Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mripuko

  • Uungaji mkono wa wazi wa Marekani kwa hatua za uharibifu nchini Lebanon

    Uungaji mkono wa wazi wa Marekani kwa hatua za uharibifu nchini Lebanon

    Aug 10, 2020 06:28

    Marekani imeshadidisha hatua na mwenendo wake wa uingiliaji masuala ya ndani ya Lebanon kwa shabaha ya kudhoofisha mhimili wa muqawama na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah.

  • Athari mbaya za mlipuko wa Beirut

    Athari mbaya za mlipuko wa Beirut

    Aug 06, 2020 04:27

    Mlipuko mkubwa uliotokea Jumanne wiki hii mjini Beirut nchini Lebanon ambao vyombo vya habari vimeufananisha na mashambulizi ya mabomu ya nyuklia yaliyofanywa na Marekani dhidi ya mji wa Hiroshima nchini Japan wakati wa vita vya Pili vya Dunia, mbali na sababu za kutokea kwake, una taathira muhimu kwa nchi ndogo na muhimu ya Lebanon.

  • Lebanon inaomboleza vifo vya watu 100 baada ya mlipuko wa Beirut; mataifa mbalimbali yatoa pole

    Lebanon inaomboleza vifo vya watu 100 baada ya mlipuko wa Beirut; mataifa mbalimbali yatoa pole

    Aug 05, 2020 06:32

    Taifa la Lebanon linaomboleza baada ya mlipuko mkubwa katika mji mkuu Beirut uliopelekea zaidi ya watu 100 kuuawa na wengine zaidi ya 4000 kujeruhiwa.

  • Mlipuko mkubwa wautikisa mji mkuu wa Lebanon, Beirut + video

    Mlipuko mkubwa wautikisa mji mkuu wa Lebanon, Beirut + video

    Aug 04, 2020 17:09

    Mlipuko mkubwa umeutikisha mji mkuu wa Lebanon, Beirut. Mlipuko huo umejiri leo jioni karibu na Bandari ya Beirut na inahofiwa kuwa watu wasiopungua 10 wamefariki.

  • Iran yakanusha madai ya kujiri mlipuko katika kituo cha nyuklia

    Iran yakanusha madai ya kujiri mlipuko katika kituo cha nyuklia

    Jul 08, 2020 02:52

    Shirika la Iran la Nishati ya Atomiki limekanusha madai ya kujiri mlipuko katika kituo cha nyuklia cha Shahidi Rezaei-Nejad kati kati mwa Iran.

  • Watu watano wauawa katika hujuma za kigaidi Somalia

    Watu watano wauawa katika hujuma za kigaidi Somalia

    Jul 05, 2020 03:49

    Watu wasiopungua watano wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia hujuma za kigaidi nchini Somalia jana Jumamosi.

  • Walioaga dunia katika mripuko wa lori la gesi China wafika 19

    Walioaga dunia katika mripuko wa lori la gesi China wafika 19

    Jun 15, 2020 03:08

    Watu 19 wamefariki dunia huku wengine karibu 200 wakijeruhiwa baada ya lori lililobeba gesi asilia (LNG) kuripuka katika jimbo la Zhejiang, kusini mwa mji wa Shanghai nchini China.

  • 17 wauawa na kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu Tripoli, Libya

    17 wauawa na kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu Tripoli, Libya

    Jun 11, 2020 07:57

    Kwa akali watu saba wameuawa na wengine zaidi ya kumi wamejeruhiwa katika mlipuko wa bomu uliotokea karibu na mji mkuu wa Libya, Tripoli.

  • Watu 15 wauawa katika mlipuko wa bomba la gesi Lagos Nigeria

    Watu 15 wauawa katika mlipuko wa bomba la gesi Lagos Nigeria

    Mar 16, 2020 08:07

    Mlipuko wa bomba la gesi uliotokea katika mji mkuu wa kibiashara wa Lagos nchini Nigeria umepelekea kwa uchache watu 15 kuaga dunia na makumi ya wengine kujeruhiwa.

  • Waziri Mkuu wa Sudan anusurika kifo katika shambulio la bomu

    Waziri Mkuu wa Sudan anusurika kifo katika shambulio la bomu

    Mar 09, 2020 10:15

    Waziri Mkuu wa Sudan Abdulla Hamdok amenusurika kifo leo kufuatia mlipuko wa gari uliolenga gari lake katika mji mkuu wa nchi hiyo Khartoum.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS