Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mripuko

  • Moto waua watu 55 katika hospitali ya wagonjwa wa corona mjini Baghdad, Iraq

    Moto waua watu 55 katika hospitali ya wagonjwa wa corona mjini Baghdad, Iraq

    Apr 25, 2021 03:22

    Watu wasiopungua 55 wameaga dunia katika ajali ya moto iliyosababishwa na kuripuka mitungi ya oksijini kwenye hospitali moja ya wagonjwa wa corona katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.

  • Israel yaishambulia Syria baada ya hujuma karibu na kituo cha nyuklia cha Dimona

    Israel yaishambulia Syria baada ya hujuma karibu na kituo cha nyuklia cha Dimona

    Apr 22, 2021 11:12

    Jeshi la Anga la Syria limetungua makombora ya utawala haramu wa Israel ambayo yalikuwa yamelenga eneo moja la Damascus.

  • AU yasikitishwa na miripuko ya E/Guinea, walioaga dunia wakaribia 100

    AU yasikitishwa na miripuko ya E/Guinea, walioaga dunia wakaribia 100

    Mar 09, 2021 03:28

    Idadi ya watu waliopoteza maisha katika miripuko kadhaa iliyotokea kwenye kambi moja ya kijeshi huko nchini Equatorial Guinea imeongezeka na kufikia watu 98.

  • Watu wasiopungua 20 wauawa, 30 wajeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea Mogadishu, Somalia

    Watu wasiopungua 20 wauawa, 30 wajeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea Mogadishu, Somalia

    Mar 06, 2021 03:33

    Watu wasiopungua 20 wameuawa na wengine 30 wamejeruhiwa katika shambulio la kigaidi la mripuko wa bomu lililotegwa garini uliotokea nje ya mkahawa mmoja ulioko karibu na bandari katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Januari 21; siku ya umwagaji mkubwa wa damu katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad

    Januari 21; siku ya umwagaji mkubwa wa damu katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad

    Jan 23, 2021 03:17

    Miripuko miwili ya mabomu iliyotokea siku ya Alkhamisi tarehe 21 Januari katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad imeua watu 32 na kujeruhi wengine 110.

  • Miripuko Iraq, muungano wa

    Miripuko Iraq, muungano wa "Daulat al Qanun" wataka kuangaliwa upya mikakati ya ulinzi Iraq

    Jan 22, 2021 03:55

    Muungano wa "Daulat al Qanun" umelaani vikali miripuko ya kigaidi iliyotokea jana katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad na kutaka kuangaliwa upya mipango na mikakati ya kulinda usalama wa maeneo yote ya nchi hiyo.

  • Mripuko waua watu 7 katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu

    Mripuko waua watu 7 katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu

    Jan 08, 2021 02:43

    Watu wasiopungua 7 wameuawa katika mripuko wa bomu uliotokea katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Wanajeshi kadhaa wa Misri wauawa na kujeruhiwa kaskazini mwa nchi

    Wanajeshi kadhaa wa Misri wauawa na kujeruhiwa kaskazini mwa nchi

    Jan 02, 2021 07:23

    Wanajeshi wasiopungua wanane wa Misri wameuawa na kujeruhiwa baada ya gari lao kukanyaga bomu katika mkoa wa Sinai Kaskazini.

  • Mripuko wa bomu waua na kujeruhi kadhaa nchini Ethiopia

    Mripuko wa bomu waua na kujeruhi kadhaa nchini Ethiopia

    Dec 21, 2020 08:22

    Kwa akali watu watatu wameuawa na wengine watano wamejeruhiwa baada ya bomu 'lililotelekezwa' kuripuka katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa.

  • Watu 6 wauawa na kujeruhiwa katika miripuko miwili ya mabomu nchini Iraq

    Watu 6 wauawa na kujeruhiwa katika miripuko miwili ya mabomu nchini Iraq

    Aug 22, 2020 07:42

    Miripuko miwili ya mabomu iliyotokea mashariki na kaskazini mwa Iraq imepelekea askari sita wa kikosi cha kupambana na ugaidi kuuawa na kujeruhiwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS