-
Uungaji mkono wa wazi wa Marekani kwa hatua za uharibifu nchini Lebanon
Aug 10, 2020 06:28Marekani imeshadidisha hatua na mwenendo wake wa uingiliaji masuala ya ndani ya Lebanon kwa shabaha ya kudhoofisha mhimili wa muqawama na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah.
-
Athari mbaya za mlipuko wa Beirut
Aug 06, 2020 04:27Mlipuko mkubwa uliotokea Jumanne wiki hii mjini Beirut nchini Lebanon ambao vyombo vya habari vimeufananisha na mashambulizi ya mabomu ya nyuklia yaliyofanywa na Marekani dhidi ya mji wa Hiroshima nchini Japan wakati wa vita vya Pili vya Dunia, mbali na sababu za kutokea kwake, una taathira muhimu kwa nchi ndogo na muhimu ya Lebanon.
-
Lebanon inaomboleza vifo vya watu 100 baada ya mlipuko wa Beirut; mataifa mbalimbali yatoa pole
Aug 05, 2020 06:32Taifa la Lebanon linaomboleza baada ya mlipuko mkubwa katika mji mkuu Beirut uliopelekea zaidi ya watu 100 kuuawa na wengine zaidi ya 4000 kujeruhiwa.
-
Mlipuko mkubwa wautikisa mji mkuu wa Lebanon, Beirut + video
Aug 04, 2020 17:09Mlipuko mkubwa umeutikisha mji mkuu wa Lebanon, Beirut. Mlipuko huo umejiri leo jioni karibu na Bandari ya Beirut na inahofiwa kuwa watu wasiopungua 10 wamefariki.
-
Iran yakanusha madai ya kujiri mlipuko katika kituo cha nyuklia
Jul 08, 2020 02:52Shirika la Iran la Nishati ya Atomiki limekanusha madai ya kujiri mlipuko katika kituo cha nyuklia cha Shahidi Rezaei-Nejad kati kati mwa Iran.
-
Watu watano wauawa katika hujuma za kigaidi Somalia
Jul 05, 2020 03:49Watu wasiopungua watano wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia hujuma za kigaidi nchini Somalia jana Jumamosi.
-
Walioaga dunia katika mripuko wa lori la gesi China wafika 19
Jun 15, 2020 03:08Watu 19 wamefariki dunia huku wengine karibu 200 wakijeruhiwa baada ya lori lililobeba gesi asilia (LNG) kuripuka katika jimbo la Zhejiang, kusini mwa mji wa Shanghai nchini China.
-
17 wauawa na kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu Tripoli, Libya
Jun 11, 2020 07:57Kwa akali watu saba wameuawa na wengine zaidi ya kumi wamejeruhiwa katika mlipuko wa bomu uliotokea karibu na mji mkuu wa Libya, Tripoli.
-
Watu 15 wauawa katika mlipuko wa bomba la gesi Lagos Nigeria
Mar 16, 2020 08:07Mlipuko wa bomba la gesi uliotokea katika mji mkuu wa kibiashara wa Lagos nchini Nigeria umepelekea kwa uchache watu 15 kuaga dunia na makumi ya wengine kujeruhiwa.
-
Waziri Mkuu wa Sudan anusurika kifo katika shambulio la bomu
Mar 09, 2020 10:15Waziri Mkuu wa Sudan Abdulla Hamdok amenusurika kifo leo kufuatia mlipuko wa gari uliolenga gari lake katika mji mkuu wa nchi hiyo Khartoum.