Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mfalme wa Saudia

  • Mfalme wa zamani wa Uhispania akimbia nchi kwa kashfa ya mlungula wa Saudi Arabia

    Mfalme wa zamani wa Uhispania akimbia nchi kwa kashfa ya mlungula wa Saudi Arabia

    Aug 04, 2020 03:33

    Mfalme wa zamani wa Uhispania, Juan Carlos ameondoka nchini humo na kuelekea kusikojulikana wiki kadhaa baada ya kuhusishwa na ufisadi na kashfa ya kupokea mlungula kutoka kwa mfalme wa zamani wa Saudi Arabia.

  • Seneta Sanders: Viongozi wa Saudi Arabia ni 'wauaji na majambazi'

    Seneta Sanders: Viongozi wa Saudi Arabia ni 'wauaji na majambazi'

    Feb 20, 2020 00:54

    Seneta wa Marekani, Bernie Sanders anayeongoza katika kinyang'anyiro cha kuwania tiketi ya chama cha Domocratic kwa ajili ya kugombea kiti cha rais wa nchi hiyo ameikosoa Saudi Arabia katika kampeni zake huko Las Vegas na kuwaita viongozi wa nchi hiyo kuwa ni 'wauaji na majambazi'.

  • 2019, mwaka wa kunyongwa watu zaidi nchini Saudi Arabia

    2019, mwaka wa kunyongwa watu zaidi nchini Saudi Arabia

    Jul 12, 2019 01:27

    Vyombo vya habari vimeripoti kuwa kesi za kunyongwa watu nchini Saudi Arabia zimeongezeka mara mbili katika nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2019.

  • Bin Salman amtia mbaroni rafiki wa karibu wa baba yake kwa kumkosoa

    Bin Salman amtia mbaroni rafiki wa karibu wa baba yake kwa kumkosoa

    Jun 24, 2019 03:23

    Mohammad bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia amemtia mbaroni Nayef bin Hathleen, mmoja wa viongozi wa makabila ya Saudia na rafiki wa karibu wa Mfalme Salman bin Abdulaziz wa nchi hiyo baada ya Hathleen kuandika barua ya kumpa nasaha mfalme wa nchi hiyo.

  • Ripoti: Hali ya afya ya Mfalme Salman wa Saudi Arabia ni mbaya

    Ripoti: Hali ya afya ya Mfalme Salman wa Saudi Arabia ni mbaya

    Sep 05, 2018 02:58

    Baadhi ya duru za habari zimeripoti kuwa hali ya afya ya Mfalme Salman bin Abdulaziz wa Saudi Arabia ni mbaya.

  • Mfalme wa Saudia akariri madai yasiyo na msingi dhidi ya Iran

    Mfalme wa Saudia akariri madai yasiyo na msingi dhidi ya Iran

    Apr 15, 2018 23:48

    Mfalme wa Saudi Arabia kwa mara nyingine amekariri madai yasiyo na msingi na kudai kuwa eti Iran inaingilia mambo ya ndani ya Yemen na kuwa inaunga mkono ugaidi.

  • Mfalme Salman ajaribu kusafisha sura ya Saudia kwa kujipambanua na sera za mwanawe

    Mfalme Salman ajaribu kusafisha sura ya Saudia kwa kujipambanua na sera za mwanawe

    Feb 22, 2018 10:50

    Mfalme Salman wa Saudi Arabia amekutana na kufanya mazungumzo na wapwa zake Mut'ab bin Abdullah na Walid bin Talal wanaoshikiliwa kwenye hoteli ya Ritz Carlton ikiwa ni hatua ya kujaribu kusawazisha hali ya mambo iliyovurugika kutokana na uendeshaji mbovu wa mwanawe Muhammad ambaye pia ni mrithi wa ufalme wa nchi hiyo.

  • Mfalme wa Saudia akabidhi uongozi wa nchi kwa mwanaye

    Mfalme wa Saudia akabidhi uongozi wa nchi kwa mwanaye

    Jul 25, 2017 03:40

    Ofisi ya Mfalme wa Saudia imemtaka Mohammad bin Salman bin Abdulaziz Al Saud kijana na mrithi mpya wa kiti cha ufalme kushika hatamu za uongozi wa nchi, wakati wote wa safari nje ya nchi au kutokuwepo Mfalme Salman bin Abdulaziz Al Saud.

  • Al Manar: Maandalizi ya kung'atuka Mfalme Salman Saudia yamekamilika

    Al Manar: Maandalizi ya kung'atuka Mfalme Salman Saudia yamekamilika

    Jul 24, 2017 10:29

    Gazeti la Lebanon la al-Manar limeandika kuwa, maandalizi ya mwisho ya kung'atuka mfalme mzee wa Saudi Arabia, Salman bin Abdulaziz Al Saud kwa maslahi ya mwanaye Mohammad Bin Salman, yamekamilika.

  • Malalamiko ya Wasaudia yamfanya mfalme amchukulie hatua mwanamfalme

    Malalamiko ya Wasaudia yamfanya mfalme amchukulie hatua mwanamfalme

    Jul 20, 2017 09:39

    Kitendo cha kuenea video inayomuonyesha mwanamfalme mmoja akifanya ukatili dhidi ya raia wa Saudia, kimeibua hasira kali na ukosoaji mkubwa wa Wasaudi katika mitandao mbalimbali ya kijamii hususan Twitter, na hivyo kumfanya Mfalme Salman bin Abdulaziz Al Saud kutoa amri ya kutiwa mbaroni mwanamfalme huyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS