Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel: Tutaendeleza mauaji ya kigaidi huko Gaza

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel: Tutaendeleza mauaji ya kigaidi huko Gaza

    Dec 26, 2019 22:52

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Utawala wa Kizayuni wa Israel amesema kuwa, utawala huo utaanza tena kutekeleza mauaji ya kigaidi dhidi ya wanamapambano wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza.

  • 30 wauawa na kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila Nigeria

    30 wauawa na kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila Nigeria

    Dec 20, 2019 23:14

    Kwa akali watu 12 wameuawa kwenye mapigano baina ya makabila mawili katika jimbo la Cross River kusini mwa Nigeria mpakani na Cameroon.

  • UN yatuma wanajeshi katika eneo lililokumbwa na mapigano ya kikabila Sudan Kusini

    UN yatuma wanajeshi katika eneo lililokumbwa na mapigano ya kikabila Sudan Kusini

    Dec 03, 2019 23:31

    Umoja wa Mataifa umetuma kikosi cha askari wake wa kulinda amani katika eneo la katikati mwa Sudan Kusini ambako watu karibu 80 wameuawa katika mapigano ya kikabila.

  • Wanamgambo wa ADF washambulia kijiji na kuua watu kadhaa Kongo DR

    Wanamgambo wa ADF washambulia kijiji na kuua watu kadhaa Kongo DR

    Nov 16, 2019 03:04

    Genge moja la wanamgambo limeshambulia kijiji kimoja na kuua watu sita wa familia moja mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Watu 3 wauawa katika shambulio la mtutu wa bunduki Bujumbura, Burundi

    Watu 3 wauawa katika shambulio la mtutu wa bunduki Bujumbura, Burundi

    Nov 02, 2019 09:24

    Watu waliojizatiti kwa silaha huku wakiwa wamevalia magwanda ya jeshi na polisi wameshambulia klabu moja ya burudani na kuua watu watatu katika mji mkuu wa zamani wa Burundi, Bujumbura.

  • HRW: Askari wa Afghanistan waliopewa mafunzo na CIA wanafanya jinai za kivita

    HRW: Askari wa Afghanistan waliopewa mafunzo na CIA wanafanya jinai za kivita

    Oct 31, 2019 08:01

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeripoti kuwa, kikosi cha askari wa Afghanistan kilichopewa mafunzo na kufadhiliwa na shirika la ujasusi la Marekani CIA kimefanya uhalifu wa kivita kutokana na mbinu zao za kuvamia makazi ya raia nyakati za usiku, kupoteza watu, kushambulia vituo vya afya na kuua raia.

  • UN yataka kufunguliwa kesi ya jinai zinazofanywa dhidi ya Waislamu Myanmar

    UN yataka kufunguliwa kesi ya jinai zinazofanywa dhidi ya Waislamu Myanmar

    Oct 24, 2019 23:21

    Maafisa wawili wa Umoja wa Mataifa wametoa wito wa kufunguliwa kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ili kushughulikia jinai zinazofanywa na jeshi la Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya katika jimbo la Rakhine nchini humo.

  • Maiti 39 zapatikana ndani ya lori kusini mwa Uingereza, dereva akamatwa

    Maiti 39 zapatikana ndani ya lori kusini mwa Uingereza, dereva akamatwa

    Oct 23, 2019 23:19

    Miili 39 imepatikana ndani ya lori lililokuwa limeegeshwa katika eneo la Grey, jijini Essex, mashariki mwa London, kusini mashariki mwa Uingereza.

  • Polisi ya Marekani yaendeleza ukatili dhidi ya Wamarekani weusi

    Polisi ya Marekani yaendeleza ukatili dhidi ya Wamarekani weusi

    Oct 14, 2019 04:49

    Katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa mauaji ya kibaguzi yanayofanywa na askari polisi wa Marekani dhidi ya raia wa nchi hiyo wenye asili ya Afrika, mwanamke mweusi nchini humo ameuawa kwa kupigwa risasi na polisi kupitia dirisha la chumbani kwake mapema Jumamosi

  • Shambulizi dhidi ya msikiti laua watu 15 Burkina Faso

    Shambulizi dhidi ya msikiti laua watu 15 Burkina Faso

    Oct 13, 2019 04:28

    Kwa akali watu 15 wameuawa baada ya watu waliobeba silaha kushambulia msikiti mmoja kaskazini mwa Burkina Faso.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS