Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kutoridhishwa Ulaya na msimamo wa Trump ulio dhidi ya makubaliano ya JCPOA

    Kutoridhishwa Ulaya na msimamo wa Trump ulio dhidi ya makubaliano ya JCPOA

    Oct 15, 2017 04:45

    Viongozi wa nchi tatu kubwa za Ulaya yaani Theresa May Waziri Mkuu wa Uingereza, Angela Merkel Kansela wa Ujerumani na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa wameleeza wasiwasi wao kupitia taarifa ya pamoja waliyotoa kuhusu msimamo usiofaa wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu JCPOA. Taarifa ya viongozi hao wa nchi tatu kubwa za Ulaya imetolewa kufuatia matamshi ya Rais wa Marekani kuhusiana na stratejia ya nchi hiyo mkabala na Iran.

  • Iran: Trump ni mfanyabiashara, hajui chochote kuhusu siasa na diplomasia

    Iran: Trump ni mfanyabiashara, hajui chochote kuhusu siasa na diplomasia

    Oct 15, 2017 04:32

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Katika Masuala ya Kimataifa amesema tabia zisizo na mantiki za Rais Donald Trump wa Marekani zinaashiria kuwa hajui siasa wala hana ufahamu kuhusu mambo ya historia.

  • Korea Kaskazini yaionya Australia dhidi ya kushirikiana na Marekani

    Korea Kaskazini yaionya Australia dhidi ya kushirikiana na Marekani

    Oct 15, 2017 04:27

    Korea Kaskazini imeionya Australia kuwa inajitafutia balaa kwa kushirikiana na Marekani na Korea Kusini kuishinikiza Pyongyang iachane na mipango yake ya nyuklia na makombora ya balestiki.

  • Imarati ilitaka kuivamia kijeshi Qatar kwa kutumia mamluki wa US

    Imarati ilitaka kuivamia kijeshi Qatar kwa kutumia mamluki wa US

    Oct 15, 2017 04:20

    Imebainika kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ulikula njama ya kuishambulia kijeshi Qatar, kwa kutumia maelfu ya mamluki waliopata mafunzo ya kijeshi kutoka kampuni moja ya Marekani.

  • Ofisi inayoshughulikia maslahi ya Iran nchini Marekani yashambuliwa

    Ofisi inayoshughulikia maslahi ya Iran nchini Marekani yashambuliwa

    Oct 15, 2017 04:16

    Ofisi inayoshughulikia maslahi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Washington imevamiwa, masaa machache baada ya hotuba ya kichochezi iliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani, dhidi ya makubaliano ya nyuklia ya Iran.

  • Russia: Marekani itahatarisha usalama wa dunia ikijiondoa JCPOA

    Russia: Marekani itahatarisha usalama wa dunia ikijiondoa JCPOA

    Oct 14, 2017 00:48

    Russia imeonya kuwa Marekani itahatarisha usalama wa dunia ikijiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran yaliyotiwa saini mwaka 2015 baina ya Iran na madola sita makubwa duniani.

  • Marekani, Israel zatengwa kimataifa baada ya kujiondoa UNESCO

    Marekani, Israel zatengwa kimataifa baada ya kujiondoa UNESCO

    Oct 13, 2017 11:26

    Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel zimetengwa kimataifa bada ya kutangaza kujiondoa katika Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni, UNESCO.

  • Larijani: Iran haitoinasa kwenye utando wa buibui wa Marekani

    Larijani: Iran haitoinasa kwenye utando wa buibui wa Marekani

    Oct 13, 2017 04:30

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema muamala wa wanasiasa wa Marekani ni wa kuvutia watu wa kawaida na wa mpito na akasisitiza kwa kusema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inafuatilia kwa makini mienendo na hatua zao zote na itachukua uamuzi kulingana na maslahi yake ya taifa.

  • Marekani kujiondoa UNESCO Disemba mwaka huu

    Marekani kujiondoa UNESCO Disemba mwaka huu

    Oct 12, 2017 10:47

    Marekani imetangaza kuwa itajiondoa kwenye Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) kuanzia Disemba 31 mwaka huu.

  • EU: Marekani itajipotezea itibari kimataifa ikijiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran

    EU: Marekani itajipotezea itibari kimataifa ikijiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran

    Oct 12, 2017 03:35

    Mkuu wa Sera za Kigeni katika Umoja wa Ulaya amesema iwapo Marekani itajiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama "Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA), jambo hilo litaipotezea Marekani itibari miongoni mwa nchi zingine duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS