Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mripuko

  • Askari 6 wa Misri wauawa katika shambulizi la bomu eneo la Sinai

    Askari 6 wa Misri wauawa katika shambulizi la bomu eneo la Sinai

    Dec 29, 2017 04:31

    Wanajeshi sita wa Misri wameuawa katika shambulizi la bomu lililotokea jana Alkhamisi katika eneo linalokumbwa na misukosuko la Rasi ya Sinai, kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Miripuko minne ya mabomu yatokea katika eneo linalozungumza Kiingereza nchini Cameroon

    Miripuko minne ya mabomu yatokea katika eneo linalozungumza Kiingereza nchini Cameroon

    Nov 13, 2017 11:37

    Maafisa wa Cameroon wametangaza habari ya kutokea miripuko minne katika eneo moja linalozungumza lugha ya Kiingereza nchini humo.

  • Idadi ya waliouawa katika shambulio la kigaidi la Daesh (ISIS) nchini Syria yafikia 65

    Idadi ya waliouawa katika shambulio la kigaidi la Daesh (ISIS) nchini Syria yafikia 65

    Oct 13, 2017 04:05

    Idadi ya waliouawa katika shambulio la kigaidi lililofanywa na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh katika mji wa Al Hasakah nchini Syria imefikia watu 65.

  • Watu saba wauawa katika mlipuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Watu saba wauawa katika mlipuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Sep 29, 2017 00:41

    Watu wasiopungua saba wanaripotiwa kufariki dunia katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya kutokea mlipuko mkubwa katika eneo moja mjini humo.

  • Askari 8 wa UN wauawa, kujeruhiwa katika mripuko nchini Mali

    Askari 8 wa UN wauawa, kujeruhiwa katika mripuko nchini Mali

    Sep 24, 2017 11:01

    Wanajeshi watatu wa Kikosi cha Kusimamia Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Mali MINUSMA wameuawa katika mripuko wa bomu uliotokea kaskazini mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Watu 27 wauawa katika shambulio la kigaidi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Watu 27 wauawa katika shambulio la kigaidi kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Aug 15, 2017 23:57

    Watu 27 wameuawa kaskazini mashariki mwa Nigeria na wengine 83 kujeruhiwa kufuatia shambulio la kigaidi lililotekelezwa na wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Watu kadhaa wauawa katika mripuko wa bomu karibu na mji mkuu wa Somalia

    Watu kadhaa wauawa katika mripuko wa bomu karibu na mji mkuu wa Somalia

    Jul 13, 2017 03:38

    Habari kutoka Somalia zinaripoti kwamba, watu 11 wameuawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea asubuhi ya leo karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.

  • Mlipuko wa bomu wauwa watu 5 na kujeruhi 18 Benghazi, Libya

    Mlipuko wa bomu wauwa watu 5 na kujeruhi 18 Benghazi, Libya

    Jul 07, 2017 10:39

    Watu kadhaa wameuawa na wengine kujeruhiwa baada ya bomu kulipuka kando ya barabara inayotumiwa na vikosi vya jeshi la Libya katika mji wa Benghazi, mashariki mwa nchi hiyo.

  • Wanane wauawa na kujeruhiwa karibu na Mogadishu Somalia

    Wanane wauawa na kujeruhiwa karibu na Mogadishu Somalia

    Jul 02, 2017 10:43

    Watu wanane wameripoti kuuawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea karibu na Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.

  • Mripuko wa kutisha watokea melini katika pwani ya Puntland, Somalia

    Mripuko wa kutisha watokea melini katika pwani ya Puntland, Somalia

    Jun 27, 2017 11:13

    Duru za habari nchini Somalia zimeripoti habari ya kutokea mripuko mkubwa ndani ya meli katika pwani ya Puntland, kaskazini mashariki mwa Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS