-
FBI yatahadharisha, wapinzani wa utawala wa Saudia wako hatarini kuuawa
Jul 13, 2019 21:48Polisi ya Federali nchini Marekani FBI imetahadharisha kwamba, wapinzani wa utawala wa kifalme wa Saudi Arabia na jamaa wa Jamal Khashoggi wanakabiliwa na hatari ya kuuawa.
-
Wanajeshi 18 wa Niger wauawa katika hujuma dhidi ya kambi yao
Jul 02, 2019 07:30Kwa akali askari 18 wameuawa baada ya watu waliojizatiti kwa silaha kushambulia kambi ya jeshi magharibi mwa Niger.
-
Maduro: Jaribio lililofeli la kutaka kuniua liligharimu dola milioni 20
Jun 19, 2019 22:14Rais wa Venezuela amemtuhumu mbunge mmoja wa upinzani kwa kuiba kitita kikubwa cha fedha ili kutekeleza njama ya mauaji dhidi yake mwezi Agosti mwaka jana.
-
Waandamanaji waliouawa na maafisa usalama Sudan wapindukia 108
Jun 06, 2019 02:07Idadi ya watu waliouawa katika wimbi jipya la ukatili na utumiaji wa nguvu kupita kisiasa wa maafisa usalama wa Sudan dhidi ya waandamanaji wanaotaka kukabidhiwa madaraka kwa utawala wa kiraia imepindukia watu 100.
-
Mchumba wa Khashoggi akosoa kimya cha Marekani kwa mauaji ya mwanahabari huyo wa Saudia
May 17, 2019 02:56Mchumba wa Jamal Khashoggi, mwandishi habari mkosoaji wa utawala wa Aal-Saud aliyeuawa ndani ya ubalozi mdogo wa Saudi Arabia mjini Istanbul, Uturuki mwaka jana ameitaka Marekani kuanzisha uchunguzi wa mauaji ya kutisha ya mpenzi wake huyo ambaye alikuwa amepanga kufunga naye ndoa kabla ya kuuawa.
-
UN: Watu 56 wameuawa katika mapigano yanayoendelea Libya
Apr 11, 2019 09:28Umoja wa Mataifa umesema mapigano kati ya vikosi vya Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa na vile vinavyoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar nchini Libya yamesababisha watu 56 kupoteza maisha kufikia sasa.
-
Watu 60 wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Burkina Faso
Apr 04, 2019 03:25Watu wasiopungua 60 wameuawa katika mapigano ya kikabila kaskazini mwa Burkina Faso.
-
Facebook, You Tube zashtakiwa kwa kurusha mubashara mauaji ya Waislamu New Zealand
Mar 26, 2019 03:07Baraza la Waislamu nchini Ufaransa (CFCM) limeifungulia mashitaka mitandao ya kijamii ya Facebook na You Tube kwa kurusha hewani mubashara mauaji ya kutisha ya Waislamu nchini New Zealand.
-
Watu zaidi ya 130 wauawa Mali, UN yashtushwa na mauaji hayo
Mar 24, 2019 03:31Watu zaidi ya 130 wameua baada ya wavamizi waliobeba silaha kushambulia kijiji cha watu wa kabila la Fulani katika eneo la Ogossagou katikati mwa Mali.
-
Wachimba migodi 5 wauawa katika eneo la Oromia, Ethiopia
Mar 19, 2019 23:03Watu waliobeba silaha wameshambulia timbo (mgodi) na kuua wachimba migodi watano katika eneo la Oromia magharibi mwa Ethiopia.