-
Jeshi la Syria lapata mafanikio mengine katika maeneo mbalimbali nchini
Apr 04, 2017 03:28Jeshi la Syria huku likiungwa mkono na vikosi vya anga vya nchi hiyo limewauwa makumi ya magaidi katika oparesheni ya kuukomboa mji wa Halfaya na kuwasababishia hasara kubwa magaidi hao.
-
Miripuko ya mabomu; natija ya kushindwa mazungumzo ya Syria
Mar 17, 2017 05:59Katika hali ambayo hata mazungumzo ya Astana 3 kuhusiana na mgogoro wa Syria nayo yameshindwa, mashambulizi ya mabomu ya magenge ya kigaidi yanayopata uungaji mkono wa madola ya kigeni yameonesha wazi kuwa magenge hayo hayapendi kuona utulivu unarejea nchini humo.
-
Marekani yaongeza idadi ya wanajeshi wake ndani ya Syria
Mar 12, 2017 13:45Vyombo vya habari vya Syria vimetangaza kuwa, Marekani imetuma karibu wanajeshi wengine 200 katika kijiji cha al Asaliyyah, kaskazini magharibi mwa mji wa Manbij, wa kaskazini mwa Syria.
-
Misri yasisitiza udharura wa kurejea Syria katika Arab League
Mar 11, 2017 15:41Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amesema kuwa, mgogoro wa Syria unakaribia kupata ufumbuzi wa kisiasa na kusisitiza kuwa upo udharura wa kurejea nchi hiyo katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).
-
Russia: Kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa inapasa iwe ndio ajenda ya mazungumzo ya Syria
Mar 02, 2017 14:28Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesisitiza kuhusu ulazima wa pande zinazopigana nchini Syria kujikita kwenye kutafuta mwafaka wa namna ya kuendesha nchi katika kipindi cha mpito katika mazungumzo yao yanayoendelea hivi sasa mjini Geneva.
-
De Mistura: Mgogoro wa Syria hauwezi kutatuliwa kwa njia za kijeshi
Feb 24, 2017 03:53Mwakilishi Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Syria amesema pande zote zinatambua kuwa, mgogoro wa nchi hiyo hauwezi kutatuliwa kwa njia za kijeshi.
-
Assad: Ufaransa inabeba dhima ya mauaji ya raia nchini Syria
Feb 18, 2017 02:39Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema hatua ya Ufaransa ya kuyaunga mkono magenge ya kigaidi yanayoendesha harakati dhidi ya vikosi vya serikali ya Damascus na wananchi imechangia moja kwa moja mauaji ya raia katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Jeshi la Tunisia laungana na jeshi la Syria kupambana na magaidi
Feb 13, 2017 15:10Duru za kuaminika za Tunisia zimesema kuwa, jeshi la nchi hiyo limetumwa nchini Syria kupambana bega kwa bega na serikali ya Syria dhidi ya magenge ya kigaidi katika ardhi ya nchi hiyo.
-
Jeshi la Syria lawazingira magaidi wa ISIS katika mji wa Al-Bab
Feb 08, 2017 07:57Mkuu wa Ofisi ya Haki za Binaadamu nchini Syria, ameelezea kusonga mbele jeshi la Syria kwa kushirikiana na Harakati ya Hizbullah katika eneo la Al-Bab karibu na mpaka wa Uturuki, na kuzingirwa magaidi wa genge la Daesh kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Taarifa ya Astana yasisitiza mapambano dhidi ya ugaidi nchini Syria
Jan 24, 2017 14:59Pande zilizoshiriki katika mkutano wa amani nchini Syria katika mji mkuu wa Kazakhstan, Astana zimetoa taarifa ya mwisho inayosisitiza udharura wa kulindwa ardhi yote ya Syria na kudumishwa mapambano dhidi ya ugaidi.