Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Mazungumzo ya Netanyahu na Trump sambamba na kuanza manuva makubwa ya kijeshi ya Marekani na Israel

    Mazungumzo ya Netanyahu na Trump sambamba na kuanza manuva makubwa ya kijeshi ya Marekani na Israel

    Mar 06, 2018 23:42

    Rais Donald Trump wa Marekani ameunga mkono katika mazungumzo yake na Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala ghasibu wa Israel misimamo ya utawala huo katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na kusema kwamba, yumkini akashiriki katika hafla ya ufunguzi wa ubalozi wa Washington huko Beitul-Muqaddas.

  • Zarif azikosoa nchi za Ulaya kwa kukubali mashinikizo ya Marekani

    Zarif azikosoa nchi za Ulaya kwa kukubali mashinikizo ya Marekani

    Mar 05, 2018 13:44

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa baadhi ya matamshi na mienendo ya viongozi wa nchi za Ulaya kuhusuna na utekelezaji wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na vilevile tabia yao ya kusalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani.

  • Rais Bashar al-Assad: Muungano wa Marekani unaunga mkono genge la Daesh Syria

    Rais Bashar al-Assad: Muungano wa Marekani unaunga mkono genge la Daesh Syria

    Mar 05, 2018 04:41

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, muungano wa kimataifa unaodaiwa kuwa 'dhidi ya Daesh' chini ya uongozi wa Marekani, kwa sasa umegeuka na kuwa kikosi cha anga cha kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) nchini Syria.

  • Trump ataka Marekani iwe na 'rais wa maisha kama China'

    Trump ataka Marekani iwe na 'rais wa maisha kama China'

    Mar 04, 2018 04:42

    Rais Donald Trump wa Marekani ametoa matamshi yanayoashiria kuwa angependa kuiona nchi hiyo ikiwa na rais wa kudumu maisha.

  • Iran ina ushahidi kuhusu uhusiano wa Marekani na Daesh (ISIS)

    Iran ina ushahidi kuhusu uhusiano wa Marekani na Daesh (ISIS)

    Mar 04, 2018 04:30

    Msaidizi Maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema vyombo vya usalama vya Iran vina ithibati kuhusu uhusiano kati ya Marekani na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS).

  • Watu sita wapoteza maisha, nyumba milioni mbili Marekani zakosa umeme kwa sababu ya baridi kali, mafuriko

    Watu sita wapoteza maisha, nyumba milioni mbili Marekani zakosa umeme kwa sababu ya baridi kali, mafuriko

    Mar 03, 2018 23:07

    Watu wasiopungua sita wamepoteza maisha na nyumba zaidi ya milioni mbili zimekosa umeme Marekani kutokana na upepo mkali, mvua na theluji huku maelefu ya safari za ndege zikifutwa na ofisi nyingi za serikali zikifungwa.

  • Kongamano la kuwapinga Wazayuni wa Israel lafanyika nchini Marekani

    Kongamano la kuwapinga Wazayuni wa Israel lafanyika nchini Marekani

    Mar 03, 2018 12:46

    Jarida la Washington Report kwa kushirikiana na kitengo cha Mashariki ya Kati cha Taasisi ya Utafiti ya Marekani limetangaza habari ya kufanyika kongamano la kuipinga Israel mjini Washington.

  • Pentagon yaonya: Askari 10,000 wa Marekani 'watakufa' vita vikianza tu dhidi ya Korea Kaskazini

    Pentagon yaonya: Askari 10,000 wa Marekani 'watakufa' vita vikianza tu dhidi ya Korea Kaskazini

    Mar 03, 2018 04:26

    Makamanda wakuu wa jeshi la Marekani wameonya kuwa vita dhidi ya Korea Kaskazini vinaweza kusababisha kuuawa au kujeruhiwa askari wapatao 10,000 wa Marekani katika siku za mwanzoni tu baada ya kuanzishwa vita hivyo, idadi ambayo ni kubwa zaidi kuliko jumla ya askari 7,000 wa nchi hiyo waliouawa vitani katika nchi za Iraq na Afghanistan.

  • Onyo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq kwa Marekani

    Onyo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq kwa Marekani

    Mar 03, 2018 03:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq amesema kuwa nchi hiyo itaendelea kupinga kuanzishwa vituo vya kijeshi vya Marekani katika ardhi ya nchi hiyo.

  • China yazionya nchi zinazofuata sera za kibiashara za Marekani

    China yazionya nchi zinazofuata sera za kibiashara za Marekani

    Mar 03, 2018 01:11

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amesema kuwa, ufuataji sera za kibiashara za Marekani unaofanywa na baadhi ya nchi katika uga wa kibiashara, utasababisha madhara kwa biashara ya kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS