-
Waziri Mkuu wa Ethiopia anusurika kifo katika hujuma ya mlipuko wa bomu
Jun 23, 2018 09:32Mripuko wa bomu umetokea katikati ya wafuasi wa Waziri Mkuu wa Ethiopia mjini Addis Ababa na ambao ulikuwa umemkusudia kiongozi huyo na kusababisha watu kadhaa kuuawa na wengine kujeruhiwa.
-
Wanane wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu mjini Derna, Libya
May 28, 2018 10:02Watu wanane wameuawa na kujeruhiwa kwenye mripuko wa bomu uliotokea katika mji wa Derna wa mashariki mwa Libya.
-
Watu watano wauawa kwa mripuko wa bomu katika uwanja wa mpira Somalia
Apr 13, 2018 00:12Kwa akali watu watano wameuawa katika shambulio la kigaidi la mripuko wa bomu ulilotokea katika uwanja wa mpira wa miguu, kusini mwa Somalia.
-
Watu 14 wauawa katika mlipuko wa bomu Mogadishu, Somalia
Mar 23, 2018 00:02Kwa akali watu 14 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia mlipuko wa bomu uliotokea katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu.
-
Askari wanne wa Somalia wauawa katika shambulio la bomu karibu na Mogadishu
Mar 11, 2018 03:48Askari wasiopungua wanne wa vikosi vya usalama vya Somalia wameuawa na mwengine mmoja amejeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea kwenye viunga vya mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.
-
Watu watatu wauawa, 6 wajeruhiwa kaskazini mwa Misri
Feb 04, 2018 13:02Duru za Misri zimetangaza kuwa, watu watatu wameuawa na wengine 6 kujeruhiwa katika tukio la karibuni kabisa la kushambuliwa polisi wa Misri, kusini mwa al Arish, makao makuu ya jimbo la Sinai Kaskazini, nchini Misri.
-
Miripuko ya kigaidi yazidi kuisakama Afghanistan, zaidi ya watu 60 wauawa mjini Kabul
Jan 27, 2018 13:33Habari kutoka Afghanistan zinaarifu kwamba kwa akali watu 60 wameuawa na wengine zaidi ya 200 wamejeruhiwa katika mripuko wa bomu la kutegwa ndani ya gari la kubebea wagonjwa katikati ya Kabul, mji mkuu wa nchi hiyo.
-
Iran: Ushirikiano wa dunia unahitajika kwa ajili ya kukabiliana na ugaidi
Jan 24, 2018 11:05Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani milipuko ya kigaidi iliyotokea huko Benghazi Libya ambapo mbali na kuwapa mkono wa pole wale waliopoteza ndugu zao katika tukio hilo la kigaidi amesenma kuwa, ili kuukabiliana na ugaidi usio na mipaka kuna haja ya kuweko ushirikiano wa dunia katika hilo.
-
Miripuko ya mabomu yaua watu 33 na kujeruhi 50 mjini Benghazi nchini Libya
Jan 24, 2018 04:26Watu wasiopungua 33 wameuawa na wengine wapatao 50 wamejeruhiwa baada ya magari mawili yaliyotegwa mabomu kuripuka katika mji wa Benghazi ulioko mashariki mwa Libya.
-
Watu 27 wauawa katika hujuma ya kigaidi mjini Baghdad, Iraq
Jan 15, 2018 04:19Watu wasiopungua 27 wameuawa na wengine zaidi ya 65 kujuruhiwa kufuatia mashambulizi mawili ya kigaidi katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.