Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • Imarati yashutumiwa kufanya njama za kurejesha utawala wa kidikteta Tunisia

    Imarati yashutumiwa kufanya njama za kurejesha utawala wa kidikteta Tunisia

    Mar 01, 2019 23:17

    Waziri Mkuu wa zamani wa Tunisia amefichua kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) unafanya njama za kufelisha juhudi za kuimarisha demokrasia nchini humo kupitia hilo za kuyafelisha mapinduzi ya wananchi wa nchi hiyo na kuurejesha madarakani utawala wa kidikteta.

  • Ripoti: Israel imeficha nyaraka laki 3 kuhusu mauaji ya kinyama dhidi ya Wapalestina

    Ripoti: Israel imeficha nyaraka laki 3 kuhusu mauaji ya kinyama dhidi ya Wapalestina

    Feb 26, 2019 04:29

    Mwandishi wa habari wa Kiyahudi anayeishi jimboni California nchini Marekani amefichua kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umeficha nyaraka laki tatu zinazohusu jinai za kutisha za utawala huo haramu yakiwemo mauaji ya Wapalestina.

  • Watu 9 wauawa katika wimbi jipya la mapigano Sudan Kusini

    Watu 9 wauawa katika wimbi jipya la mapigano Sudan Kusini

    Feb 06, 2019 04:00

    Kwa akali watu tisa wameripotiwa kuuawa katika wimbi jipya la mapigano katika jimbo la Amadi, magharibi mwa nchi hiyo changa zaidi barani Afrika.

  • Uturuki kupeleka kadhia ya mauaji ya Khashoggi katika Umoja wa Mataifa

    Uturuki kupeleka kadhia ya mauaji ya Khashoggi katika Umoja wa Mataifa

    Jan 25, 2019 01:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amesema kuwa umewadia wakati wa kufanyika uchunguzi wa kimataiifa kuhusu mauaji ya mwandishi habari na mkosoaji wa utawala wa kifalme wa Saudi Arabia, Jamal Khashoggi.

  • Wasudan waendeleza maandamano ya mkate, polisi yaua watu watatu

    Wasudan waendeleza maandamano ya mkate, polisi yaua watu watatu

    Jan 18, 2019 12:35

    Maandamano ya kumtaka Rais Omar Hassan al Bashir wa Sudan ang'atuke madarakani yameendelea mapema leo Ijumaa katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo baada ya mauaji ya watu watatu waliopigwa risasi na polisi katika maandamano ya jana mjini Khartoum.

  • IFJ: Waandishi habari karibu mia moja wameuawa mwaka 2018 duniani

    IFJ: Waandishi habari karibu mia moja wameuawa mwaka 2018 duniani

    Jan 01, 2019 23:20

    Shirikisho la Kimataifa la Waandishi wa Habari (IFJ) limetangaza kuwa, waandishi habari 94 waliuawa mwaka uliomalizika wa 2018 katika maeneo mbalimbali ya dunia.

  • Magaidi wa ADF waendeleza mauaji Kongo DR kuelekea uchaguzi

    Magaidi wa ADF waendeleza mauaji Kongo DR kuelekea uchaguzi

    Dec 12, 2018 03:05

    Watu 10 wameripotiwa kuuawa katika mashambulizi yaliyofanywa na kundi la wanamgambo wa ADF mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Khashoggi na waandishi habari wengine, Watu Mashuhuri mwaka huu

    Khashoggi na waandishi habari wengine, Watu Mashuhuri mwaka huu

    Dec 11, 2018 21:40

    Jarida la kila wiki la Marekani la Time limemteua mwandishi habari na mkosoaji wa utawala wa Saudi Arabia Jamal Khashoggi kuwa ndiye Mtu Mashuhuri wa Mwaka huu (Person of the Year) wa jarida hilo.

  • Wazayuni watoa wito wa kuuliwa kigaidi Mahmoud Abbas

    Wazayuni watoa wito wa kuuliwa kigaidi Mahmoud Abbas

    Dec 11, 2018 12:13

    Watu wasiojulikana wameanza kusambaza matangazo na kutundika makaratasi katika vituo vya upekezi vinavyodhibitiwa na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wakitaka kuuliwa Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas.

  • Mshauri wa zamani: Saudia iliidhinisha mauaji ya Yassir Arafat

    Mshauri wa zamani: Saudia iliidhinisha mauaji ya Yassir Arafat

    Dec 11, 2018 03:18

    Aliyekuwa mshauri mwandamizi wa Yasser Arafat, Rais wa zamani wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amefichua kuwa kiongozi huyo wa zamani wa Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) hakufa kifo cha kawaida baada kuugua, bali aliuawa, na kwamba Saudi Arabia ndiyo iliyoidhinisha mauaji yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS