-
NATO yashambuliwa mitandaoni baada ya kuripotiwa kuua raia laki 5 Libya 2011
Oct 18, 2022 10:29Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) limevunja kimya na kutoa taarifa ya kujitenga na ripoti iliyochapishwa na vyombo mbalimbali vya habari na kusambaa katika mitandao ya kijamii kuwa vikosi vya taasisi hiyo viliua malaki ya raia nchini Libya mwaka 2011.
-
Putin: NATO inaingilia mambo ya ndani ya mataifa mengi duniani
Oct 14, 2022 02:45Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa, jeshi la nchi za Magharibi NATO linaingilia mambo ya ndani ya nchi nyingi duniani kinyume cha sheria.
-
Russia: Msaada wa silaha wa Marekani kwa Ukraine unaiweka Russia na NATO katika makabiliano ya kijeshi
Oct 05, 2022 07:07Afisa wa ngazi za juu wa serikali ya Russia amekosoa misaada ya silaha ya Marekani kwa Ukraine, akisema inaziweka Moscow na NATO kwenye ncha ya makabiliano ya moja kwa moja ya kijeshi.
-
Kuuawa bintiye Dugin na kupanuka zaidi mgogoro wa Russia na Ukraine
Aug 24, 2022 09:38Rais Vladimir Putin wa Russia ametuma salamu zake za rambirambi kwa wazazi wa Darya Dugina, binti ya Alexander Dugin, mwananadharia mashuhuri wa Russia. Putin ameutaja uhalifu huo kuwa "mbaya na ukatili" na akamuelezea Darya Dugina kama mtu aliyekuwa mwerevu, mwenye talanta na moyo wa kweli wa utaifa wa Russia.
-
"Putin" na sera ya ubeberu ya shirika la NATO
Jul 01, 2022 08:45Rais wa Russia, Vladimir Putin, amelaani "sera za kupenda makuu" za Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO), ambalo anaamini linalenga kuimarisha "ubeberu" wake kupitia vita vya Ukraine.
-
China yajibu mapigo kwa hati ya mkakati mpya wa NATO dhidi yake
Jul 01, 2022 08:03China imekosoa hati ya mkakati na stratejia mpya ya Muungano wa Kijeshi wa NATO na kueleza kwamba muungano huo ni changamoto ya kimfumo kwa usalama na uthabiti wa dunia.
-
Uturuki yaafiki Sweden na Finland zijiunge na NATO na uwezekano wa vita vya dunia
Jul 01, 2022 01:02Hatimaye, baada ya mazungumzo mengi, kumetiwa saini mapatano ya pande tatu baina ya Ankara, Stockholm na Helsinki kuhusu Finland na Sweden kujiounga na NATO. Katibu Mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amethiitisha kuwa Uturuki imeafiki Sweden na Norway zijiunge na NATO.
-
Mfalme wa Jordan ataka kuundwa 'NATO ya Asia Magharibi'
Jun 26, 2022 02:21Mfalme wa Jordan amesema anaunga mkono wazo la kuundwa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Asia Magharibi, utakaoshabihiana na Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO).
-
Sisitizo la Katibu Mkuu wa NATO kuhusu kujiandaa Magharibi kwa vita vya muda mrefu Ukraine
Jun 05, 2022 02:38Katibu Mkuu wa Jeshi la Nchi za Magharibi NATO, Jens Stoltenberg, baada ya kuonana na rais wa Marekani, Joe Biden ili kujua msimamo wa Washington kuhusu vita vya Ukraine amedai kwamba nchi za Magharibi zinapaswa kujiandaa kwa vita vya muda mrefu huko Ukraine.
-
Russia: Shirika "lililokufa ubongo" linahitaji kupatiwa viungo vipya
May 20, 2022 08:10Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia Maria Zakharova amegusia hatua ya shirika la kijeshi la NATO ya kutaka kuzipatia Finland na Sweden uanachama wa shirika hilo na akasema, shirika ambalo limekumbwa na "kifo cha ubongo" linahitaji kupatiwa viungo vipya.