Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mripuko

  • Mbunge auawa katika mripuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Mbunge auawa katika mripuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Nov 08, 2018 12:18

    Polisi ya Somalia imesema mbunge mmoja wa eneo la HirShabelle amepoteza maisha katika mripuko wa bomu uliotokea adhuhuri ya leo katika mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.

  • Mripuko wa bomu Sinai, Misri waua wafanyakazi watatu

    Mripuko wa bomu Sinai, Misri waua wafanyakazi watatu

    Oct 25, 2018 10:22

    Wafanyakazi watatu raia wa Misri wameuawa katika shambulizi la bomu lililotokea leo Alkhamisi katika eneo linalokumbwa na misukosuko na ukosefu wa usalama la Rasi ya Sinai, kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Watu 50 wafa, 100 wachomwa na moto wa lori la mafuta DRC

    Watu 50 wafa, 100 wachomwa na moto wa lori la mafuta DRC

    Oct 06, 2018 11:59

    Watu wasiopungua 50 wamepoteza maisha na wengine 100 wamepata majeraha ya moto baada ya lori la mafuta lililopinduka kuanza kuwaka moto huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Wanajeshi 8 wauawa katika mripuko kaskazini mwa Burkina Faso

    Wanajeshi 8 wauawa katika mripuko kaskazini mwa Burkina Faso

    Sep 26, 2018 23:30

    Askari wanane wa jeshi la Burkina Faso wamepoteza maisha kufuatia mripuko wa bomu uliotokea jana Jumatano kaskazini mwa nchi.

  • Sita wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu, Somalia

    Sita wauawa katika hujuma ya kigaidi Mogadishu, Somalia

    Sep 02, 2018 08:53

    Watu wasiopungua sita wameuawa baada ya gaidi mmoja kushambulia kwa bomu ofisi ya serikali za mitaa katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Wanajeshi 3 Wasomali wauawa katika hujuma ya kigaidi nje ya Mogadishu

    Wanajeshi 3 Wasomali wauawa katika hujuma ya kigaidi nje ya Mogadishu

    Aug 05, 2018 11:03

    Wanajeshi wasiopungua watatu wa Somalia wameuawa kufuatia hujuma ya kigaidi katika wilaya ya Afgoye iliyo kilomita 30 kaskaini magharibi mwa mji mkuu, Mogadishu.

  • Mripuko wa bomu watokea karibu na ikulu ya rais wa Somalia

    Mripuko wa bomu watokea karibu na ikulu ya rais wa Somalia

    Jul 07, 2018 09:55

    Polisi ya Somalia imetangaza habari ya kutokea mripuko wa bomu karibu na ikulu ya Rais Mohamed Abdullahi Mohamed wa nchi hiyo mjini Mogadishu.

  • Washukiwa wawili watiwa nguvuni kuhusiana na mlipuko wa Zimbabwe

    Washukiwa wawili watiwa nguvuni kuhusiana na mlipuko wa Zimbabwe

    Jul 04, 2018 09:25

    Polisi nchini Zimbabwe imewatia mbaroni washukiwa wawili kuhusiana na mlipuko wa guruneti ulioua watu wawili na kuwajeruhi wengine 47 katika mkutano wa kampeni wa Rais Emmerson Mnangagwa mwezi uliopita.

  • Ethiopia: Shambulio la guruneti ni sehemu ya njama ya njama ya kuvuruga uchumi

    Ethiopia: Shambulio la guruneti ni sehemu ya njama ya njama ya kuvuruga uchumi

    Jun 29, 2018 11:08

    Ofisi ya Waziri Mkuu wa Ethiopia imeeleza kuwa kukatika umeme na njia za mawasiliano kulikojiri kwa wakati mmoja na shambulio la guruneti katika mkutano uliohudhuriwa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo Abiy Ahmed Jumamosi iliyopita ilikuwa sehemu ya njama kubwa.

  • Rais wa Zimbabwe: Siku yangu ya kufa bado haijafika + Video

    Rais wa Zimbabwe: Siku yangu ya kufa bado haijafika + Video

    Jun 24, 2018 00:15

    Rais wa Zimbabwe amesema baada ya kunusurika kifo katika mlipuko wa jana kwamba, siku yake ya kufa ilikuwa haijafika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS