Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mashambulizi ya anga

  • Mashambulizi ya anga ya Israel yaua shahidi makumi ya Wapalestina Gaza

    Mashambulizi ya anga ya Israel yaua shahidi makumi ya Wapalestina Gaza

    Nov 14, 2019 02:43

    Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel jana Jumanne na kwa siku ya pili mfufulizo zilitekeleza mashambulizi ya anga zaidi ya 50 katika Ukanda wa Gaza, na kuua shahidi makumi ya Wapalestina.

  • Shambulizi la anga la Israel laua na kujeruhi Wapalestina Gaza

    Shambulizi la anga la Israel laua na kujeruhi Wapalestina Gaza

    Nov 02, 2019 12:25

    Mashambulizi ya anga ya ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel yamepelekea kuuawa shahidi raia mmoja wa Palestina na kujeruhiwa wengine wawili.

  • Uvamizi wa kijeshi wa Saudia dhidi ya Yemen umeua 100,000 tangu 2015

    Uvamizi wa kijeshi wa Saudia dhidi ya Yemen umeua 100,000 tangu 2015

    Nov 01, 2019 01:19

    Ripoti ya asasi moja isiyo ya kiserikali imesema watu zaidi ya 100,000 wameuawa nchini Yemen katika vita na mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Saudi Arabia na washirika wake tokea mwaka 2015 hadi sasa.

  • UNICEF: Watoto milioni 2 wamekatiziwa masomo Yemen kutokana na vita

    UNICEF: Watoto milioni 2 wamekatiziwa masomo Yemen kutokana na vita

    Sep 26, 2019 04:13

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umesema watoto zaidi ya milioni mbili nchini Yemen wameshindwa kuendelea na masomo yao kutokana na vita vinavyoshuhudiwa nchini humo.

  • Kutambuliwa kimataifa kwamba mashambulizi ya Marekani nchini Syria ni jinai ya kivita

    Kutambuliwa kimataifa kwamba mashambulizi ya Marekani nchini Syria ni jinai ya kivita

    Sep 12, 2019 10:25

    Muungano wa kimataifa wa eti kupambana na Daesh (ISIS) unaoongozwa na Marekani uliundwa mwaka 2014 kwa madai ya kukabiliana na genge hilo la kigaidi, na umekuwa ukifanya mashambulizi ya kiholela nchini Syria bila ya kuwa na taathira zozote za maana mbaya kwa genge hilo la ukufurishaji.

  • Makumi ya magaidi waangamizwa na jeshi la Misri eneo la Sinai

    Makumi ya magaidi waangamizwa na jeshi la Misri eneo la Sinai

    Jul 20, 2019 07:24

    Jeshi la Misri limetangaza kuwa limeua magaidi 20 katika operesheni ya vikosi vya usalama vya nchi hiyo kwenye mkoa wa Sinai Kaskazini.

  • 40 wauawa, 80 wajeruhiwa katika shambulizi la anga dhidi ya kituo cha wahajiri Libya

    40 wauawa, 80 wajeruhiwa katika shambulizi la anga dhidi ya kituo cha wahajiri Libya

    Jul 03, 2019 02:49

    Watu wasiopungua 40 wameuawa huku wengine zaidi ya 80 wakijeruhiwa katika shambulizi la anga lililolenga kituo cha kuwazuilia wahajiri haramu mashariki mwa mji mkuu wa Libya, Tripoli.

  • Hujuma ya anga ya Marekani yaua 37 nchini Somalia

    Hujuma ya anga ya Marekani yaua 37 nchini Somalia

    Nov 21, 2018 07:46

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) na Kamandi ya Jeshi la Marekani barani Afrika (AFRICOM) zimedai kuwa mashambulizi ya anga ya wanajeshi wake yamefanikiwa kuangamiza wanachama 37 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab nchini Somalia.

  • Utafiti: Mashambulizi ya anga ya Marekani huko Somalia hayana tija

    Utafiti: Mashambulizi ya anga ya Marekani huko Somalia hayana tija

    Nov 11, 2018 14:20

    Utafiti mpya umesema mashambulizi ya anga yanayofanywa kila uchao na Marekani nchini Somalia yameshindwa kulitokomeza au hata kulidhoofisha kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab na badala yake yamekuwa na taathira hasi kwa raia wa kawaida.

  • Russia yataka uchunguzi ufanyike kuhusu muungano wa Marekani kutumia silaha zilizopigwa marufuku nchini Syria

    Russia yataka uchunguzi ufanyike kuhusu muungano wa Marekani kutumia silaha zilizopigwa marufuku nchini Syria

    Oct 14, 2018 07:49

    Baada ya kuzuka machafuko na vita vya ndani nchini Syria Marekani imekuwa ikishirikiana kwa karibu na magaidi wa kitakfiri pamoja na nchi kadhaa za Kiarabu kwa ajili ya kuing'oa madarakani serikali halali ya Rais Bashar al-Asad wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS