Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mgogoro wa Syria

  • Hatimaye jeshi la Syria laingia mkoa wa Deir Ezzor baada ya miaka kadhaa

    Hatimaye jeshi la Syria laingia mkoa wa Deir Ezzor baada ya miaka kadhaa

    Jun 25, 2017 03:41

    Askari wa kikosi cha nchi kavu cha Syria wameweza kuingia mkoa wa Deir Ezzor, mashariki mwa nchi hiyo sambamba na kudhibiti maeneo yake tofauti.

  • Sisitizo la Macron la kubadilika siasa za Ufaransa mkabala na Syria

    Sisitizo la Macron la kubadilika siasa za Ufaransa mkabala na Syria

    Jun 23, 2017 02:32

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa alisisitiza Jumatano wiki hii kwamba kumuondoa madarakani Rais Bashar al Assad wa Syria si jambo linalopewa kipaumbele tena na Ufaransa kama njia ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo. Macron amebainisha kuwa nchi yake hivi sasa inatoa kipaumbele kwa suala la kupambana na ugaidi huko Syria.

  • Syria: Kipindi cha udikteta wa Saudia kwa nchi za Kiarabu kimefika mwisho

    Syria: Kipindi cha udikteta wa Saudia kwa nchi za Kiarabu kimefika mwisho

    Jun 17, 2017 03:32

    Gazeti la chama tawala cha Ba'ath cha nchini Syria limeandika kuwa, kipindi cha udikteta wa Saudi Arabia kwa nchi za Kiarabu kimefika mwisho na kwamba sasa udhibiti wa Riyadh kwa nchi hizo unasambaratika.

  • Putin akariri umuhimu wa Iran katika kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria

    Putin akariri umuhimu wa Iran katika kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria

    Jun 01, 2017 03:19

    Kwa mara nyingine tena Rais Vladimir Putin wa Russia amesisitiza juu ya umuhimu na nafasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria.

  • Shamkhani: Baadhi ya nchi zimeligeuza eneo la Mashariki ya Kati ghala la silaha za Magharibi

    Shamkhani: Baadhi ya nchi zimeligeuza eneo la Mashariki ya Kati ghala la silaha za Magharibi

    May 23, 2017 15:55

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema, baadhi ya nchi za eneo zinazofadhili na kuunga mkono ugaidi zinatumia mapato yao ya mafuta kuigeuza Mashariki ya Kati ghala la silaha za Magharibi na kushamirisha machafuko na vitendo vya ukatili.

  • Daesh yakiri kuuawa wanachama wake 110 na jeshi la Syria katika mkoa wa Daraa

    Daesh yakiri kuuawa wanachama wake 110 na jeshi la Syria katika mkoa wa Daraa

    May 23, 2017 14:34

    Mtandao mmoja wa habari wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) katika mkoa wa Daraa kusini mwa Syria, umeandika kuwa, jumla ya wanachama 117 wa kundi hilo wameuawa na jeshi la nchi hiyo katika siku chache zilizopita.

  • Sababu tatu za kumalizika mazungumzo ya Geneva 6 bila kufikiwa natija

    Sababu tatu za kumalizika mazungumzo ya Geneva 6 bila kufikiwa natija

    May 21, 2017 11:25

    Mazungumzo ya Geneva sita juu ya mgogoro wa Syria, ambayo yalifanyika chini ya usimamizi wa Umoja wa Mataifa, yamemalizika bila kufikiwa natija iliyotarajiwa kwa ajili ya kukomesha mgogoro wa nchi hiyo.

  • Syria: Tutaheshimu makubaliano ya kupunguza machafuko, lakini tutatoa jibu kali kwa atakayeyavunja

    Syria: Tutaheshimu makubaliano ya kupunguza machafuko, lakini tutatoa jibu kali kwa atakayeyavunja

    May 09, 2017 04:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria, Walid Muallem amesema kuwa, serikali ya nchi hiyo imekaribisha hati ya makubaliano kwa ajili ya kupunguza mgogoro ndani ya maeneo manne maalumu, yaliyofikiwa katika kikao cha Astana 4 huko Kazakhstan, na kwamba lengo la hatua hiyo ni kudhamini usalama wa raia na kuboresha hali yao ya maisha.

  • Mafanikio ya jeshi la Syria licha ya mashambulizi ya kiadui ya Marekani

    Mafanikio ya jeshi la Syria licha ya mashambulizi ya kiadui ya Marekani

    Apr 21, 2017 06:28

    Licha ya Marekani kufanya shambulizi la makombora dhidi ya kambi ya kijeshi ya Shayrat ya jeshi la Syria hatua ambayo inaonesha wazi uungaji mkono wa Marekani kwa magenge ya kigaidi yanayofanya jinai nchini humo, lakini jeshi la Syria linazidi kupata mafanikio katika mapambano yake dhidi ya magaidi wakufurishaji kwenye mikoa na maeneo mbalimbali ya nchi hiyo.

  • Ripoti zaidi zavuja kuhusu urongo wa Marekani juu ya shambulizi dhidi ya Syria

    Ripoti zaidi zavuja kuhusu urongo wa Marekani juu ya shambulizi dhidi ya Syria

    Apr 17, 2017 07:38

    Siku kumi baada ya shambulizi la makombora lililofanywa na Marekani dhidi ya kituo cha jeshi la anga la Syria cha Shayrat kwa kutumia kisingizio kwamba Damascus ndiyo iliyofanya mashambulizi ya silaha za kemikali katika eneo la Idlib, kumefichuliwa ripoti mpya zinazothibitisha urongo wa madai hayo ya serikali ya Washington.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS