Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mwezi wa Ramadhani

  • Papa atuma salamu za Ramadhani, akosoa ukaidi wa Trump

    Papa atuma salamu za Ramadhani, akosoa ukaidi wa Trump

    Jun 03, 2017 07:21

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Dunia Papa Francis amekosoa vikali hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuiondoa nchi yake katika makubaliano ya mabadiliko ya tabianchi yaliyofikiwa mjini Paris, Ufaransa mwaka 2015.

  • Sala ya kwanza ya Ijumaa Mwezi wa Ramadhani katika Msikiti wa Al Aqsa

    Sala ya kwanza ya Ijumaa Mwezi wa Ramadhani katika Msikiti wa Al Aqsa

    Jun 02, 2017 14:22

    Maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika sala ya Ijumaa ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika Msikiti wa Al Aqsa kwenye mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel huku ya wanajeshi wa utawala huo wa Kizayuni wakiwa wameweka sheria kali za kuwabana Waislamu.

  • Zarif: Ramadhani ni fursa kwa Waislamu kuimarisha umoja wao

    Zarif: Ramadhani ni fursa kwa Waislamu kuimarisha umoja wao

    May 28, 2017 13:56

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja mwezi mtukufu wa Ramadhani kama fursa ya kipekee inayoweza kutumiwa na Waislamu kote duniani kwa ajili ya kuimarisha umoja na mshikamano wao.

  • Rais Rouhani awatumia salamu za Ramadhani viongozi wa nchi za Kiislamu

    Rais Rouhani awatumia salamu za Ramadhani viongozi wa nchi za Kiislamu

    May 27, 2017 06:46

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia salamu za Ramadhani viongozi wa nchi za Kiislamu.

  • Marekani yapiga marufuku dhifa ya futari katika Wizara ya Mambo ya Nje

    Marekani yapiga marufuku dhifa ya futari katika Wizara ya Mambo ya Nje

    May 27, 2017 06:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amepiga marufuku kufanyika karamu zozote zinazohusiana na mwezi mtukufu wa Ramadhani katika wizara hiyo mwaka huu.

  • SAUTI: Waislamu Kenya: Serikali ya Jubilee isitumie suala la uhuru wa Ramadhani katika kampeni, ni haki ya kila Mkenya

    SAUTI: Waislamu Kenya: Serikali ya Jubilee isitumie suala la uhuru wa Ramadhani katika kampeni, ni haki ya kila Mkenya

    May 23, 2017 18:02

    Shakhsia mbalimbali wa Kiislamu nchini Kenya, wameitaka serikali kuwahakikishia Waislamu usalama wa kutosha ndani ya mwezi mtukufu wa Ramadhani baada ya serikali hiyo kuondoa hali ya hatari katika maeneo ya mpakani na Somalia.

  • Watakaokula mchana Ramadhani visiwani Zanzibar kukiona

    Watakaokula mchana Ramadhani visiwani Zanzibar kukiona

    May 20, 2017 04:17

    Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imetoa onyo kwa wananchi watakaokula hadharani katika kipindi cha mchana wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na kwamba, hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

  • Ramadhani, mwezi wa Qur'ani

    Ramadhani, mwezi wa Qur'ani

    Jun 28, 2016 08:33

    Wanajeshi wanamaji wa Iran, wanaadhimisha nyakati za mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa ibada mbalimbali. Hizi ni baadhi ya picha za jalsa ya kusoma Qur'ani iliyohudhuriwa na Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Admeli Habibullah Sayyari.

  • Saudia yaua Waislamu 15 Yemen katika mwezi wa Ramadhani

    Saudia yaua Waislamu 15 Yemen katika mwezi wa Ramadhani

    Jun 21, 2016 14:10

    Watu wasiopungua 15 wameuawa leo katika mashambulizi ya ndege za kivita za Saudi Arabia katika mkoa wa Lahaj huko kusini mwa Yemen.

  • Israel yawakatia maji Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Israel yawakatia maji Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Jun 15, 2016 07:18

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umewakatia huduma za maji Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan licha ya joto kali na hitajio kubwa la bidhaa hiyo muhimu katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS