-
Askari 6 wa Misri wauawa katika shambulizi la bomu eneo la Sinai
Dec 29, 2017 04:31Wanajeshi sita wa Misri wameuawa katika shambulizi la bomu lililotokea jana Alkhamisi katika eneo linalokumbwa na misukosuko la Rasi ya Sinai, kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Miripuko minne ya mabomu yatokea katika eneo linalozungumza Kiingereza nchini Cameroon
Nov 13, 2017 11:37Maafisa wa Cameroon wametangaza habari ya kutokea miripuko minne katika eneo moja linalozungumza lugha ya Kiingereza nchini humo.
-
Idadi ya waliouawa katika shambulio la kigaidi la Daesh (ISIS) nchini Syria yafikia 65
Oct 13, 2017 04:05Idadi ya waliouawa katika shambulio la kigaidi lililofanywa na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh katika mji wa Al Hasakah nchini Syria imefikia watu 65.
-
Watu saba wauawa katika mlipuko wa bomu Mogadishu, Somalia
Sep 29, 2017 00:41Watu wasiopungua saba wanaripotiwa kufariki dunia katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya kutokea mlipuko mkubwa katika eneo moja mjini humo.
-
Askari 8 wa UN wauawa, kujeruhiwa katika mripuko nchini Mali
Sep 24, 2017 11:01Wanajeshi watatu wa Kikosi cha Kusimamia Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Mali MINUSMA wameuawa katika mripuko wa bomu uliotokea kaskazini mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Watu 27 wauawa katika shambulio la kigaidi kaskazini mashariki mwa Nigeria
Aug 15, 2017 23:57Watu 27 wameuawa kaskazini mashariki mwa Nigeria na wengine 83 kujeruhiwa kufuatia shambulio la kigaidi lililotekelezwa na wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Watu kadhaa wauawa katika mripuko wa bomu karibu na mji mkuu wa Somalia
Jul 13, 2017 03:38Habari kutoka Somalia zinaripoti kwamba, watu 11 wameuawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea asubuhi ya leo karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.
-
Mlipuko wa bomu wauwa watu 5 na kujeruhi 18 Benghazi, Libya
Jul 07, 2017 10:39Watu kadhaa wameuawa na wengine kujeruhiwa baada ya bomu kulipuka kando ya barabara inayotumiwa na vikosi vya jeshi la Libya katika mji wa Benghazi, mashariki mwa nchi hiyo.
-
Wanane wauawa na kujeruhiwa karibu na Mogadishu Somalia
Jul 02, 2017 10:43Watu wanane wameripoti kuuawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea karibu na Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.
-
Mripuko wa kutisha watokea melini katika pwani ya Puntland, Somalia
Jun 27, 2017 11:13Duru za habari nchini Somalia zimeripoti habari ya kutokea mripuko mkubwa ndani ya meli katika pwani ya Puntland, kaskazini mashariki mwa Somalia.