-
Kamanda wa IRGC: Marekani inaunga mkono kilojistiki magaidi wa ISIS Iraq na Syria
Oct 12, 2017 02:10Kamanda wa ngazi za juu nchini Iran amesema Marekani inawapatia silaha na misaada ya chakula magaidi wa kundi la ISIS au Daesh nchini Syria na Iraq wakati magaidi hao wanakaribia kuangamizwa.
-
Rouhani: Iwapo Marekani itajitoa katika JCPOA madhara ya jambo hilo litaidhuru Marekani yenyewe
Oct 11, 2017 13:23Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, iwapo Marekani itajitoa katika makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina maarufu la JCPOA, madhara ya kujitoa huko yatawakumba Wamarekani wenyewe. Amesisitiza kuwa, Iran haitakwamishwa na jambo lolote katika kufikia malengo yake.
-
US yaanzisha tena chokochoko katika Peninsula ya Korea
Oct 11, 2017 04:49Kwa mara nyingine tena Marekani imefanya maneva ya kijeshi kwa kushirikiana na Korea Kusini na Japan katika Peninsula Korea.
-
17 wapoteza maisha baada ya moto kuteketeza misitu, makazi Marekani
Oct 11, 2017 04:47Watu wasiopungua 17 wamefariki dunia katika mkasa wa moto unaoendelea kuteketeza misitu katika jimbo la California nchini Marekani.
-
Brigedia Jenerali Jazayeri: Marekani inapaswa kupewa somo jipya
Oct 10, 2017 23:05Msemaji wa majeshi ya Iran amelaani vitisho na madai yanayotolewa na Rais Doland Trump wa Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu na kusisitiza kuwa, umewadia wakati wa kutolewa somo jipya kwa Marekani.
-
Kuendelea upinzani sambamba na uamuzi tarajiwa wa Trump kuhusiana na makubaliano ya JCPOA
Oct 10, 2017 23:02Sambamba na kukaribia tarehe ya kutangazwa msimamo wa serikali ya Marekani kuhusiana na Iran na makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA), mazungumzo kwa ajili ya Washington kuheshimu makubaliano hayo ya nyuklia nayo yameshika kasi.
-
Clinton: Donald Trump ndiye rais hatari zaidi katika historia ya Marekani
Oct 10, 2017 12:28Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Marekani amesema kuwa, Donald Trump ndiye rais hatari zaidi katika historia ya nchi hiyo.
-
Bahram Qassemi: Miradi ya nyuklia ya Iran haijakengeuka azimio nambari 2231
Oct 09, 2017 10:41Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa siasa za Iran kuimarisha makombora yake hazijakengeuka azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Iran itatumia fursa iliyoibuliwa na uhasama wa Rais wa Marekani kuijiimarisha kijeshi
Oct 08, 2017 10:40Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, IRGC, amesema Iran itatumia fursa iliyojitokeza katika matamshi yaliyojaa uhasama ya Rais wa Marekani kujiimarisha kijeshi.
-
Komando wa nne wa Marekani auawa katika hujuma Niger
Oct 07, 2017 10:59Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon, imethibitisha kuuawa Komando wa nne wa jeshi la nchi hiyo katika hujuma ya kuvizia nchini Niger ambapo awali ilikuwa imetangazwa ni makomnando watatu waliouawa.