Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • UEI: Ikiwa Trump atashinda basi uchumi wa dunia utakuwa mashakani

    UEI: Ikiwa Trump atashinda basi uchumi wa dunia utakuwa mashakani

    Mar 18, 2016 00:18

    Asasi ya Intelejensia ya Uchumi 'Unit Economist Intelligence' inayojihusisha na utafiti wa masuala ya uchumi, imetahadharisha kuwa, ikiwa Donald Trump atashinda katika uchaguzi ujao wa rais nchini Marekani, basi uchumi wa dunia utakuwa mashakani.

  • Trump, mgombea urais Marekani atoa vitisho visivo vya kawaida

    Trump, mgombea urais Marekani atoa vitisho visivo vya kawaida

    Mar 17, 2016 23:20

    Donald Trump, anayewania uteuzi wa chama cha Republican kugombea kiti cha urais Marekani ametishia kuwa, iwapo hatateuliwa na chama hicho, basi watu wasubiri ghasia na machafuko kote Marekani.

  • ISIS inatekeleza 'jinai dhidi ya binadamu'

    ISIS inatekeleza 'jinai dhidi ya binadamu'

    Mar 15, 2016 23:28

    Wabunge nchini Marekani wamepitisha azimio la kutangaza kundi la kigaidi la Daesh au ISIS kuwa linatekeleza mauaji ya kimbari nchini Iraq na Syria.

  • ISIS inatekeleza 'jinai dhidi ya binadamu'

    ISIS inatekeleza 'jinai dhidi ya binadamu'

    Mar 15, 2016 11:59

    Wabunge nchini Marekani wamepitisha azimio la kutangaza kundi la kigaidi la Daesh au ISIS kuwa linatekeleza mauaji ya kimbari nchini Iraq na Syria.

  • Ansari: Hukumu ya mahakama ya Marekani dhidi ya Iran ni kichekesho

    Ansari: Hukumu ya mahakama ya Marekani dhidi ya Iran ni kichekesho

    Mar 13, 2016 22:51

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa hukumu iliyotolewa na mahakama ya Marekani dhidi ya Iran ni kichekesho, haina maana na inachezea shere vyombo vya mahakama na uadilifu na kuzidisha doa jeusi katika utendaji wa mahakama za Marekani.

  • Wanawake Waislamu US watakiwa kujifunza mbinu za kujihami

    Wanawake Waislamu US watakiwa kujifunza mbinu za kujihami

    Mar 13, 2016 13:22

    Baraza la Mahusiano la Waislamu nchini Marekani limewataka wanawake wa Kiislamu nchini humo kujifunza mbinu za kujilinda na kujihami wanaposhambuliwa, wakati huu ambapo chuki dhidi ya Waislamu na Uislamu zimeongezeka kwa kiasi kikubwa mno.

  • Russia: Marekani iache unafiki na undumakuwili

    Russia: Marekani iache unafiki na undumakuwili

    Mar 11, 2016 05:53

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameitaja Marekani pamoja na waitifaki wake wa Magharibi kuwa ni wanafiki kwa kukataa kulaani hujuma za hivi karibuni dhidi ya ubalozi wa Russia nchini Ukraine.

  • Venezuela yamuita nyumbani mwanadiplomasia wake wa ngazi za juu US

    Venezuela yamuita nyumbani mwanadiplomasia wake wa ngazi za juu US

    Mar 10, 2016 04:27

    Venezuela imemuita nyumbani mwanadiplomasia wake wa ngazi za juu nchini Marekani kulalamikia hatua ya Washington ya kutangaza vikwazo vipya dhidi ya maafisa wakuu wa nchi hiyo.

  • Mhubiri Mkristo Mmarekani aliyewanyanyasa mayatima kingono huko Kenya afungwa

    Mhubiri Mkristo Mmarekani aliyewanyanyasa mayatima kingono huko Kenya afungwa

    Mar 08, 2016 11:18

    Mhubiri Mkristo wa Marekani amehukumiwa miaka 40 jela kwa kuwanyanyasa kingono watoto katika kituo kimoja cha mayatima chini Kenya.

  • Washington Post: Marekani inajitayarisha kuishambulia Korea ya Kaskazini

    Washington Post: Marekani inajitayarisha kuishambulia Korea ya Kaskazini

    Mar 07, 2016 12:48

    Gazeti moja linalochapishwa nchini Marekani limeandika kuwa Marekani na Korea ya Kusini zinafanya mazoezi katika maneva yao pamoja kwa ajili ya kuvishambulia vituo vya nyuklia vya Korea ya Kaskazini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS