Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mgogoro wa Syria

  • Shamkhani asisitiza kuheshimiwa misingi ya demokrasia huko Syria

    Shamkhani asisitiza kuheshimiwa misingi ya demokrasia huko Syria

    Jan 16, 2017 14:42

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa jitihada zinazofanywa na baadhi ya nchi ikiwemo Marekani kwa ajili ya kuamua mustakbali wa Syria ni kinyume na misingi ya demokrasia na haki ya mataifa ya kujiainishia mustakbali wao.

  • Syria: Hatuna imani na watawala wa Uturuki

    Syria: Hatuna imani na watawala wa Uturuki

    Jan 01, 2017 06:31

    Ali Abdul Karim Ali, balozi wa Syria nchini Lebanon amesema, Damascus haina imani na watawala wa hivi sasa wa Uturuki kwani Ankara ndiyo nguzo kuu ya uungaji mkono wa kifedha na kifikra kwa ugaidi ulioenea leo hii kwenye eneo hili.

  • Jeshi la Syria lagundua karakana ya magaidi ya kutengeneza silaha za kemikali, Aleppo

    Jeshi la Syria lagundua karakana ya magaidi ya kutengeneza silaha za kemikali, Aleppo

    Jan 01, 2017 03:01

    Jeshi la Syria limetangaza kuwa, limegundua karakana iliyokuwa ikitumiwa na magaidi kutengeneza silaha za kemikali katika mji wa kaskazini mwa nchi hiyo wa Aleppo.

  • Wamisri waingiwa na wasiwasi wa kuvamiwa nchi yao na wimbi la magaidi

    Wamisri waingiwa na wasiwasi wa kuvamiwa nchi yao na wimbi la magaidi

    Dec 29, 2016 14:46

    Duru za usalama nchini Misri zimetangaza habari ya uwezekano wa kuvamiwa nchi hiyo na wimbi la magaidi kutoka nchi nyingine, suala ambalo limezitia hofu nyoyo za wananchi wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Shakhsia wa kisiasa wa Tunisia kuelekea Syria kwenda kumwomba radhi Rais Assad

    Shakhsia wa kisiasa wa Tunisia kuelekea Syria kwenda kumwomba radhi Rais Assad

    Dec 26, 2016 16:17

    Ujumbe wa viongozi wa vyama vya siasa vya Tunisia unatazamiwa kuelekea nchini Syria kwa madhumuni ya kwenda kumwomba radhi Rais Bashar al-Assad wa nchi hiyo.

  • Misri yasisitiza kupambana na makundi ya kigaidi

    Misri yasisitiza kupambana na makundi ya kigaidi

    Dec 01, 2016 07:37

    Mwakilishi wa Misri katika Umoja wa Mataifa ametaka kuendeshwa mapambano na nchi zote dhidi ya makundi ya kigaidi.

  • Iran: Umoja wa Mataifa usiegemee upande wowote katika mgogoro wa Syria

    Iran: Umoja wa Mataifa usiegemee upande wowote katika mgogoro wa Syria

    Nov 13, 2016 06:49

    Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayehusika na masuala ya nchi za Kiarabu na Kiafrika amesema kuwa, katika kuleta amani na usalama wa kimataifa, Umoja wa Mataifa haupaswi kuegemea upande wowote katika mgogoro wa Syria.

  • Assad: Mashambulizi ya Aleppo yanalenga kuwapa usalama raia

    Assad: Mashambulizi ya Aleppo yanalenga kuwapa usalama raia

    Oct 19, 2016 15:23

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwaangamiza magaidi katika mji wa Aleppo, kaskazini magharibi mwa nchi ndio chagua la pekee na la kisheria la kuwadhaminia usalama raia.

  • Magaidi wazidi kuangamizwa katika maeneo tofauti ya Syria

    Magaidi wazidi kuangamizwa katika maeneo tofauti ya Syria

    Oct 03, 2016 07:25

    Habari kutoka nchini Syria zinasema kuwa, makumi ya magaidi wanaendelea kuuawa katika mashambulizi ya jeshi la Syria na ndege za Russia.

  • Al-Jaafari: Hitajio la sasa la Syria ni kusimamishwa vita na kukomeshwa ugaidi

    Al-Jaafari: Hitajio la sasa la Syria ni kusimamishwa vita na kukomeshwa ugaidi

    Sep 30, 2016 04:19

    Mwakilishi wa kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa amesema badala ya misaada ya kibinadamu, nchi hiyo inahitajia kusimamishwa vita na kukomeshwa ugaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS