Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • Watu 3 wauawa katika shambulio la mtutu wa bunduki Bujumbura, Burundi

    Watu 3 wauawa katika shambulio la mtutu wa bunduki Bujumbura, Burundi

    Nov 02, 2019 09:24

    Watu waliojizatiti kwa silaha huku wakiwa wamevalia magwanda ya jeshi na polisi wameshambulia klabu moja ya burudani na kuua watu watatu katika mji mkuu wa zamani wa Burundi, Bujumbura.

  • HRW: Askari wa Afghanistan waliopewa mafunzo na CIA wanafanya jinai za kivita

    HRW: Askari wa Afghanistan waliopewa mafunzo na CIA wanafanya jinai za kivita

    Oct 31, 2019 08:01

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeripoti kuwa, kikosi cha askari wa Afghanistan kilichopewa mafunzo na kufadhiliwa na shirika la ujasusi la Marekani CIA kimefanya uhalifu wa kivita kutokana na mbinu zao za kuvamia makazi ya raia nyakati za usiku, kupoteza watu, kushambulia vituo vya afya na kuua raia.

  • UN yataka kufunguliwa kesi ya jinai zinazofanywa dhidi ya Waislamu Myanmar

    UN yataka kufunguliwa kesi ya jinai zinazofanywa dhidi ya Waislamu Myanmar

    Oct 24, 2019 23:21

    Maafisa wawili wa Umoja wa Mataifa wametoa wito wa kufunguliwa kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ili kushughulikia jinai zinazofanywa na jeshi la Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya katika jimbo la Rakhine nchini humo.

  • Maiti 39 zapatikana ndani ya lori kusini mwa Uingereza, dereva akamatwa

    Maiti 39 zapatikana ndani ya lori kusini mwa Uingereza, dereva akamatwa

    Oct 23, 2019 23:19

    Miili 39 imepatikana ndani ya lori lililokuwa limeegeshwa katika eneo la Grey, jijini Essex, mashariki mwa London, kusini mashariki mwa Uingereza.

  • Polisi ya Marekani yaendeleza ukatili dhidi ya Wamarekani weusi

    Polisi ya Marekani yaendeleza ukatili dhidi ya Wamarekani weusi

    Oct 14, 2019 04:49

    Katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa mauaji ya kibaguzi yanayofanywa na askari polisi wa Marekani dhidi ya raia wa nchi hiyo wenye asili ya Afrika, mwanamke mweusi nchini humo ameuawa kwa kupigwa risasi na polisi kupitia dirisha la chumbani kwake mapema Jumamosi

  • Shambulizi dhidi ya msikiti laua watu 15 Burkina Faso

    Shambulizi dhidi ya msikiti laua watu 15 Burkina Faso

    Oct 13, 2019 04:28

    Kwa akali watu 15 wameuawa baada ya watu waliobeba silaha kushambulia msikiti mmoja kaskazini mwa Burkina Faso.

  • 20 wauawa katika shambulizi dhidi ya mgodi wa dhahabu Burkina Faso

    20 wauawa katika shambulizi dhidi ya mgodi wa dhahabu Burkina Faso

    Oct 06, 2019 04:39

    Kwa akali watu 20 wameuawa baada ya watu waliobeba silaha kushambulia mgodi wa dhahabu kaskazini mwa Burkina Faso.

  • Watu 8 wauwa karibu na mbuga ya wanyama nchini Rwanda

    Watu 8 wauwa karibu na mbuga ya wanyama nchini Rwanda

    Oct 05, 2019 10:59

    Watu wanane wameuawa katika shambulizi la watu waliobeba silaha karibu na mbuga ya wanyama ya Volcanoes kaskazini mwa Rwanda.

  • 30 wapoteza maisha katika maporomoko ya udongo mgodini Chad

    30 wapoteza maisha katika maporomoko ya udongo mgodini Chad

    Sep 26, 2019 23:09

    Makumi ya wachimba migodi wamefariki dunia baada ya kuporomokewa na udongo kwenye mgodi haramu wa dhahabu nchini Chad.

  • Zarif: Wayemen wamelenga kiwanda cha kusafirisha mafuta Saudia na si hospitali wala shule

    Zarif: Wayemen wamelenga kiwanda cha kusafirisha mafuta Saudia na si hospitali wala shule

    Sep 22, 2019 23:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa msimamo wa Marekani kuhusiana na mashambulizi yaliyofanywa na wapiganaji wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen dhidi ya taasisi za mafuta za Saudi Arabia na kusisitiza kuwa, Wayemeni wamefanya mashambulizi hayo ya ndege zisizo na rubani kulipiza kisasi cha mashambulizi ya zaidi ya miaka mine sasa ya Riyadh ambayo yameua mauaji ya mamia ya maelfu ya raia wasio na hatia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS