-
Ujerumani: Trump ni hatari kwa amani na usalama wa dunia
Mar 06, 2016 21:48Makamu Chansela wa Ujerumani amesema Donald Trump, mgombea wa kiti cha rais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican ni hatari kwa amani na maendeleo duniani.
-
Kuzusha vita baina ya Waislamu wa Kishia na Kisuni, lengo kuu la Marekani
Mar 06, 2016 21:47Mkuu wa kitengo cha habari na malezi cha Chuo Kikuu cha al Mansoura cha nchini Misri amesema, kuzusha vita baina ya Waislamu wa Kisuni na Kishia ndilo lengo kuu la Marekani katika njama zake za kuwarafakanisha Waislamu.
-
Mmarekani mweusi afukuzwa katika mkutano wa Trump
Mar 03, 2016 10:59Mgombea wa kiti cha rais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican, Dolad Trump amemfukuza mwanamke mmoja mweusi wa nchi hiyo katika mkutano wake wa kampeni.
-
Marekani, Israel, Saudia zinachochea fitna Mashariki ya Kati
Mar 01, 2016 23:20Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani, utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudi Arabia zinachochea fitna na mizozo ya kimadhehebu katika eneo nyeti la Mashariki ya Kati.
-
Wafungwa wa kike Marekani walalamikia unyanyasaji wa kingono
Feb 27, 2016 22:56Wafungwa 6 wa kike wanaoshikiliwa katika jela ya mji wa New York nchini Marekani wamewasilisha mashtaka ya kufanyiwa ukatili wa kijinsia na maafisa wa jela hiyo.
-
Sanders: Mfumo wa ubaguzi ukomeshwe Marekani
Feb 26, 2016 00:23Bernie Sanders anayewania nafasi ya kugombea kiti cha rais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Demicratic amesema nchi yake inapaswa kukomesha mfumo usiofaa wa mahakama na ubaguzi unaofanyika kwa mpangilio maalumu.
-
Ripoti ya Amnesty International kuhusu ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu duniani
Feb 25, 2016 03:29Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International (AI) limetahadharisha juu ya uwezekano wa kutoweka matunda yote ya miaka 70 iliyopita katika uwanja wa haki za binadamu duniani.
-
Utafiti: Mwanya kati ya matajiri na masikini unazidi kupanuka Marekani
Feb 24, 2016 11:02Utafiti mpya unaonyesha kuwa mwanya kati ya matajiri na masikini unazidi kupanuka nchini Marekani.
-
Rais Assad: Uchaguzi wa bunge Syria kufanyika Aprili
Feb 23, 2016 04:17Rais Bashar al-Assad wa Syria ametangaza tarehe 13 Aprili mwaka huu 2016 kuwa siku ya uchaguzi wa bunge nchini humo.
-
Marekani yaongoza kwa kuuza silaha, Saudia yaongoza kwa kununua silaha Mashariki ya Kati
Feb 22, 2016 04:20Marekani imeongeza biashara yake ya silaha kwa nchi za Afrika, Asia na Mashariki ya Kati na kuwa muuzaji mkubwa zaidi wa silaha duniani.