Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mgogoro wa Syria

  • Nasrallah: Uwahhabi ni hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni

    Nasrallah: Uwahhabi ni hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni

    Sep 27, 2016 14:08

    Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, amesema anaitazama itikadi ya misimamo mikali ya Uwahhabi kuwa hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Marekani; mwongozaji wa njama dhidi ya Syria

    Marekani; mwongozaji wa njama dhidi ya Syria

    Sep 27, 2016 07:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria Walid al-Muallem amesema Marekani ndiyo iliyoshika usukani wa njama inayotekelezwa dhidi ya nchi yake; na nchi nyingine za Magharibi na za eneo la Mashariki ya Kati zinaisaidia Washington katika kufanikisha njama hiyo.

  • Magaidi 40 waangamizwa katika mashambulio ya anga Halab Syria

    Magaidi 40 waangamizwa katika mashambulio ya anga Halab Syria

    Sep 20, 2016 13:42

    Vikosi vya Syria vikisaidiwa na ndege za kijeshi za Russia vimefanikiwa kuwaangamiza magaidi 40 katika mji wa Halab ambao ni wanachama wa kundi la kigaidi la Jabhat al-Nusra.

  • Sarkozy: Ulaya inaihitajia Russia ili kutatua mgogoro wa Syria

    Sarkozy: Ulaya inaihitajia Russia ili kutatua mgogoro wa Syria

    Sep 18, 2016 07:25

    Rais wa zamani wa Ufaransa amesema kuwa Ulaya inapasa kushirikiana na Russia ili kuweza kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria.

  • Jeshi la Syria latungua ndege ya kivita na drone za Israel katika anga ya nchi hiyo

    Jeshi la Syria latungua ndege ya kivita na drone za Israel katika anga ya nchi hiyo

    Sep 13, 2016 14:07

    Kikosi cha ulinzi wa anga nchini Syria kimefanikiwa kudungua ndege ya kivita ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel iliyokuwa ikipaa kwenye anga ya nchi hiyo.

  • Makubaliano ya Marekani na Russia kuhusu mgogoro wa Syria yaitia wahaka Israel

    Makubaliano ya Marekani na Russia kuhusu mgogoro wa Syria yaitia wahaka Israel

    Sep 11, 2016 06:52

    Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimetangaza kuwa makubaliano yaliyofikiwa baina ya mawaziri wa mambo ya nje wa Russia na Marekani kuhusu kutekelezwa usitishaji vita nchini Syria ni ushindi kwa Moscow.

  • Jeshi la Syria laendelea kupata mafanikio makubwa dhidi ya magaidi wakufurishaji

    Jeshi la Syria laendelea kupata mafanikio makubwa dhidi ya magaidi wakufurishaji

    Sep 09, 2016 03:39

    Jeshi la Syria kwa kushirikiana na wanamapambano limeendelea kusonga mbele katika maeneo yaliyokuwa yakidhibitiwa na wanachama wa makundi ya kigaidi na kitakfiri.

  • Marekani yasema mazungumzo baina yake na Russia kuhusu Syria yamevunjika

    Marekani yasema mazungumzo baina yake na Russia kuhusu Syria yamevunjika

    Sep 04, 2016 14:10

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetangaza kuwa mazungumzo baina ya nchi hiyo na Russia kuhusu mgogoro wa Syria yamevunjika.

  • Watoto wahanga wakuu wa maafa ya Syria

    Watoto wahanga wakuu wa maafa ya Syria

    Aug 28, 2016 06:58

    Watoto ndio wahanga wakuu wa mgogoro wa Syria. Hii ni kutokana na kuwa, licha ya kuwa watoto hao hawana nafasi yoyote ile katika kuenea vita nchini Syria, lakini wao wamekuwa ndio wahanga wakuu wa mafaa ya nchi hiyo kuliko tabaka jingine lolote lile.

  • Bashar al Jaafari: Ndege za kivita za Marekani zinawauwa watoto wa Syria

    Bashar al Jaafari: Ndege za kivita za Marekani zinawauwa watoto wa Syria

    Aug 23, 2016 08:20

    Mwakilishi wa Syria katika Umoja wa Mataifa ameeleza kuwa watoto wa Syria wanauliwa na ndege za kivita za Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS