-
Kuongozeka mivutano ya kisiasa baina ya Ufaransa na Uturuki kuhusiana na shirika la NATO
Nov 30, 2019 23:34Matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kuhusu udhaifu wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) na kufananisha hali ya shirika hilo la kifo cha ubongo yamekabiliwa kwa hisia kali na baadhi ya wanachama wa jumuiya hiyo ikiwemo Uturuki. Matamshi hayo yameuzusha mivutano ya kisiasa baina ya Paris na Ankara.
-
Macron: Siombi samahani, nakariri tena kwamba NATO imekufa ubongo
Nov 29, 2019 04:38Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema kuwa kauli yake kwamba Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) limepatwa na kifo cha ubongo ilipiga kengele ya hatari kwa nchi wanachama na kwamba hataomba radhi kwa kutoa matamshi hayo.
-
Rais wa Chad akosoa vikali uingiliaji wa NATO katika masuala ya ndani ya Libya
Nov 23, 2019 04:26Rais Idriss Deby wa Chad amesisitiza kuwa, uingiliaji wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) katika masuala ya ndani ya Libya ulipelekea kutokea maafa katika nchi hiyo na kwamba, Afrika haipaswi kubeba peke yake mzigo wa maafa hayo.
-
Indhari ya Mshauri wa Usalama wa Taifa Marekani kuhusu kusambaratika NATO
Nov 12, 2019 04:27Rais Donald Trump wa Marekani ambaye ni maarufu kwa kuibua utata, angali anaendelea kukosoa vikali Muungano wa Kijeshi wa Atlantiki ya Kaskazini (NATO) . Trump hasa anawakosoa wanachama wa bara Ulaya katika muungano huo kwa kutotenga asilimia 2 ya Pato la Ndani la Nchi (GDP) kwa ajili ya gharama za kijeshi. Maafisa wa ngazi za juu wa Marekani nao sasa pia wanafuata nyayo za Trump katika kuukosoa muungano wa kijeshi wa NATO.
-
Sisitizo la Rais Macron wa Ufaransa kuwa Shirika la kijeshi la NATO limekufa ubongo
Nov 09, 2019 04:05Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa aklilidunisha Shirika la Kijeshi la Muungano wa Nchi za Magharibi (NATO) huku akikosoa wananchama wa muungano huo kutokana na kutoshiriki katika kuchangia bajeti ya muungano huo hasa kutotenga asilimia 2 ya Pato la Ndani la Nchi (GDP) kwa ajili ya gharama za kijeshi.
-
Rais Emmanuel Macron: Shirika la kijeshi la NATO limekufa ubongo
Nov 08, 2019 04:48Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa sambamba na kuonyesha wasi wasi wake kuhusiana na iwapo Marekani itaendeleza ahadi zake katika Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi NATO amesema kuwa, shirika hilo limekumbwa na kifo cha ubongo.
-
Serikali ya Kabul: NATO haina nia ya kupunguza idadi ya askari wake walioko Afghanistan
Oct 26, 2019 04:49Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Afghanistan amesema, shirika la kijeshi la NATO halina nia ya kupunguza idadi ya askari wake walioko nchini humo.
-
Rais wa Russia aionya NATO kutochukua hatua yoyote ya kukiuka mkataba wa INF
Sep 25, 2019 09:37Rais Vladimir Putin wa Russia amezionya nchi wanachama wa shirika la kijeshi la NATO kutochukua hatua ya kuweka mifumo ya makombora barani Ulaya kinyume na mkataba unaopiga marufuku silaha za nyuklia za masafa ya kati, INF.
-
Marekani yatuma ndege za kiistratijia za kivita nchini Uingereza huku UK ikipigania kujitoa EU
Sep 02, 2019 03:11Afisa mmoja wa jeshi la anga la Marekani amesema kuwa Washington imetuma ndege zake za kiistratijia za B-2 nchini Uingereza kama njia ya kuonesha kuwa iko pamoja na serikali ya nchi hiyo.
-
Sisitizo la Rais Erdogan wa Uturuki la kununua ndege za kivita za Russia
Sep 01, 2019 23:35Kufuatia hatua ya Uturuki ya kununua mfumo wa makombora wa S-400 kutoka Russia, wakuu wa nchi hiyo sasa wameazimia kununa ndege za kisasa za kivita za Russia za Sukhoi-35 na Sukhoi-57.