-
Rais Museveni: Mtandao wa Facebook una kiburi, unatumiwa kutushambulia
Dec 24, 2022 02:52Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema kwamba mtandao wa kijamii wa Facebook utafunguliwa tena nchini humo ikiwa utaacha kile alichokitaja kuwa ni "kucheza michezo."
-
Mbunge Uganda ataka katiba ibadilishwe ili Museveni aendelee kutawala
Jul 08, 2016 09:03Kuna uwezekano Rais Yoweri Museveni wa Uganda akaendelea kutawala hata baada ya muhula wake kumalizika kisheria baada mbunge mmoja kupendekeza katiba ibadilishwe ili kuondoa kizingiti cha umri ambacho kinamzuia Museveni kugombea tena urais.
-
Yoweri Museveni aapishwa kuwa Rais wa kipindi cha tano mfululizo nchini Uganda
May 12, 2016 10:52Rais Yoweri Museveni wa Uganda ambaye alishinda katika uchaguzi wa mwezi Februari mwaka huu, leo Alkhamisi ameapishwa kuwa rais wa nchi hiyo kwa kipindi cha tano mfululizo.
-
Besigye kuendelea kuzuiliwa wakati Rais Museveni wa Uganda akiapishwa
May 12, 2016 03:32Katika hali ambayo Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda anatazamiwa kuapishwa wakati wowote tokeo sasa, kinara wa upinzanai nchini humo Dakta Kizza Besigye anaendelea kuzuiliwa katika jela ya Nalufenya wilayani Jinja eneo la Karamoja.
-
Rais Rouhani ampongeza Rais Museveni kwa kuchaguliwa
Mar 13, 2016 03:46Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amempongeza Rais Yoweri Museveni wa Uganda kwa kuchaguliwa tena hivi karibuni kuiongoza nchi hiyo.