamoja na mada za miripuko zilizotengenezwa nchini Marekani, katika maficho ya magaidi huko Ghouta Mashariki katika viunga vya mji mkuu, Damascus.

  • Kiongozi: Kujishughulisha Iran na masuala ya eneo hakuna uhusiano wowote na Marekani na Ulaya

    Kiongozi: Kujishughulisha Iran na masuala ya eneo hakuna uhusiano wowote na Marekani na Ulaya

    Mar 08, 2018 13:06

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei amesema: wakati Marekani inajiingiza kila mahali kwa kuzusha fitina na kufanya uharibifu, kila mara inatilia shaka kuwepo na kujishughulisha Iran na masuala ya eneo la Mashariki ya Kati.

  • Hizbullah: Saudia na Marekani zinaingilia uchaguzi wa Lebanon

    Hizbullah: Saudia na Marekani zinaingilia uchaguzi wa Lebanon

    Mar 08, 2018 12:33

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Saudi Arabia na Marekani zinakula njama ya kuingilia uchaguzi wa Bunge la nchi hiyo unaotazamiwa kufanyika mwezi Mei mwaka huu.

  • Malengo ya Marekani barani Afrika

    Malengo ya Marekani barani Afrika

    Mar 08, 2018 03:50

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amewasili Addis Ababa mji mkuu wa Ethiopia ikiwa ni kituo chake cha kwanza cha safari yake ya kiduru ya kuzitembelea nchi kadhaa za Kiafrika.

  • Muigizaji wa filamu za ngono wa Marekani ampeleke mahakamani Trump

    Muigizaji wa filamu za ngono wa Marekani ampeleke mahakamani Trump

    Mar 07, 2018 22:11

    Muigizaji wa filamu za ngono ambaye anadai kwamba aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Donald Trump amemshitaki rais huyo wa Marekani, kwa kile alichokitaja kuwa ukiukaji wa makubaliano.

  • Ujerumani yamkosoa Trump juu ya hatari ya vita vya kibiashara na EU

    Ujerumani yamkosoa Trump juu ya hatari ya vita vya kibiashara na EU

    Mar 06, 2018 23:42

    Msemaji wa Serikali ya Ujerumani ameikosoa Marekani juu ya uwezekano wa kutokea vita vya kibiashara kufuatia hatua ya Washington kuongeza kiwango cha ushuru wa forodha kwa bidhaa za Ulaya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS