Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

NATO

  • Macron: Siombi samahani, nakariri tena kwamba NATO imekufa ubongo

    Macron: Siombi samahani, nakariri tena kwamba NATO imekufa ubongo

    Nov 29, 2019 08:08

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema kuwa kauli yake kwamba Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) limepatwa na kifo cha ubongo ilipiga kengele ya hatari kwa nchi wanachama na kwamba hataomba radhi kwa kutoa matamshi hayo.

  • Rais wa Chad akosoa vikali uingiliaji wa NATO katika masuala ya ndani ya Libya

    Rais wa Chad akosoa vikali uingiliaji wa NATO katika masuala ya ndani ya Libya

    Nov 23, 2019 07:56

    Rais Idriss Deby wa Chad amesisitiza kuwa, uingiliaji wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) katika masuala ya ndani ya Libya ulipelekea kutokea maafa katika nchi hiyo na kwamba, Afrika haipaswi kubeba peke yake mzigo wa maafa hayo.

  • Indhari ya Mshauri wa Usalama wa Taifa Marekani kuhusu kusambaratika NATO

    Indhari ya Mshauri wa Usalama wa Taifa Marekani kuhusu kusambaratika NATO

    Nov 12, 2019 07:57

    Rais Donald Trump wa Marekani ambaye ni maarufu kwa kuibua utata, angali anaendelea kukosoa vikali Muungano wa Kijeshi wa Atlantiki ya Kaskazini (NATO) . Trump hasa anawakosoa wanachama wa bara Ulaya katika muungano huo kwa kutotenga asilimia 2 ya Pato la Ndani la Nchi (GDP) kwa ajili ya gharama za kijeshi. Maafisa wa ngazi za juu wa Marekani nao sasa pia wanafuata nyayo za Trump katika kuukosoa muungano wa kijeshi wa NATO.

  • Sisitizo la Rais Macron wa Ufaransa kuwa Shirika la kijeshi la NATO limekufa ubongo

    Sisitizo la Rais Macron wa Ufaransa kuwa Shirika la kijeshi la NATO limekufa ubongo

    Nov 09, 2019 07:35

    Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa aklilidunisha Shirika la Kijeshi la Muungano wa Nchi za Magharibi (NATO) huku akikosoa wananchama wa muungano huo kutokana na kutoshiriki katika kuchangia bajeti ya muungano huo hasa kutotenga asilimia 2 ya Pato la Ndani la Nchi (GDP) kwa ajili ya gharama za kijeshi.

  • Rais Emmanuel Macron: Shirika la kijeshi la NATO limekufa ubongo

    Rais Emmanuel Macron: Shirika la kijeshi la NATO limekufa ubongo

    Nov 08, 2019 08:18

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa sambamba na kuonyesha wasi wasi wake kuhusiana na iwapo Marekani itaendeleza ahadi zake katika Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi NATO amesema kuwa, shirika hilo limekumbwa na kifo cha ubongo.

  • Serikali ya Kabul: NATO haina nia ya kupunguza idadi ya askari wake  walioko Afghanistan

    Serikali ya Kabul: NATO haina nia ya kupunguza idadi ya askari wake walioko Afghanistan

    Oct 26, 2019 08:19

    Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Afghanistan amesema, shirika la kijeshi la NATO halina nia ya kupunguza idadi ya askari wake walioko nchini humo.

  • Rais wa Russia aionya NATO kutochukua hatua yoyote ya kukiuka mkataba wa INF

    Rais wa Russia aionya NATO kutochukua hatua yoyote ya kukiuka mkataba wa INF

    Sep 25, 2019 13:07

    Rais Vladimir Putin wa Russia amezionya nchi wanachama wa shirika la kijeshi la NATO kutochukua hatua ya kuweka mifumo ya makombora barani Ulaya kinyume na mkataba unaopiga marufuku silaha za nyuklia za masafa ya kati, INF.

  • Marekani yatuma ndege za kiistratijia za kivita nchini Uingereza huku UK ikipigania kujitoa EU

    Marekani yatuma ndege za kiistratijia za kivita nchini Uingereza huku UK ikipigania kujitoa EU

    Sep 02, 2019 07:41

    Afisa mmoja wa jeshi la anga la Marekani amesema kuwa Washington imetuma ndege zake za kiistratijia za B-2 nchini Uingereza kama njia ya kuonesha kuwa iko pamoja na serikali ya nchi hiyo.

  • Sisitizo la Rais Erdogan wa Uturuki la kununua ndege za kivita za Russia

    Sisitizo la Rais Erdogan wa Uturuki la kununua ndege za kivita za Russia

    Sep 02, 2019 04:05

    Kufuatia hatua ya Uturuki ya kununua mfumo wa makombora wa S-400 kutoka Russia, wakuu wa nchi hiyo sasa wameazimia kununa ndege za kisasa za kivita za Russia za Sukhoi-35 na Sukhoi-57.

  • NATO: Taarifa za Marekani kuihusu Iran si kinaifu

    NATO: Taarifa za Marekani kuihusu Iran si kinaifu

    May 18, 2019 07:47

    Afisa mmoja wa kitengo cha upelelezi wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi NATO amekosoa taarifa zinazotolewa na Marekani kuhusu maandalizi ya Iran kwa ajili ya kushambulia maslahi ya Marekani katika eneo na kuongeza kuwa, taarifa hizo kuihusu Tehran si za kukinaisha na hata ni za kudhalilisha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS