Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mripuko

  • Milipuko kadhaa mikubwa katika Bandari ya al-Fujairah UAE

    Milipuko kadhaa mikubwa katika Bandari ya al-Fujairah UAE

    May 12, 2019 14:55

    Milipuko kadhaa mikubwa imeripotiwa kujiri katika Bandari ya al-Fujairah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

  • Watu 15 wauawa katika shambulizi la kigaidi Mogadishu, Somalia

    Watu 15 wauawa katika shambulizi la kigaidi Mogadishu, Somalia

    Mar 28, 2019 15:08

    Kwa akali watu 15 wameuawa katika mripuko wa bomu lililokuwa limetegwa garini, nje ya hoteli na mikahawa katika eneo lenye shughuli nyingi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Makumi ya wanahabari waandamana Sudan kulalamikia ukandamizaji wa al-Bashir

    Makumi ya wanahabari waandamana Sudan kulalamikia ukandamizaji wa al-Bashir

    Mar 25, 2019 14:27

    Makumi ya wanahabari wameandamana leo katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum wakitaka kuachiliwa huru Osman Mirghani, Mhariri Mkuu wa gazeti mashuhuri la al-Tayar na kulalamikia ukandamizaji wa vyombo vya usalama dhidi ya waandamanaji.

  • Watoto 10 wapoteza maisha katika mlipuko Omdurman, Sudan

    Watoto 10 wapoteza maisha katika mlipuko Omdurman, Sudan

    Mar 25, 2019 00:13

    Watoto wasipungua 10 wamepoteza maisha baada ya chombo kisichojulikana kulipuka katika mji wa Omdurman karibu na mji mkuu wa Sudan, Khartoum.

  • Milipuko ya mabomu na milio ya risasi vyautikisa mji wa Mogadishu Somalia

    Milipuko ya mabomu na milio ya risasi vyautikisa mji wa Mogadishu Somalia

    Mar 23, 2019 14:15

    Duru za habari nchini Somalia zimeripoti kuwa miripuko miwili ya kutisha ya mabomu pamoja na milio ya risasi imeitikisa Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.

  • Askari watano wa Marekani wauawa katika shambulio la bomu Manbij, kaskazini mwa Syria

    Askari watano wa Marekani wauawa katika shambulio la bomu Manbij, kaskazini mwa Syria

    Jan 17, 2019 16:15

    Askari wasiopungua watano wa jeshi la Marekani na raia 18 wameuawa katika mripuko wa bomu uliotokea karibu na mahali ulipokuwa ukipita msafara wa askari wa muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Marekani, katika mji wa Manbij kaskazini mwa Syria.

  • Watu 16 wapoteza maisha katika hujuma ya kigaidi Mogadishu, Somalia

    Watu 16 wapoteza maisha katika hujuma ya kigaidi Mogadishu, Somalia

    Dec 22, 2018 15:15

    Watu 16 wamepoteza maisha kufuatia hujuma ya kigaidi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Watu kumi wafariki dunia katika mlipuko wa bomu nchini Ethiopia

    Watu kumi wafariki dunia katika mlipuko wa bomu nchini Ethiopia

    Dec 20, 2018 07:54

    Kwa akali watu 10 wamefariki dunia nchini Ethiopia na mwingine mmoja kujeruhiwa baada ya kutokea mlipuko mkubwa wa bomu la kutegwa kando ya barabara moja magharibi mwa nchi hiyo.

  • Mripuko katika mji mkuu wa Somalia waua watu wanane na kujeruhi wengine 10

    Mripuko katika mji mkuu wa Somalia waua watu wanane na kujeruhi wengine 10

    Nov 26, 2018 15:47

    Jeshi la polisi nchini Somalia limetangaza habari ya kuuawa na kujeruhiwa watu wasiopungua 18 baada ya gari lililokuwa limetegwa mabomu kuripuka mjini Mogadishu leo Jumatatu.

  • Mbunge auawa katika mripuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Mbunge auawa katika mripuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Nov 08, 2018 15:48

    Polisi ya Somalia imesema mbunge mmoja wa eneo la HirShabelle amepoteza maisha katika mripuko wa bomu uliotokea adhuhuri ya leo katika mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS