Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • Waziri Mkuu wa Lesotho anayehusishwa na mauaji ya mkewe akosa kufika kotini

    Waziri Mkuu wa Lesotho anayehusishwa na mauaji ya mkewe akosa kufika kotini

    Feb 21, 2020 23:17

    Waziri Mkuu wa Lesotho, Thomas Thabane alikosa kufika mahakamani jana Ijumaa kwa ajili ya kesi ya mauaji inayomuandama, kutokana na kile kilichotajwa na familia yake kama sababu za kiafya. Polisi ya nchi hiyo siku ya Alkhamisi ilisema kiongozi huyo angeshtakiwa rasmi jana Ijumaa kwa mauaji ya mke wake wa zamani.

  • Seneta Sanders: Viongozi wa Saudi Arabia ni 'wauaji na majambazi'

    Seneta Sanders: Viongozi wa Saudi Arabia ni 'wauaji na majambazi'

    Feb 20, 2020 00:54

    Seneta wa Marekani, Bernie Sanders anayeongoza katika kinyang'anyiro cha kuwania tiketi ya chama cha Domocratic kwa ajili ya kugombea kiti cha rais wa nchi hiyo ameikosoa Saudi Arabia katika kampeni zake huko Las Vegas na kuwaita viongozi wa nchi hiyo kuwa ni 'wauaji na majambazi'.

  • Kukinzana ripoti rasmi ya White House na matamshi ya Trump kuhusu kuuliwa kigaidi Luteni Jenerali Soleimani

    Kukinzana ripoti rasmi ya White House na matamshi ya Trump kuhusu kuuliwa kigaidi Luteni Jenerali Soleimani

    Feb 15, 2020 23:18

    Tarehe tatu Januari mwaka huu wa 2020, rais wa Marekani, Donald Trump, alifanya jinai ya kutoa amri ya kuuliwa kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) na wanajihadi wenzake tisa karibu na uwanja wa ndege wa Baghdad, huko Iraq.

  • Mke wa Waziri Mkuu wa Lesotho afikishwa mahakama kwa kumuua mke wake wa kwanza

    Mke wa Waziri Mkuu wa Lesotho afikishwa mahakama kwa kumuua mke wake wa kwanza

    Feb 06, 2020 03:38

    Mke wa Waziri Mkuu wa Lesotho, Thomas Thabane alipandishwa kizimbana jana kwa tuhuma za kumuua mkwe wa kwanza wa kiongozi huyo siku mbili kabla ya mumewe hajababidhiwa ofisi mwaka 2017.

  • Makumi ya watu wauawa katika mapigano baina ya makundi hasimu CAR

    Makumi ya watu wauawa katika mapigano baina ya makundi hasimu CAR

    Jan 29, 2020 10:08

    Mapigano makali yaliyotokea baina ya makundi hasimu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) yamesababisha mauaji ya makumi ya watu na kuwalazimisha mamia ya wengine kukimbia nyumba zao.

  • Ugaidi, vikwazo na mauaji ya kigaidi, stratijia tatu za Magharibi dhidi ya kambi ya muqawama

    Ugaidi, vikwazo na mauaji ya kigaidi, stratijia tatu za Magharibi dhidi ya kambi ya muqawama

    Jan 19, 2020 07:27

    Wizara ya Fedha ya Uingereza katika hatua yake ya uhasama, imeliweka kikamilifu jina la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon katika orodha yake ya taasisi ambazo kwa mtazamo wa London ni za kigaidi.

  • Bwabwaja mpya za Trump kuhusiana na mauaji ya Luteni Jenerali Qassim Soleimani

    Bwabwaja mpya za Trump kuhusiana na mauaji ya Luteni Jenerali Qassim Soleimani

    Jan 14, 2020 23:18

    Januari 3 mwezi huu, Marekani ilichukua hatua ya kijinai na isiyo ya kisheria ya kumuua Luteni Jenerali Qassim Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) na Naibu Mkuu wa Harakati ya Wananchi ya Hashd al-Shaabi ya Iraq pamoja na watu waliokuwa wamefuatana nao.

  • TV ya Saudia yamtimua mtangazaji wa Palestina kwa kutangaza mshikamano na Wayemen

    TV ya Saudia yamtimua mtangazaji wa Palestina kwa kutangaza mshikamano na Wayemen

    Jan 14, 2020 01:00

    Televisheni ya Saudi Arabia imemsimamisha kazi mtangazaji wake baada ya kubainika kwamba, amekuwa akituma ujumbe katika mtandao wa kijamii wa Twitter akitangza mshikamano wake na Wayemen na kulaani mashambulizi yanayofanywa na utawala wa Riyadh dhidi ya raia wasio na hatia wa Yemen.

  • Misimamo ya kugongana ya Washington kuhusu sababu za kumuua kigaidi Luteni Soleimani

    Misimamo ya kugongana ya Washington kuhusu sababu za kumuua kigaidi Luteni Soleimani

    Jan 14, 2020 00:58

    Tarehe 3 Januari 2020, Marekani ilifanya jinai na ugaidi mkubwa wa kumuua kidhulma Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu tena akiwa mgeni rasmi wa serikali ya Iraq.

  • Trump na madai ya kizandiki ya kuwaunga mkono wananchi wa Iran

    Trump na madai ya kizandiki ya kuwaunga mkono wananchi wa Iran

    Jan 13, 2020 04:27

    Ijapokuwa tangu Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalipopata ushindi mwaka 1979 Marekani siku zote imekuwa ikiamiliana kiuadui na kiuhasama na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, lakini Donald Trump, rais afriti aliyeko madarakani hivi sasa nchini humo, yeye ametia fora na kufurutu mpaka, kwa uadui ambao haujawahi kushuhudiwa, anaoifanyia Iran na wananchi wake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS