Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msikiti wa al Aqsa

  • Jihad Islami: Tutailinda al Aqsa kwa nguvu zote

    Jihad Islami: Tutailinda al Aqsa kwa nguvu zote

    Jul 20, 2021 03:12

    Harakati ya Jihad Islami ya Palestina imetoa tamko kuhusu hujuma iliyofanywa na Wazayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa katika Siku ya Arafa na kutangaza kuwa, vita vya Panga la Quds bado havijaisha na taifa la Palestina liko tayari kulinda eneo hilo takatifu.

  • Ndege zisizo na rubani za utawala wa Kizayuni zimeonekana katika anga ya msikiti wa al Aqsa

    Ndege zisizo na rubani za utawala wa Kizayuni zimeonekana katika anga ya msikiti wa al Aqsa

    Jul 19, 2021 07:01

    Vyombo vya habari vimeripoti kuwa, ndege zisizo na rubani za Israel zimeonekana katika anga ya msikiti mtakatifu wa al Aqsa.

  • Hamas: Msikiti wa al-Aqsa utakombolewa karibuni hivi

    Hamas: Msikiti wa al-Aqsa utakombolewa karibuni hivi

    Jun 20, 2021 22:24

    Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema taifa la Palestina karibuni hivi litaukomboa Msikiti mtukufu wa al-Aqsa, huko Baitul Muqaddas inayokaliwa kwa mabavu.

  • Sayyid Nasrullah: Bila shaka sote tutaswali katika Msikiti wa al-Aqsa

    Sayyid Nasrullah: Bila shaka sote tutaswali katika Msikiti wa al-Aqsa

    Jun 09, 2021 03:47

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema hakuna chembe ya shaka kuwa Waislamu wote karibuni hivi wataibuka washindi mkabala wa Wazayuni na waitifaki wao, na hatimaye watatekeleza ibada ya Swala katika Msikiti mtukufu wa al-Aqsa, huko Baitul Muqaddas inayokaliwa kwa mabavu.

  • Kambi ya muqawama haitaruhusu kuvunjiwa heshima al-Aqsa

    Kambi ya muqawama haitaruhusu kuvunjiwa heshima al-Aqsa

    Jun 07, 2021 22:17

    Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina amesema wananchi wa Palestina na kambi ya muqawama katu hawataruhusu kuvunjiwa heshima Masjidul Aqsa.

  • Hamas yaonya kuhusu hujuma yoyote ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Msikiti wa al Aqsa

    Hamas yaonya kuhusu hujuma yoyote ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Msikiti wa al Aqsa

    Jun 06, 2021 21:59

    Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika Ukanda wa Ghaza ametoa tamko baada ya kubainika kuwa Wazayuni wanapanga kufanya shambulio jingine dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu.

  • Jordan yalaani uvamizi mpya wa utawala wa Kizayuni katika Msikiti wa al Aqsa

    Jordan yalaani uvamizi mpya wa utawala wa Kizayuni katika Msikiti wa al Aqsa

    May 23, 2021 22:01

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jordan imelaani uvamizi mpya wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Msikiti wa al Aqsa na hatua ya utawala huo ya kuwatia nguvuni wafanyazi wa Idara ya Waqfu ya Quds.

  • Hania: Mashahidi wa Palestina wamethibitisha kuwa Quds ni mstari mwekundu

    Hania: Mashahidi wa Palestina wamethibitisha kuwa Quds ni mstari mwekundu

    May 22, 2021 02:08

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amegusia jinsi Wapalestina walivyouliwa shahidi na Wazayuni katika vita vya Quds na kusisitiza kuwa, mashahidi hao wamewathibitisha watu wote kwamba Quds na Msikiti wa al Aqsa ni mstari mwekundu kwa taifa hilo na umma wote wa Kiislamu.

  • Maelfu ya Wapalestina washiriki katika Sala ya Idul Fitr kwenye Msikiti wa al Aqsa

    Maelfu ya Wapalestina washiriki katika Sala ya Idul Fitr kwenye Msikiti wa al Aqsa

    May 13, 2021 07:07

    Makumi ya maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika Sala ya Idul Fitr leo Alkhamisi asubuhi katika Msikiti wa al Aqsa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu licha ya sheria kali zilizowekwa na utawala wa Kizayuni ambao siku chache zilizopita wanajeshi wa utawala huo katili waliwashambulia kwa mabomu Waislamu waliokuwa wanasali ndani ya Msikiti huo.

  • Wapalestina wa Quds wawashukuru wenzao wa Ghaza kwa kuwapiga wanajeshi Wazayuni kwa makombora

    Wapalestina wa Quds wawashukuru wenzao wa Ghaza kwa kuwapiga wanajeshi Wazayuni kwa makombora

    May 11, 2021 03:12

    Wapalestina wa mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na Wazayuni wamefanya maandamano ya kutangaza kufurahishwa kwao na Wapalestina wenzao wa Ghaza kwa kuguswa na hali yao na kujibu jinai za Wazayuni huko Quds kwa kushambulia kwa makombora maeneo ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS