-
NATO yatafakari kuingia vitani Syria, Iraq
Feb 12, 2016 15:40Shirika la Kijeshi la NATO linatafakari kuingia katika vita vinavyoendelea katika nchi za Syria na Iraq.
-
Rusia: Nato inachochea machafuko Mashariki ya Kati
Feb 08, 2016 07:14Wizara ya Ulinzi ya Russia imejibu tuhuma za shika la kijeshi la nchi za Magharibi (NATO) ikisema muungano huo wa kijeshi imeitumbukiza Syria katika matatizo makubwa na kusababisha machafuko katika eneo lote la Mashariki ya Kati.