Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • 20 wauawa katika shambulizi dhidi ya mgodi wa dhahabu Burkina Faso

    20 wauawa katika shambulizi dhidi ya mgodi wa dhahabu Burkina Faso

    Oct 06, 2019 04:39

    Kwa akali watu 20 wameuawa baada ya watu waliobeba silaha kushambulia mgodi wa dhahabu kaskazini mwa Burkina Faso.

  • Watu 8 wauwa karibu na mbuga ya wanyama nchini Rwanda

    Watu 8 wauwa karibu na mbuga ya wanyama nchini Rwanda

    Oct 05, 2019 10:59

    Watu wanane wameuawa katika shambulizi la watu waliobeba silaha karibu na mbuga ya wanyama ya Volcanoes kaskazini mwa Rwanda.

  • 30 wapoteza maisha katika maporomoko ya udongo mgodini Chad

    30 wapoteza maisha katika maporomoko ya udongo mgodini Chad

    Sep 26, 2019 23:09

    Makumi ya wachimba migodi wamefariki dunia baada ya kuporomokewa na udongo kwenye mgodi haramu wa dhahabu nchini Chad.

  • Zarif: Wayemen wamelenga kiwanda cha kusafirisha mafuta Saudia na si hospitali wala shule

    Zarif: Wayemen wamelenga kiwanda cha kusafirisha mafuta Saudia na si hospitali wala shule

    Sep 22, 2019 23:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa msimamo wa Marekani kuhusiana na mashambulizi yaliyofanywa na wapiganaji wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen dhidi ya taasisi za mafuta za Saudi Arabia na kusisitiza kuwa, Wayemeni wamefanya mashambulizi hayo ya ndege zisizo na rubani kulipiza kisasi cha mashambulizi ya zaidi ya miaka mine sasa ya Riyadh ambayo yameua mauaji ya mamia ya maelfu ya raia wasio na hatia.

  • Maduro afichua mpango wa Marekani na Colombia wa kutaka kumuuwa

    Maduro afichua mpango wa Marekani na Colombia wa kutaka kumuuwa

    Sep 22, 2019 23:17

    Rais wa Venezuela amefichua mpango wa kutaka kumuuwa unaofanywa kwa siri na rais wa zamani wa Colombia kwa kushirikiana na Marekani.

  • Somalia yavunja majaribio mawili ya kutaka kumuua Waziri Mkuu wa nchi hiyo

    Somalia yavunja majaribio mawili ya kutaka kumuua Waziri Mkuu wa nchi hiyo

    Sep 15, 2019 07:57

    Waziri Mkuu wa Somalia ameokoka katika majaribio mawili ya kutaka kumuua, majaribio ambayo genge la kigaidi la al Shabab limetangaza kuhusika nayo.

  • Muhusika mkuu wa mauaji ya ndugu ya Katibu Mkuu wa Answarullah aangamizwa

    Muhusika mkuu wa mauaji ya ndugu ya Katibu Mkuu wa Answarullah aangamizwa

    Sep 11, 2019 23:46

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Serikali ya Wokovo wa Kitaifa nchini Yemen imesema kuwa, Mohammad Ali Ghayd Zawi, muhusika mkuu wa mauaji ya Ibrahim Badruddin Al Houthi, ndugu ya Katibu Mkuu wa Harakati ya Wananchi ya Answarullah nchini Yemen ameangamizwa.

  • Afrika Kusini yakiri:

    Afrika Kusini yakiri: "Afrophobia" inahusika katika hujuma zinazowalenga raia wa kigeni

    Sep 05, 2019 08:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amesema kuwa tabia ya kujichukulia sheria mkononi dhdi ya raia wa nchi nyingine za Afrika wanaoishi nchini humo ni moja kati ya sababu za mashambulizi na hujuma zinazowalenga wafanyabiashara wa nchi za kigeni katika miji mbalimbali ya nchi hiyo.

  • Vinara wa jaribio la mapinduzi Burkina Faso wahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela

    Vinara wa jaribio la mapinduzi Burkina Faso wahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela

    Sep 02, 2019 22:37

    Waitifaki wawili wakubwa wa rais aliyeondolewa madarakani nchini Burkina Faso, Blaise Compaore, wamehukumiwa vifungo vya hadi miaka 20 jela kwa kupatikana na hatia ya kupanga mapinduzi ya mwaka 2015 dhidi ya serikali ya mpito nchini humo.

  • Yemen yawakamata mamluki waliomuua Ibrahim al Houthi

    Yemen yawakamata mamluki waliomuua Ibrahim al Houthi

    Aug 10, 2019 03:10

    Idara za intelijensia nchini Yemen zimefanikiwa kuwakamata mamluki waliomuua Ibrahim Badreddin al Houthi, kaka yake Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS