Dec 14, 2017 06:49
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria matukio ya eneo la Masharikki ya Kati na kusema kuwa, kama nchi za Kiislamu zinataka zipate mafanikio, basi zinapaswa kuungana na kuwa kitu kimoja na kupiga hatua kuelekea upande mmoja.