Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Wanasiasa wa Marekani ni watumishi wa utawala wa Kizayuni

    Wanasiasa wa Marekani ni watumishi wa utawala wa Kizayuni

    Feb 22, 2016 00:08

    Mchambuzi mmoja maarufu wa nchini Marekani amesema kuwa, wanasiasa wa Marekani wapo kwa ajili ya kuutumikia utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • 40 wauawa Libya katika hujuma ya ndege ya Marekani

    40 wauawa Libya katika hujuma ya ndege ya Marekani

    Feb 19, 2016 10:05

    Mashambulizi ya anga yaliyotekelezwa na ndege ya kivita ya Marekani yamesababisha mauaji ya watu zaidi ya 40 katika mji wa Sabratha, kaskazini magharibi mwa Libya.

  • Chuo Kikuu cha Marekani charuhusu bastola darasani

    Chuo Kikuu cha Marekani charuhusu bastola darasani

    Feb 18, 2016 11:37

    Chuo Kikuu cha Texas mjini Austin nchini Marekani kimewapa idhini wanachuo kuingia na bastola madarasani.

  • Bennett: Marekani imelipa kundi la Daesh silaha za kemikali

    Bennett: Marekani imelipa kundi la Daesh silaha za kemikali

    Feb 17, 2016 00:08

    Afisa wa zamani wa jeshi la Marekani amesema kuwa silaha za kemikali zinazomilikiwa na kundi la Daesh zimetoka Marekani.

  • J'afari: Mashaka ya dunia ya sasa ni matunda ya siasa za Magharibi

    J'afari: Mashaka ya dunia ya sasa ni matunda ya siasa za Magharibi

    Feb 17, 2016 00:07

    Mwakilishi wa kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa amesema matatizo na mashaka ya sasa ya dunia ni matunda ya siasa za Magharibi hususan Marekani.

  • Iran yazitaka Marekani na Aal Saud zifikirie upya siasa zao

    Iran yazitaka Marekani na Aal Saud zifikirie upya siasa zao

    Feb 08, 2016 22:58

    Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Meja Jenerali Hassan Firouzabadi amesema kuwa, viongozi wa Marekani na wale wa utawala wa Saudi Arabia wa Aal Saud waapaswa kufikiria upya siasa zao za kupenda vita na chokochoko dhidi ya mataifa ya Mashariki ya Kati.

  • White House yakosolewa kwa mwenendo wake mbaya dhidi ya Waislamu

    White House yakosolewa kwa mwenendo wake mbaya dhidi ya Waislamu

    Feb 08, 2016 03:28

    Wakosoaji na makundi mbalimbali ya Kiislamu nchini Marekani yamekosoa mwenendo wa Ikulu ya Rais wa Marekani White House na viongozi wa nchi hiyo wakisema unazidisha chuki na uhasama dhidi ya Waislamu nchini humo.

  • Mrundikano wa madeni ya Marekani na kuhesabiwa nchi hiyo kuwa mkopaji mkubwa duniani

    Mrundikano wa madeni ya Marekani na kuhesabiwa nchi hiyo kuwa mkopaji mkubwa duniani

    Feb 07, 2016 03:27

    Madeni yanayoizunguka serikali ya Marekani yanakaribia dola trilioni 20 na kuna hofu ya kuongezeka zaidi madeni hayo.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS