Nov 14, 2016 04:06
Baada ya kuenea ripoti mbalimbali za kimataifa juu ya kupungua pato la fedha linalotokanal na mafuta, hatimaye Waziri wa Fedha wa Saudia ametangaza rasmi kuwa, hivi sasa serikali ya nchi hiyo inadaiwa mamilioni ya Dola kutokana na mgogoro wa fedha.