Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • Wito wa Wahindu wa kutekelezwa mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu waibua hasira

    Wito wa Wahindu wa kutekelezwa mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu waibua hasira

    Dec 25, 2021 01:02

    Video zinazowaonyesha viongozi wa kidini wa Kihindu nchini India wakitoa wito wa mauaji ya halaiki dhidi ya Waislamu zimezua hasira na wito madai ya kuchukuliwa hatua dhidi ya wahusika.

  • Polisi ya Uturuki yazima njama ya mauaji dhidi ya Rais Erdogan

    Polisi ya Uturuki yazima njama ya mauaji dhidi ya Rais Erdogan

    Dec 05, 2021 03:46

    Vyombo vya habari vya Uturuki vimeripoti kuwa, polisi ya nchi hiyo imegundua na kulipua bomu lililokuwa limetegwa eneo ambako Rais wa nchi hiyo, Recep Tayyip Erdoğan, alipangiwa kuhutubia wananchi huko kusini mwa Uturuki.

  • Emmanuel Macron ashutumiwa kwa kujaribu 'kumsafisha' Mohammed bin Salman

    Emmanuel Macron ashutumiwa kwa kujaribu 'kumsafisha' Mohammed bin Salman

    Dec 04, 2021 23:33

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu yamekosoa mkutano wa Rais Emmanuel Macron na Ufaransa na mriti wa ufalme wa Saudia Mohammed bin Salman jana Jumamosi huko Riyadh yakisisitiza kuwa mkutano huo una lengo la kumsafisha mrithi huo wa ufalme wa Saudia aliyeamuru kuuawa kigaidi mwandishi habari jamal Khashoggi.

  • Le Monde: Sudan inaishi siku zake mbaya zaidi za umwagaji damu tangu baada ya mapinduzi

    Le Monde: Sudan inaishi siku zake mbaya zaidi za umwagaji damu tangu baada ya mapinduzi

    Nov 18, 2021 23:28

    Gazeti la Le Monde la Ufaransa limeripoti kuwa Sudan inaishi katika kipindi kibaya zaidi cha ukandamizaji na mauaji ya raia tangu baada ya mapinduzi ya kijeshi ya tarehe 25 Oktoba mwaka huu yaliyoindoa madarakani serikali ya kipindi cha mpito.

  • Familia ya Waafghani waliouawa na Marekani: Kuungama hakutoshi, wahusika wachukuliwe hatua

    Familia ya Waafghani waliouawa na Marekani: Kuungama hakutoshi, wahusika wachukuliwe hatua

    Sep 19, 2021 12:03

    Familia ya raia kumi wa Afghanistan waliouawa katika shambulizi la ndege isiyo na rubani ya jeshi la Marekani mjini Kabul imekataa hatua ya serikali ya Washington ya kuungama na kuomba radhi kutokana mauajii hayo.

  • Tume: Watu 210 wameuawa katika mapigano magharibi mwa Ethiopia

    Tume: Watu 210 wameuawa katika mapigano magharibi mwa Ethiopia

    Aug 26, 2021 22:42

    Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Ethiopia (EHRC) imesema watu wasiopungua 210 wameuawa katika ghasia na mapigano ya kikabila yaliyojiri kwa siku kadhaa katika eneo la Oromia, magharibi mwa Ethiopia.

  • 12 wauawa katika mapigano baina ya wavuvi na wachungaji Cameroon

    12 wauawa katika mapigano baina ya wavuvi na wachungaji Cameroon

    Aug 13, 2021 08:36

    Kwa akali watu 12 wameuawa huku makumi ya wengine wakijeruhiwa katika mapigano baina ya wavuvi na wachungaji wa mifugo huko kaskazini mwa Cameroon.

  • UN: Raia sita wauawa katika shambulio la waasi kaskazini mwa CAR

    UN: Raia sita wauawa katika shambulio la waasi kaskazini mwa CAR

    Aug 01, 2021 03:34

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa watu sita wameuawa katika shambulio la waasi wanaobeba silaha kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati.

  • Wafaransa wawili watiwa mbaroni kwa kufanya njama za kumuua rais wa Madagascar

    Wafaransa wawili watiwa mbaroni kwa kufanya njama za kumuua rais wa Madagascar

    Jul 22, 2021 06:47

    Duru za habari zimeripoti kutiwa mbaroni raia wawili wa Ufaransa kwa tuhuma za kufanya njama za kutaka kumuua Rais wa Madagascar.

  • Baraza la Waislamu Canada lataka kukomeshwa chuki dhidi ya Uislamu nchini humo

    Baraza la Waislamu Canada lataka kukomeshwa chuki dhidi ya Uislamu nchini humo

    Jun 08, 2021 14:16

    Baraza la Kitaifa la Waislamu wa Canada limetoa wito wa kutokomezwa haraka sera za chuki na kupiga vita Uislamu (Islamophobia) nchini humo baada ya jinai ya kutisha ya dereva mmoja kuwagonga watu watano wa familia moja na kuua wanne miongoni mwao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS