Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Ujerumani: Trump ni hatari kwa amani na usalama wa dunia

    Ujerumani: Trump ni hatari kwa amani na usalama wa dunia

    Mar 06, 2016 21:48

    Makamu Chansela wa Ujerumani amesema Donald Trump, mgombea wa kiti cha rais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican ni hatari kwa amani na maendeleo duniani.

  • Kuzusha vita baina ya Waislamu wa Kishia na Kisuni, lengo kuu la Marekani

    Kuzusha vita baina ya Waislamu wa Kishia na Kisuni, lengo kuu la Marekani

    Mar 06, 2016 21:47

    Mkuu wa kitengo cha habari na malezi cha Chuo Kikuu cha al Mansoura cha nchini Misri amesema, kuzusha vita baina ya Waislamu wa Kisuni na Kishia ndilo lengo kuu la Marekani katika njama zake za kuwarafakanisha Waislamu.

  • Mmarekani mweusi afukuzwa katika mkutano wa Trump

    Mmarekani mweusi afukuzwa katika mkutano wa Trump

    Mar 03, 2016 10:59

    Mgombea wa kiti cha rais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican, Dolad Trump amemfukuza mwanamke mmoja mweusi wa nchi hiyo katika mkutano wake wa kampeni.

  • Marekani, Israel, Saudia zinachochea fitna Mashariki ya Kati

    Marekani, Israel, Saudia zinachochea fitna Mashariki ya Kati

    Mar 01, 2016 23:20

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani, utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudi Arabia zinachochea fitna na mizozo ya kimadhehebu katika eneo nyeti la Mashariki ya Kati.

  • Wafungwa wa kike Marekani walalamikia unyanyasaji wa kingono

    Wafungwa wa kike Marekani walalamikia unyanyasaji wa kingono

    Feb 27, 2016 22:56

    Wafungwa 6 wa kike wanaoshikiliwa katika jela ya mji wa New York nchini Marekani wamewasilisha mashtaka ya kufanyiwa ukatili wa kijinsia na maafisa wa jela hiyo.

  • Sanders: Mfumo wa ubaguzi ukomeshwe Marekani

    Sanders: Mfumo wa ubaguzi ukomeshwe Marekani

    Feb 26, 2016 00:23

    Bernie Sanders anayewania nafasi ya kugombea kiti cha rais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Demicratic amesema nchi yake inapaswa kukomesha mfumo usiofaa wa mahakama na ubaguzi unaofanyika kwa mpangilio maalumu.

  • Ripoti ya Amnesty International kuhusu ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu duniani

    Ripoti ya Amnesty International kuhusu ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu duniani

    Feb 25, 2016 03:29

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International (AI) limetahadharisha juu ya uwezekano wa kutoweka matunda yote ya miaka 70 iliyopita katika uwanja wa haki za binadamu duniani.

  • Utafiti: Mwanya kati ya matajiri na masikini unazidi kupanuka Marekani

    Utafiti: Mwanya kati ya matajiri na masikini unazidi kupanuka Marekani

    Feb 24, 2016 11:02

    Utafiti mpya unaonyesha kuwa mwanya kati ya matajiri na masikini unazidi kupanuka nchini Marekani.

  • Rais Assad: Uchaguzi wa bunge Syria kufanyika Aprili

    Rais Assad: Uchaguzi wa bunge Syria kufanyika Aprili

    Feb 23, 2016 04:17

    Rais Bashar al-Assad wa Syria ametangaza tarehe 13 Aprili mwaka huu 2016 kuwa siku ya uchaguzi wa bunge nchini humo.

  • Marekani yaongoza kwa kuuza silaha, Saudia yaongoza kwa kununua silaha Mashariki ya Kati

    Marekani yaongoza kwa kuuza silaha, Saudia yaongoza kwa kununua silaha Mashariki ya Kati

    Feb 22, 2016 04:20

    Marekani imeongeza biashara yake ya silaha kwa nchi za Afrika, Asia na Mashariki ya Kati na kuwa muuzaji mkubwa zaidi wa silaha duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS