-
Wamarekani wengi wanapinga nchi yao kuingilia masuala ya nchi za Kiislamu
Mar 29, 2016 09:48Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa yanaonesha kuwa Wamarekani wengi wanapinga nchi yao kuingilia masuala ya ndani ya nchi za Kiislamu.
-
Sera za kigeni za Marekani na jinamizi la Donald Trump
Mar 29, 2016 02:52Huku kukiwa na uwezekano mkubwa wa kupata ushindi Donald Trump katika uteuzi wa mgombea wa chama cha Republican kuwania urais Marekani, kumeibuka wasi wasi kuhusu taathira hasi ya mwanasiasa huyo wa kutatanisha na bilionea katika sera za kigeni za Marekani.
-
'Kampeni za urais zinaiaibisha Marekani'
Mar 28, 2016 02:46Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry amekiri kuwepo utovu wa nidhamu katika kampeni za uchaguzi wa rais nchini humo na kusema jambo hilo limepelekea Marekani kuaibika kimataifa.
-
Pentagon: Marekani kutuma vikosi zaidi nchini Iraq
Mar 26, 2016 03:39Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) inajiandaa kutuma vikosi zaidi vya jeshi la nchini hiyo huko Iraq, eti kwa lengo la kuipa nguvu operesheni inayoendelea dhidi ya kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.
-
Wimbi jipya la chuki laibuka dhidi ya Uislamu Marekani
Mar 25, 2016 11:22Waislamu nchini Marekani wanakabiliana na wimbi jipya la chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia hata baada ya kuwa wamelaani vikali hujuma ya kigaidi mjini Brussels, Ubelgiji Jumanne hii.
-
Wazayuni washirikiana na Idara ya Upelezi Marekani FBI kudukua simu za Iphone
Mar 24, 2016 22:54Baada ya Shirika la Simu za Apple kukataa kushirikiana na Idara ya Polisi ya Upelelezi Marekani FBI katika kuifungua simu aina ya iPhone iliyotumiwa na mtu anayedaiwa kutekeleza mauaji San Bernardino, California mwaka jana, shirika moja la Kizayuni limepewa jukumu la kuifungua simu hiyo.
-
Mgombea mwingine wa rais Marekani afuata nyayo za Trump
Mar 23, 2016 02:57Mgombea wa kiti cha rais kupitia chama cha Republican Ted Cruz amependekeza kuazishwa msako mkali dhidi ya wafuasi wa dini ya Kiislamu eti kwa shabaha ya kuwazuia ‘wasiingie kwenye kundi la wenye misimamo iliyofurutu ada’.
-
Rais wa Marekani awasili Cuba katika safari ya kihistoria
Mar 20, 2016 21:53Rais Barack Obama wa Marekani amewasili katika mji mkuu wa Cuba, Havana katika safari inayotajwa kuwa ya kihistoria.
-
Kiongozi asisitiza kuhusu uadui wa Marekani dhidi ya Iran
Mar 20, 2016 13:33Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuhusu kuendelea uadui wa Marekani na taifa la Iran na kusema kuwa, 'Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitalegeza msimamo kuhusu misimamo yake ya kimsingi.'
-
'Ni unafiki US kusema itashirikiana na ICC dhidi ya ISIS'
Mar 19, 2016 04:17Mchambuzi mmoja mashuhuri wa masuala ya kisiasa amesema serikali ya Marekani haiaminiki na kwamba madai yaake ya hivi karibuni kwamba iko tayari kushirikiana na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kuhakikisha wanachama wa kundi la kigaidi na kitaifiri la ISIS au Daesh wanapandishwa kizimbani ni ya kinafiki.