-
Chad yatuma maelfu ya wanajeshi Niger
Jun 08, 2016 23:08Chad yatuma wanajeshi elfu mbili nchini Niger iili kukabiliana na mashambulizi ya Boko Haram.
-
Makumi wapoteza maisha kwa ugonjwa wa uti wa mgongo Niger
Apr 02, 2016 21:51Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, makumi ya watu wamepoteza maisha nchini Niger kutokana na ugonjwa wa uti wa mgongo.
-
Serikali ya Niger yaendelea kumshikilia Amadou licha ya kukaribia uchaguzi
Mar 07, 2016 03:12Hama Amadou, hasimu wa Rais Mahamadou Issoufou wa Niger katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais nchini humo, bado anaendelea kushikiliwa na vyombo vya dola licha ya kukaribia uchaguzi huo.
-
Wananchi Niger walalamikia uendeshaji mbovu wa uchaguzi
Feb 22, 2016 04:21Wananchi wa Niger wameilalamikia vikali serikali ya nchi hiyo kwa kuendesha vibaya uchaguzi.