Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

nchi za Kiislamu

  • OIC na nchi  Kiislamu zalaani hujuma ya Wazayuni dhidi ya al Aqsa

    OIC na nchi Kiislamu zalaani hujuma ya Wazayuni dhidi ya al Aqsa

    May 19, 2023 10:28

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) na nchi za Kiislamu zimelaani hujuma iliyofanywa na Wazayuni wakiongozwa na mawaziri na wabunge kadhaa wa utawala haramu wa Israel dhidi ya Msikiti wa al Aqsa katika kile kilichopewa jina la "siku ya bendera".

  • Rais wa Iran awatumia Waislamu salamu za pongezi kwa mnasaba wa  Sikukuu ya Idul-Fitr

    Rais wa Iran awatumia Waislamu salamu za pongezi kwa mnasaba wa Sikukuu ya Idul-Fitr

    Apr 22, 2023 02:31

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za kheri na fanaka kwa Waislamu kwa mnasaba wa kuwadia siku kuu ya Idul Fitr ambayo ni siku ya kurejea katika Fitra na ni wakati wa fahari na furaha kwa waliofunga katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na waja wema wa Mwenyezi Mungu.

  • Qatar na Iran zasisitiza uhusiano wa pande mbili na kuiunga mkono Palestina

    Qatar na Iran zasisitiza uhusiano wa pande mbili na kuiunga mkono Palestina

    Apr 21, 2023 11:17

    Rais Ibrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuimarisha zaidi uhusiano na majirani ni katikia sera za kigeni za Tehran zinazopewa kipaumbele.

  • Kanani Chafi: Nchi za Kiislamu zizuie kupotoshwa fikra za waliowengi kuhusu kadhia ya Palestina

    Kanani Chafi: Nchi za Kiislamu zizuie kupotoshwa fikra za waliowengi kuhusu kadhia ya Palestina

    Apr 10, 2023 11:39

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa nchi za Kiislamu zina wajibu wa kuuzuia utawala wa Kizayuni kutumia anga za kisiasa katika eneo kwa ajili ya kupotosha fikra za waliowengi kuhusu suala la Palestina.

  • Iran yazitaka nchi za Kiislamu kuchukua hatua za pamoja kuulinda msikiti wa al-Aqswa

    Iran yazitaka nchi za Kiislamu kuchukua hatua za pamoja kuulinda msikiti wa al-Aqswa

    Jan 06, 2023 07:46

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mwito wa kuweko uratibu na kuchukuliwa hatua za pamoja na mataifa ya Kiislamu kwa ajili ya kuilinda hali ya kihistoria na kisheria ya msikiti mtakatifu wa al-Aqswa.

  • Wiki ya Umoja na vizingiti vinavyozuia kupatikana umoja wa nchi za Kiislamu

    Wiki ya Umoja na vizingiti vinavyozuia kupatikana umoja wa nchi za Kiislamu

    Oct 26, 2021 02:30

    Tarehe 12 hadi 17 Rabiul Awwal sawa na tarehe 19 hadi 24 Oktoba zimetengwa na kutangazwa rasmi kuwa Wiki ya Umoja wa Kiislamu na Jumapili ya juzi ndiyo iliyokuwa siku ya mwisho ya wiki hiyo muhimu katika ulimwengu wa Kiislamu.

  • Baraza la Mamufti wa Russia: Nchi za Kiislamu ziungane kupambana na

    Baraza la Mamufti wa Russia: Nchi za Kiislamu ziungane kupambana na "Muamala wa Karne"

    Feb 02, 2020 02:41

    Mkurugenzi wa Baraza la Mamufti wa Russia ambacho ndicho chombo kikubwa zaidi ya Kiislamu nchini humo amesema kuwa, kuna wajibu wa nchi zote za Kiislamu kuungana na kuwa kitu kimoja ili kupambana na mpango wa Kimarekani-Kizayuni wa "Muamala wa Karne."

  • Mpango wa

    Mpango wa "Muamala wa Karne" na udharura wa kuwepo umoja wa Kiislamu kwa ajili ya kuitetea Palestina

    Jan 30, 2020 07:01

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambayo siku zote imekuwa mtetezi halisi wa kadhia ya Palestina imezidisha harakati zake za kufanya mashauriano ya kidiplomasia na pande nyingine kwa shabaha ya kukabiliana na mpango wa Muamala wa Karne" uliotangazwa na Rais Donald Trump wa Marekani.

  • Kiongozi: Hitajio muhimu zaidi la ulimwengu wa Kiislamu ni umoja wa nchi za Kiislamu

    Kiongozi: Hitajio muhimu zaidi la ulimwengu wa Kiislamu ni umoja wa nchi za Kiislamu

    Sep 07, 2018 17:06

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema hitajio muhimu zaidi la ulimwengu wa Kiislamu hii leo ni ukuruba zaidi na mshikamano wa nchi za Kiislamu.

  • Rais Rouhani awatumia Waislamu mkono wa Idi

    Rais Rouhani awatumia Waislamu mkono wa Idi

    Jun 14, 2018 15:55

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia mkono wa Idi viongozi wa nchi za Kiislamu na Waislamu wote kwa mnasaba wa kukaribia kuingia katika sikukuu ya Idul Fitr.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS