Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

NATO

  • Mfalme wa Jordan ataka kuundwa 'NATO ya Asia Magharibi'

    Mfalme wa Jordan ataka kuundwa 'NATO ya Asia Magharibi'

    Jun 26, 2022 02:21

    Mfalme wa Jordan amesema anaunga mkono wazo la kuundwa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Asia Magharibi, utakaoshabihiana na Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO).

  • Sisitizo la Katibu Mkuu wa NATO kuhusu kujiandaa Magharibi kwa vita vya muda mrefu Ukraine

    Sisitizo la Katibu Mkuu wa NATO kuhusu kujiandaa Magharibi kwa vita vya muda mrefu Ukraine

    Jun 05, 2022 02:38

    Katibu Mkuu wa Jeshi la Nchi za Magharibi NATO, Jens Stoltenberg, baada ya kuonana na rais wa Marekani, Joe Biden ili kujua msimamo wa Washington kuhusu vita vya Ukraine amedai kwamba nchi za Magharibi zinapaswa kujiandaa kwa vita vya muda mrefu huko Ukraine.

  • Russia: Shirika

    Russia: Shirika "lililokufa ubongo" linahitaji kupatiwa viungo vipya

    May 20, 2022 08:10

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia Maria Zakharova amegusia hatua ya shirika la kijeshi la NATO ya kutaka kuzipatia Finland na Sweden uanachama wa shirika hilo na akasema, shirika ambalo limekumbwa na "kifo cha ubongo" linahitaji kupatiwa viungo vipya.

  • Njama za Magharibi za kuanzisha NATO ya dunia nzima

    Njama za Magharibi za kuanzisha NATO ya dunia nzima

    May 18, 2022 09:28

    Katika hali ambayo suala la uwanachama wa nchi mbalimbali hasa Ukraine katika Jeshi la Nchi za Magharibi NATO limeitumbukiza dunia kwenye mgogoro wa kimataifa, Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza ameona kama hiyo haitoshi na hivi sasa amezungumzia wajibu wa kuweko mkataba wa NATO ya dunia nzima.

  • Moscow yasisitiza: Marekani inashiriki moja kwa moja katika vita vya Ukraine

    Moscow yasisitiza: Marekani inashiriki moja kwa moja katika vita vya Ukraine

    May 09, 2022 02:27

    Vyacheslav Volodin, mkuu wa Duma ya Russia, ameandika kwenye mtandao wa Telegram kwamba Merekani inashiriki moja kwa moja katika operesheni za kijeshi za Ukraine.

  • Russia yatahadharisha juu ya uwezekano wa kupigana na Nato

    Russia yatahadharisha juu ya uwezekano wa kupigana na Nato

    Apr 18, 2022 02:29

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetahadharisha juu ya uwezekano wa kujiri mapigano ya muda mrefu baina ya nchi hiyo na Shirika Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) katika katika eneo la Ncha ya Kaskazini.

  • Russia yaonya itaweka silaha za nyuklia Baltic iwapo Sweden na Finland zitajiunga na NATO

    Russia yaonya itaweka silaha za nyuklia Baltic iwapo Sweden na Finland zitajiunga na NATO

    Apr 17, 2022 02:20

    Dmitry Medvedev, Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Russia ameonya kuwa, iwapo Finland na Sweden zitajiunga na muungano wa kijeshi wa NATO, basi Russia itazitambua nchi hizo mbili kuwa maadui.

  • Ukraine iko tayari kubadili Katiba na kutupilia mbali kujiunga na NATO

    Ukraine iko tayari kubadili Katiba na kutupilia mbali kujiunga na NATO

    Mar 31, 2022 07:58

    Waziri Mkuu wa Slovenia ametangaza utayarifu wa Ukraine wa kubadilisha Katiba ya nchi hiyo na kuachana na nia yake ya kujiunga na NATO.

  • China: NATO inaiingiza dunia katika Vita Baridi

    China: NATO inaiingiza dunia katika Vita Baridi

    Mar 27, 2022 02:31

    China imelionya Shirika la Jeshi la Nchi za Magharibi NATO dhidi ya kuitumbukiza dunia katika kipindi kipya cha Vita Baridi kupitia sera zake za usalama zilizopitwa na wakati.

  • Kikao cha wakuu wa NATO na kung'ang'ania msimamo wa kiuadui dhidi ya Russia

    Kikao cha wakuu wa NATO na kung'ang'ania msimamo wa kiuadui dhidi ya Russia

    Mar 26, 2022 02:22

    Kikao cha dharura cha wakuu wa Jeshi la Nchi za Magharibi NATO kilifanyika juzi Alkhamisi mjini Brussels, Ubelgiji ambayo ndio makao makuu ya Umoja wa Ulaya. Katika siku za hivi karibuni, Brussels imekuwa mwenyeji wa vikao vitatu ambavyo ni cha wakuu wa NATO, cha G7 na cha Umoja wa Ulaya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS