Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mwezi wa Ramadhani

  • Sharif: Maandamano ya Siku ya Quds ni nembo ya Umoja wa Umma wa Kiislamu

    Sharif: Maandamano ya Siku ya Quds ni nembo ya Umoja wa Umma wa Kiislamu

    May 26, 2018 15:26

    Mkuu wa Idara ia Intifadha na Quds Katika Shirika la Tablighi ya Kiislamu la Iran Jenerali Ramadhan Sharif amesema: "Maandamano ya Siku ya Quds nchini Iran na maeneo mengine duniani sasa yamegeuka kuwa jukwaa la Umoja wa Ulimwengu wa Kiislamu na kuunga mkono watu wa Palestina."

  • Waziri wa Uhajiri wa Denmark atoa matamshi ya kuuvunjia heshima mwezi mtukufu wa Ramadhani

    Waziri wa Uhajiri wa Denmark atoa matamshi ya kuuvunjia heshima mwezi mtukufu wa Ramadhani

    May 22, 2018 08:01

    Waziri wa Uhajiri, Mshikamano na Maskani wa Denmark ametoa matamshi ya chuki na uadui dhidi ya Uislamu kwa kuwataka Waislamu wa nchi hiyo wanapoanza kufunga na katika kipindi chote cha mwezi mtukufu wa Ramadhani wachukue likizo makazini akidai kwamba amali za mwezi huo ni "hatari" kwa watu wote nchini humo.

  • Rais Rouhani: Marekani haiwezi kukabiliana na taifa imara la Iran

    Rais Rouhani: Marekani haiwezi kukabiliana na taifa imara la Iran

    May 21, 2018 08:11

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kwamba kamwe Marekani haitoweza kulipigisha magoti taifa imara la Iran.

  • Misri yafungua kivuko cha Rafah kwa ajili ya Ramadhani

    Misri yafungua kivuko cha Rafah kwa ajili ya Ramadhani

    May 19, 2018 04:14

    Misri imefungua tena kivuko cha Rafah, njia pekee inayotumiwa kufikishia misaada ya dharura kwa Wapalestina karibu milioni mbili walio chini ya mzingiro huko Ukanda Gaza tangu mwaka 2007 na kusema kuwa eneo hilo la mpakani litasalia wazi katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Ukombozi usioepukika wa Palestina, kushindwa kusikokwepeka kwa Marekani + Picha

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Ukombozi usioepukika wa Palestina, kushindwa kusikokwepeka kwa Marekani + Picha

    May 18, 2018 18:24

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Baytul Muqaddas ndio mji mkuu wa Palestina na kwa taufiki na uwezo wa Mwenyezi Mungu Palestina itakombolewa tu kutoka katika makucha ya maadui na kwamba Marekani na vitimbakwiri vyake hawawezi kufanya upuuzi wowote mbele ya uhakika na sunna hiyo ya Mwenyezi Mungu.

  • Matukio ya Kiislamu Afrika Mashariki na Harith Subeit + Sauti

    Matukio ya Kiislamu Afrika Mashariki na Harith Subeit + Sauti

    May 18, 2018 18:17

    Kama kamawaida, wiki hii pia iliyosadifiana na kuanza mwezi mtukufu wa Ramadhani imesheheni matukio ya kila namna ya Kiislamu duniani ukiwemo ukanda wa Afrika Mashariki na Kati. Harith Subeit na baadhi ya matukio hayo...

  • Waislamu Uganda watakiwa kutumia vyema nyakati za Ramadhani + Sauti

    Waislamu Uganda watakiwa kutumia vyema nyakati za Ramadhani + Sauti

    May 18, 2018 18:14

    Waislamu nchini Uganda na duniani kiujumla wamehimizwa kujiweka mbali na mambo yanayomkasirisha Mwenyezi Mungu na kutumia vizuri nyakati muhimu za mwezi huu mtukufu wa Ramadhani. Mwandishi wetu Kigozi Ismail ametuandalia ripoti ifuatayo.

  • Kiongozi Muadhamu: Kukombolewa Palestina ni kanuni ya Allah ambayo Marekani haiwezi kukabiliana nayo

    Kiongozi Muadhamu: Kukombolewa Palestina ni kanuni ya Allah ambayo Marekani haiwezi kukabiliana nayo

    May 18, 2018 04:27

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, moja ya mahitaji muhimu na ya lazima ya umma wa Kiislamu hii leo, ni udharura wa kushikamana na Qur'an Tukufu na kuifanyia kazi.

  • Spika wa Bunge la Iran awatumia salamu za Ramadhani maspika wa mabunge

    Spika wa Bunge la Iran awatumia salamu za Ramadhani maspika wa mabunge

    May 16, 2018 14:08

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, Ali Larijani amewatumia maspika wa mabunge ya nchi za Kiislamu salamu kwa mnasaba wa kuwadia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

  • Waislamu wa Marekani wana hatari ya kunyanyaswa zaidi mwezi wa Ramadhani

    Waislamu wa Marekani wana hatari ya kunyanyaswa zaidi mwezi wa Ramadhani

    May 10, 2018 14:31

    Baraza la Uhusiano wa Marekani na Uislamu limetaka kuchukuliwa hatua za lazima za kuimarisha usalama kwa ajili ya kuwalinda Waislamu ambao wana hatari ya kukumbwa na mashambulizi na unyanyasaji zaidi katika kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS