Mgombea wa chama cha Demokrat Kamala Harris na mgombea wa chama cha Republican Donald Trump katika uchaguzi wa urais wa Marekani wa Novemba 5, 2024, walishiriki katika mdahalo wao wa kwanza siku ya Jumanne usiku, Septemba 10.
Asilimia 69 ya Wamarekani wamechukizwa na mdahalo wa kwanza wa Donald Trump na Joe Biden, wagombea wawili wa urais katika uchaguzi utakaofanyika Novemba mwaka huu.
Mdahalo wa tatu na wa mwisho wa wagombea sita wa kiti cha urais wa awamu ya 12 katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran utafanyika leo saa kumi na nusu kwa majira ya Tehran .