Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mripuko

  • Watu 20 wauawa katika mlipuko mazikoni Kabul, Afghanistan

    Watu 20 wauawa katika mlipuko mazikoni Kabul, Afghanistan

    Jun 03, 2017 10:41

    Watu wasiopungua 20 wameuawa katika mlipuko wa kigaidi wakiwa katika maziko katika kitongoji cha mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.

  • Iran yalaani hujuma ya Kabul, idadi ya waliouawa yapindukia 80

    Iran yalaani hujuma ya Kabul, idadi ya waliouawa yapindukia 80

    May 31, 2017 10:30

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali shambulizi la kigaidi lililoutikisa mji mkuu wa Afghanistan, Kabul na kuuwa makumi ya watu na kujeruhi wengine wengi.

  • Idadi ya waliouawa na kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi Iraq yafikia 115

    Idadi ya waliouawa na kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi Iraq yafikia 115

    May 30, 2017 11:10

    Polisi ya Iraq imetangaza kuwa idadi ya watu waliouawa na kujeruhiwa katika shambulio la kigaidi lililofanywa usiku wa kuamkia leo kwenye eneo la Al-Karrada katika mji mkuu wa nchi hiyo Baghdad imeongezeka na kufikia 115.

  • 19 Wauawa katika hujuma ya kigaidi Manchester, Uingereza

    19 Wauawa katika hujuma ya kigaidi Manchester, Uingereza

    May 22, 2017 23:05

    Watu wasiopungua 19 wameuawa katika mji wa Manchester nchini Uingereza kufuatia mlipuko mkubwa unaoshukiwa kuwa hujuma ya kigaidi.

  • Wanajeshi 3 wauawa wakitegua bomu nchini Somalia

    Wanajeshi 3 wauawa wakitegua bomu nchini Somalia

    May 17, 2017 09:24

    Kwa akali askari watatu wa jeshi la Somalia wamepoteza maisha baada ya mabomu yaliyokuwa yametegwa ndani ya gari moja lililokamatwa na maafisa usalama kuwalipukia katika mji mkuu Mogadishu.

  • Mripuko wa bomu waua watu sita na kujeruhi wengine kadhaa mjini Mogadishu, Somalia

    Mripuko wa bomu waua watu sita na kujeruhi wengine kadhaa mjini Mogadishu, Somalia

    May 09, 2017 03:40

    Watu wasiopungua sita wameuawa baada ya bomu lililotegwa garini kuripuka katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu hapo jana.

  • Makumi wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu Kabul

    Makumi wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu Kabul

    May 03, 2017 03:17

    Watu 33 wameuawa na kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu ulioutikisa mji wa Kabul karibu na ubalozi wa Marekani nchini Afghanistan mapema leo.

  • 5 wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu Somalia

    5 wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu Somalia

    Apr 30, 2017 23:41

    Kwa akali watu wawili wameuawa na wengine watatu wamejeruhiwa katika mripuko wa bomu la kuendeshwa kutokea mbali katika viunga vya mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Mripuko wajeruhi watu wawili mjini Mogadishu, Somalia

    Mripuko wajeruhi watu wawili mjini Mogadishu, Somalia

    Apr 29, 2017 11:01

    Duru za usalama nchini Somalia zimetangaza habari ya kutokea mripuko wa bomu mjini Mogadishu Somalia na kujeruhi watu wawili.

  • Watu 15 wauawa katika mlipuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Watu 15 wauawa katika mlipuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Apr 09, 2017 09:52

    Watu wasiopungua 15 wameuawa baada ya bomu lililotegwa ndani ya gari kuripuka nje ya kambi ya jeshi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS