-
20 wauawa katika shambulizi dhidi ya mgodi wa dhahabu Burkina Faso
Oct 06, 2019 04:39Kwa akali watu 20 wameuawa baada ya watu waliobeba silaha kushambulia mgodi wa dhahabu kaskazini mwa Burkina Faso.
-
Watu 8 wauwa karibu na mbuga ya wanyama nchini Rwanda
Oct 05, 2019 10:59Watu wanane wameuawa katika shambulizi la watu waliobeba silaha karibu na mbuga ya wanyama ya Volcanoes kaskazini mwa Rwanda.
-
30 wapoteza maisha katika maporomoko ya udongo mgodini Chad
Sep 26, 2019 23:09Makumi ya wachimba migodi wamefariki dunia baada ya kuporomokewa na udongo kwenye mgodi haramu wa dhahabu nchini Chad.
-
Zarif: Wayemen wamelenga kiwanda cha kusafirisha mafuta Saudia na si hospitali wala shule
Sep 22, 2019 23:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa msimamo wa Marekani kuhusiana na mashambulizi yaliyofanywa na wapiganaji wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen dhidi ya taasisi za mafuta za Saudi Arabia na kusisitiza kuwa, Wayemeni wamefanya mashambulizi hayo ya ndege zisizo na rubani kulipiza kisasi cha mashambulizi ya zaidi ya miaka mine sasa ya Riyadh ambayo yameua mauaji ya mamia ya maelfu ya raia wasio na hatia.
-
Maduro afichua mpango wa Marekani na Colombia wa kutaka kumuuwa
Sep 22, 2019 23:17Rais wa Venezuela amefichua mpango wa kutaka kumuuwa unaofanywa kwa siri na rais wa zamani wa Colombia kwa kushirikiana na Marekani.
-
Somalia yavunja majaribio mawili ya kutaka kumuua Waziri Mkuu wa nchi hiyo
Sep 15, 2019 07:57Waziri Mkuu wa Somalia ameokoka katika majaribio mawili ya kutaka kumuua, majaribio ambayo genge la kigaidi la al Shabab limetangaza kuhusika nayo.
-
Muhusika mkuu wa mauaji ya ndugu ya Katibu Mkuu wa Answarullah aangamizwa
Sep 11, 2019 23:46Wizara ya Mambo ya Ndani ya Serikali ya Wokovo wa Kitaifa nchini Yemen imesema kuwa, Mohammad Ali Ghayd Zawi, muhusika mkuu wa mauaji ya Ibrahim Badruddin Al Houthi, ndugu ya Katibu Mkuu wa Harakati ya Wananchi ya Answarullah nchini Yemen ameangamizwa.
-
Afrika Kusini yakiri: "Afrophobia" inahusika katika hujuma zinazowalenga raia wa kigeni
Sep 05, 2019 08:16Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amesema kuwa tabia ya kujichukulia sheria mkononi dhdi ya raia wa nchi nyingine za Afrika wanaoishi nchini humo ni moja kati ya sababu za mashambulizi na hujuma zinazowalenga wafanyabiashara wa nchi za kigeni katika miji mbalimbali ya nchi hiyo.
-
Vinara wa jaribio la mapinduzi Burkina Faso wahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela
Sep 02, 2019 22:37Waitifaki wawili wakubwa wa rais aliyeondolewa madarakani nchini Burkina Faso, Blaise Compaore, wamehukumiwa vifungo vya hadi miaka 20 jela kwa kupatikana na hatia ya kupanga mapinduzi ya mwaka 2015 dhidi ya serikali ya mpito nchini humo.
-
Yemen yawakamata mamluki waliomuua Ibrahim al Houthi
Aug 10, 2019 03:10Idara za intelijensia nchini Yemen zimefanikiwa kuwakamata mamluki waliomuua Ibrahim Badreddin al Houthi, kaka yake Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah.